Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Inauma sana lakiniMimi mwenyewe nishatia mimba demu wa mtu alafu nikamwambia mpe huyo jamaa yako.
Kifupo tu kuwa makini na wanawake hasahasa kwenye mimba. Kuwa makini mno, wengi wanalea Watoto sio wao
😅😅😅Kataa ndoa has a price, na kati gharama zake ndiyo hizo. So, asikimbie gharama za kataa ndoa.
Au alidhani kataa ndoa ni kawimbo fulani?
Ila kweliKama unataka mwanao tafta mwanamke uoe , unachovya chovya hovyo hovyo alaf unataka mtoto awe wako, alaf unawaacha wawe single mother we fala kweli
Watabambikiwa kila konaKataa ndoa has a price, na kati gharama zake ndiyo hizo. So, asikimbie gharama za kataa ndoa.
Au alidhani kataa ndoa ni kawimbo fulani?
Huyo anamlea kwa sababu kwanza anajua deep down kuwa siyo wa kwake, asilee kwa kubambikiwa.Mtoto wa kuchukua na kusaidi kule kiroho safi kwa sababu ni maamuzi yako. Sasa hawa wengine wakubambikia unaambiwa wako kumbe una hentya bure tu kuna mwamba analala kiulaini ana kuona wewe fala tu.
Wanawake wajinga hawanaga nafasi kwangu.Sasa angefanyaje wakati wakipishana kidogo du Dem anakimbilia kump post mtoto wake na wanaume wengine aliopita nao?
Ingawa inasemrkana walishapima DNA ma kuonekana mtoto ni wajamaa. Ila hizi mambo za wakipishana ana post ikamlazima jamaa atafute ukweli kwa kwenda kivingine na kupima kwingine ndipo akaliona picha lote lilivyo😃.Wanawake wajinga hawanaga nafasi kwangu.
Uswahili huo siutakagi wala sisamehi mjinga kama huyo
Mtu anapokasirika ndio husema ukweli,nimekuelewa vizuri sana huo mdomo wa Mama yake hua anasema maneno gani,Niko tayari kuupokea ukweli.
Usijali.
Na isitoshe hata akiwa sio wangu nitaendelea kuwa nae.
Kinacho nitatiza ni mdomo wa mama ake.
#YNWA
Nimepita tu kuangalia nani anacheka😀Kumbe hata wasiooa wana majanga kama ya waliooa? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣.
Sicheki kwa ubaya...pole mkuu.
Kucha inatosha kuonyesha dna mkuu?Ingawa inasemrkana walishapima DNA ma kuonekana mtoto ni wajamaa. Ila hizi mambo za wakipishana ana post ikamlazima jamaa atafute ukweli kwa kwenda kivingine na kupima kwingine ndipo akaliona picha lote lilivyo😃.
Hii ikamstua hata yule mkuu wenu wa wilaya mwenye akili nyingi kuliko vijana wote mchini ma mwenye demu mkali na mwenye akili kuliko madem wote nchini. Yeye pia akalazimika kupima upya kwingine, majibu kutoka hola ma yeye mtoto siyo wake na hapo amesham post sana kwenye mitandao yote anayoimiliki hapa dunoani.
Kumbe kibongobongo kuna kiji kampeni cha siri kuwa ni marufuku kutoa majibu ya DNA yanayoonyesha kuwa mtoto si wababa.
So siku hizi masela wanakata kucha ya mtoto au nywele unaweza ukadhani wanaenda kwa mganga, kumbe haoo wanasepea Nairobi, wakitoka huko tayari majibu ya kweli wanayo😄
Tabu yote hii imeletwa na jamii iliyoelimika kuamini mafunzo yote ya jando na unyago ni haramu. Tumestawisha kizazi kisicho na maadili. Kizazi kinacgoongozwa na mob psychology. Kufanya ngono kabla ya ndoa ndo matokeo ya akili nyingi kuharamisha mila na desturi.Ingawa inasemrkana walishapima DNA ma kuonekana mtoto ni wajamaa. Ila hizi mambo za wakipishana ana post ikamlazima jamaa atafute ukweli kwa kwenda kivingine na kupima kwingine ndipo akaliona picha lote lilivyo😃.
Hii ikamstua hata yule mkuu wenu wa wilaya mwenye akili nyingi kuliko vijana wote mchini ma mwenye demu mkali na mwenye akili kuliko madem wote nchini. Yeye pia akalazimika kupima upya kwingine, majibu kutoka hola ma yeye mtoto siyo wake na hapo amesham post sana kwenye mitandao yote anayoimiliki hapa dunoani.
Kumbe kibongobongo kuna kiji kampeni cha siri kuwa ni marufuku kutoa majibu ya DNA yanayoonyesha kuwa mtoto si wababa.
So siku hizi masela wanakata kucha ya mtoto au nywele unaweza ukadhani wanaenda kwa mganga, kumbe haoo wanasepea Nairobi, wakitoka huko tayari majibu ya kweli wanayo😄
Oyaa Lea huyo mtoto atakuja kuwa mtu mkubwa sana Siku za baadae watoto wanaopitia changamoto kama hizo ni madini sana baadae atakuja kukulea huyo mpaka ushangaeINTRODUCTION
Mimi ni mwanaume
Nina miaka 33
Ni mtumishi wa Halmashauri moja wapo nchini
Nina mabinti wawili wa kwanza miaka 8 na wapili miaka mi3.
SCENARIO
Binti wa kwanza. Huyu ni mtoto wangu pure, yaani kila kitu ni Mimi. Ni copy ya sura na vitu vingi sanaa.
Binti wa pili.
Huyu ndio nahisi kuna TATIZO. Kifupi Kuna mambo mengi sanaa yametokea ambayo yanatia mashaka.
Watoto wangu kila mmoja na mama yake. Mwanamke wa mtoto wa pili ni mwanamke mwenye mdomo sanaaa. Na ukitaka siku yako iharibike "Hebu uongelee baba wa huyu mtoto ni nani?"
Hapo mwanzo alipozaliwa nilikataa mimba.
Ila baada ya wazazi nao kuingilia kati ilibidi nimkubali mtoto. Ila sasa Kuna mambo yanaendelea NDIO yananipa utata. Nahitaji kujua ukweli mapema.
Nimeandaa laki 6 kwa zoezi la upimaji DNA
1. Je inatosha?
2. Na procedure ni zipi?
THE PROBLEM.
Moyo wangu umegoma kabisaa kuwa na amani na huyu mtoto wa pili. Before it's to let nahitaji kupata ukweli.
#YNWA
Huu ndo uanaume mkuu..hujui nani atakufaa siku yako ya taabu...nimekuelewa..maturedUkijua sio mwanao mlete kwangu nitalea hata kama mie sio baba yake.
Nipo serious.
Mnoo...nna ushuhudaOyaa Lea huyo mtoto atakuja kuwa mtu mkubwa sana Siku za baadae watoto wanaopitia changamoto kama hizo ni madini sana baadae atakuja kukulea huyo mpaka ushangae
kwahiyo umejiridhisha ni yako kwa kuwa wewe ni choka mbaya, bado hujawajua wanawakemwenyewe ndio aliniambia. Hakua na sababu ya kuniongopea kwa kuwa mimi sikuwa na mipango nae yoyote alafu choka mbaya tu tofauti na jamaa yake ambae wana mipango ya kuoana na yupo vizuri sana
Yes, just kucha au unyweleKucha inatosha kuonyesha dna mkuu?
NAKUSHAURI HATA HUYO MWINGINE UKAMPIME DNA PIA,DUNIA INA MAAJABU MENGI,INTRODUCTION
Mimi ni mwanaume
Nina miaka 33
Ni mtumishi wa Halmashauri moja wapo nchini
Nina mabinti wawili wa kwanza miaka 8 na wapili miaka mi3.
SCENARIO
Binti wa kwanza. Huyu ni mtoto wangu pure, yaani kila kitu ni Mimi. Ni copy ya sura na vitu vingi sanaa.
Binti wa pili.
Huyu ndio nahisi kuna TATIZO. Kifupi Kuna mambo mengi sanaa yametokea ambayo yanatia mashaka.
Watoto wangu kila mmoja na mama yake. Mwanamke wa mtoto wa pili ni mwanamke mwenye mdomo sanaaa. Na ukitaka siku yako iharibike "Hebu uongelee baba wa huyu mtoto ni nani?"
Hapo mwanzo alipozaliwa nilikataa mimba.
Ila baada ya wazazi nao kuingilia kati ilibidi nimkubali mtoto. Ila sasa Kuna mambo yanaendelea NDIO yananipa utata. Nahitaji kujua ukweli mapema.
Nimeandaa laki 6 kwa zoezi la upimaji DNA
1. Je inatosha?
2. Na procedure ni zipi?
THE PROBLEM.
Moyo wangu umegoma kabisaa kuwa na amani na huyu mtoto wa pili. Before it's to let nahitaji kupata ukweli.
#YNWA