Nafikiria kufungua kesi ya Madai dhidi ya Lissu na Wenzie

Hali ya Mzee inaendeleaje asbh ya leo?
 
Wewe ulishakufa ubongo kitambo,haya tuambie yuko wapi na afya yake iko katika hali gani ili na wengine tupone kisaik
Watu wengine, unaongea kingine anakurupuka na mengine! Hivi umeisoma mada ukaielewa? Kama ubongo kufa ni wako, kuwa na ufahamu wa kuchanganua kisemwacho si kukurupuka. Na mtu msitaarabu atangulizi matusi. Ukiona mtu atangulizae tusi badala ya kuongea hoja anamapungufu katika akili zake. Pole!
 
Rais ni kiongozi na wala hawezi kuwa nembo ya taifa,pia ni mwanadamu kama wanadamu wengine anaweza kuugua,kufa au kuwa mlemavu kama wanadamu wengine kuwa makini na akili yako.
 
kama hujafa ubongo linganisha ulichopost na michango ya watu humu
 
Rais ni kiongozi na wala hawezi kuwa nembo ya taifa,pia ni mwanadamu kama wanadamu wengine anaweza kuugua,kufa au kuwa mlemavu kama wanadamu wengine kuwa makini na akili yako.
Nadhani hujui maana ya nembo, na unatakiwa ujifunze kiswahili fasaha chenye misemo, nahau, mithali na hata taswira za fasihi. Mwenye kuwa makini na akili ni wewe usie tambua misemo ktk Lugha.
 
kama hujafa ubongo linganisha ulichopost na michango ya watu humu
Angalia like, usidhani waungwana uongea na kuropo kama wewe. Nawafahamu team TL, mpo kutukana na kuropoka. Mimi sitishwi na matusi wala maneno ya waropokaji. I stand in what I believe and trust. Matusi lugha za hovyo ni kwenu msio waungwana. Kutukana kwenu hakunitishi wala sibabaiki. Tukaneni then nambieni mmepata faida gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…