Naibu Waziri anapopata ajali then Viongozi wakuu wa Wizara na nchi Kwa ujumla wasitoe pole Kwa familia siyo afya. Kuna fumbo

Makamu wa Rais kajizalilisha mno I thought yuko smart kumbe naye wale wale hafu siku ukimuona kanisani utasema ni malaika.
Kwa hiyo waliokosea hawapaswi kujuliwa hali pia?
Au unataka kumaanisha kwamba kwa vile makamu wa Rais kaenda kumjulia hali, ndo basi tena hawezi kuwajibishwa kwa ufuska wake aliofanya?
Mi nadhani nchi yetu ni moja kati ya nchi zenye mifumo bora kabisa duniani.
Hivyo, kikubwa wafanye uchunguzi, ikibainika kama kweli alikuwa kwenye mambo yake ya kibinafsi kwa kutumia gari la serikali, basi awajibishwe.
 
Unaletaje udini kwenye hii issue? Mapadri wa kikatoliki wameingiaje kwenye suala kama hili,iwapo kwa mtazamo wako kila mwanajukwaa akiwa anatoa mawazo ya kipuuzi kama haya kutakalika kweli? Kama masheikh wenu wakianza kudhalilishwa kama unavyofawachukulia mapadri wa kikatoliki itakuwaje??
UPUUZI WAKO UKOME KABISA!
 
Tumekusikia Shehe
 
Angekuwa kapata ajali kwenye mazingira ya kikazi au ya kawaida yasiyogubikwa na kashfa hizo pole zingetolewa tu na TV zote zingerusha. Kutoa pole au kutangaza ishu iliyogubikwa na kashfa unakuwa humsaidii huyo mtu zaidi ya kufanya hiyo kashfa yake ijulikane kila kona ya dunia.
 
Ukute alikuwa kujivinjari na Vieteli kinyume na utaratibu
 
Hata mgambo wakifanya uchunguzi jibu ni lile lile, waziri kaliabisha Taifa kwa ufuska, kifo na hasara ya mali ya serikali!
 
Muhimu katika maisha ya mwanadamu ni uhai na afya njema; haya mengine sijui amepostiwa na nani, ametembelewa na nani, au atapoteza cheo hayana umuhimu katika maisha ya mwanadamu.
 
Ameliabisha taiga, amemuabisha raisi, ameiabisha familia yake,ametuaibisha wanaume wote, asingekimbia hayo yasingetokea na pengine tusingejua, halafu wenzake wanapandaga ndege na michepuko, pili imemuharibia ndoto zake za baadaye hawezi kuja kuwa kiongozi mkubwa zaidi ya hapo
 
Heri Hilo tukio wangepiga tu kimya kimya kuliko hyo kwenda kimya kimya Sasa inaonyesha ana support uvunjifu wa maadili Sasa hapo funzo watu si wataona it's okay kufanya madudu maana bado nitapata support, pia serikali imefanya cover up ya uongo so Ina support matendo ya uvunjifu maadili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…