Naibu Waziri Mkuu majukumu yake Kikatiba ni yapi? Wafahamu waliowahi kuwa Manaibu Waziri Wakuu nchini

Safi,mtu akishindwa mtafutie msaidizi ambae ataheshimika ,hiki hakina tofauti na Waziri wa Mambo maalumu
 
Tunamtaka Makonda
 
Naibu waziri mkuu kaja kubalance influence ya kanda ya Ziwa!! Lissu na Mbowe wameivuruga lake zone mbaya kabisa CCM inapumulia mashimo
Hii ni applicable Kenya, Tanzania hatuna hayo mambo, Lowasa alikuwa na nguvu Monduli kwake na sio kanda ya kaskazini, Yule Mmilikibwa StarTv alisha kuwa Waziri kama sikosea je alikuwa na uungwaki mkono kwa kanda ya ziwa? Kenya haya yanawezekana ila sio Tanzania
 
Soma hii hapa πŸ‘‡
 
Kipindi kile Makamu wa Rais alikuwa ni Waziri Mkuu pia. Kwa hiyo, kwa sasa ni kama utaratibu mpya na pengine lengo ni kumpunguzia majukumu WM
 
Hapa Tanzania iliwahi tokea mtu akateuliwa cheo hicho...Hilo litakuwa jambo geni huko kwenu Burundi!
 
Majukumu yake makuu yatakuwa ni KUMDHIBITI Waziri Mkuu Kasimu Majaliwa ili ASIFURUKUTE kama ilivyo kwa cheo cha Makamu wa Pili wa Rais kule Zanzibar ambaye anamdhibiti Kikamilifu Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar kutoka chama cha ACT-Wazalendo.
 
Mama aliposema yaani mpaka PM aende halafu aambiwe ndio aje kuniambia kuwa huyo hafai
Basi nikajua kuna kitu
Sasa naona jipu limelata mkunaji
 
JE KATIBA INASEMAJE KUHUSU CHEO HIKI?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…