Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Kwa nini tena kuhoji elimu yake na kumtumbua? Kwa nini asipewe muda ili aape tena?
Nimesema sisi tunapoteza muda kwa kujadili hili..ni suala la mteule na mteuliwa. Sana Sana sisi kiubinadam tunamuonea huruma tu tungemuomba mheshimiwa Rais ampe nafasi zaidi.

Masuala haya huwa mengi yanapita na wakati binadamu wengine huko wanaweza kuwa wametengeneza yao ili tu kumkwamisha katika Hilo.

Kwa elimu aliyonayo namshauri Mh Rais aendelee kumtumia Kama alivyokuwa amepanga...inawezekana Ni sauti ya Mungu kwayeye kupewa nafasi ile...Mh.Rais ampime kwa utendaji wake wa mbeleni..
 
Ameshatenguliwa tayari,waallah uchawi upo,hicho kipapai alichopigwa ni kiboko
Hiyo aibu najaribu kuvaa viatu vyake naona havienei kabisa.Ndugu jamaa na familia utawatizama vipi.
Unawaza hao? Mkeo utamuambia nini akuelewe?
Alishajua anaenda kuwa mke wa naibu waziri.

Ukijaribu kumla mate hii ndio picha atayokuwa anaiona machoni pake: Ng'ombe
 
Sijakuelewa.
 
Urais ni taasisi na hateui mtu mmoja pekee. Rais atashauriana na waziri mkuu...
 
WaTZ wengi hawajazoezwa mashuleni na vyuoni kujiamini. Hata wanachuo wa University more than 70% hawawezi kabisa kujieleza. Hata akiulizwa swali na mwalimu, hawezi kujieleza;b tena kama ndiyo kwa lugha ya malkia, Ni msiba atatafuta pa kukimbilia akajifiche. Ila kujieleza kwa maandishi, hawajambo.
Somo la kujiamini litiliwe mkazo mashuleni na vyuoni.
 
Hilo ni jambo la kawaida hutokea kwa wanadamu wengi, kuna rais wa Marekani ilimtokea miaka ya nyuma
 
Dah aisee uchawi upo, unaona maandishi yamepandana mpaka unashikwa kigugumizi. Walimwengu washafanya yao.
Serikalini katika nyadhifa za juu usipokuwa mtu wa kimila hutoboi!
Ndio uchawi wanaotumia wanasiasa wa Lindi kuna mwingine wa UVCCM toka Lindi yalimtokea


 
Sijakuelewa.
Nasemaaa suala la mteule na mteuliwa sisi hatuwez lijadili.. sanasana tunamuonea huruma bwana waziri mteule kwa yaliyotokea.. na sanasana kiubinadam tunamuombea kwa mhe. Rais ampe second chance,.

Masuala haya ya viapo wakati mwingine yanaweza kukwamishwa na midomo ya wanadam kwa chuki tu na wivu.. unakuta wanachez mchezo kumkwamisha mwingine...

Nina imani na uzoefu wake na elimu yake inaweza saidia kule ambapo Rais alipanga kumuweka... sisi wananchi ambao tuko nyuma ya mhe. Rais tungemshauri aendelee nae amuapishe then apige kazi.. aendelee na vetting zaidi mbeleni ili kuondoa doubt yoyote inayokuwepo.. natumai Mhe.Rais atasoma ujumbe huu Kama ushauri na inawezekana Ni maono na sauti ya Mungu pia..

God bless our president..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…