Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Naibu Waziri mteule wa Madini, Francis Kumba Ndulane ashindwa kusoma kiapo kwa ufasaha, uteuzi wake watenguliwa

Huenda ana shida ya "VISION". Hilo hutokea hata wasoma masomo kanisani. Huyo alitakuwa awe na miwani
Mbona ni wengi wanaohitaji miwani wakati wa kusoma? Kwani zinapatikana sayari ya Mars useme alishindwa kuipata? Wanaotumia miwani hutembea na miwani muda wote. Kwa nini hakusema apewe muda wa kutafuta?
 
Kwa iq yako ndogo na ujinga uliojaa kichwani kwako unajua kutoka kimaisha ni kuwa na iq kubwa. Unaweza kuta mtu mwenye akili na iq kubwa hana smart phone we mjinga unayo. Naomba itungwe sheria wajing kama wewe wasimiliki smart phone.

Huweleki unayoongea.

Kumiliki smartphone hakuna uhusiano wowote na IQ.

Kama mtu ana IQ kubwa afu hajatoka kimaisha na anaongozwa na mwenye IQ ndogo, niambie hiyo IQ yake imemsaidia nini?
 
Huweleki unayoongea.

Kumiliki smartphone hakuna uhusiano wowote na IQ.

Kama mtu ana IQ kubwa afu hajatoka kimaisha na anaongozwa na mwenye IQ ndogo, niambie hiyo IQ yake imemsaidia nini?
Kaa kimya please.
 
Yule jamaa kashindwa kusoma, ni kama alikuwa amekariri hivi, sasa alipopewa nafasi ya kusoma akashindwa.

Okay, let assume ilikuwa ni woga tu.
Sasa kwanini Rais atilie mashaka elimu yake kiasi cha kuona kuna ulazima kuchunguza vyeti vyake?

Kwani kabla ya kuteuliwa hakuchunguzwa?
Na imechukua zaidi ya mwezi kuunda baraza!!
 
Huna majibu sio.

Ukipata majibu ya mwenye IQ kubwa kapuku na anaongozwa na mwenye uwezo mdogo let me know.
Nakaa kimya, maana vilaza wenye iq -1 ndio wanasmarphone na wamejazana Jf kusumbua watu.
 
Kwa iq yako ndogo na ujinga uliojaa kichwani kwako unajua kutoka kimaisha ni kuwa na iq kubwa. Unaweza kuta mtu mwenye akili na iq kubwa hana smart phone we mjinga unayo. Naomba itungwe sheria wajing kama wewe wasimiliki smart phone.
kuwa na smart phone kuna uhusuano wa moja kwa moja na IQ!, au ni pamoja na uwezo wa kuinunua na kujua kama itakufaa katika mazingira unayoishi?
 
kuwa na smart phone kuna uhusuano wa moja kwa moja na IQ!, au ni pamoja na uwezo wa kuinunua na kujua kama itakufaa katika mazingira unayoishi?
Umeelewa nini nilimchomjibu huyo duanzi?
 
Ukiwa Stressed huwa wanajinyea au kujikojolea achilia mbali kushindwa kusoma mbele ya watu. Hii kisaikolojia inatokea pale mtu anapokuwa na hofu au kuwa overwhelmed juu ya jambo ambalo amelisubiria kwa muda. Wengine siku ya kwanza kukutana na mpenzi wake aliyemtolea nje kwa muda mrefu basi huwa wanashindwa kunaniliu. Asamehewe apige kazi
Kawaida huwa wanafanya zoezi la kuapa kabla ya tukio lenyewe
 
Nasikia wateule wa rais huwa wanafanyiwa vetting ya hali ha juu.

Nani huwa anamfanyia rais vetting? Mpaka anampa majina ya watu ambayo hawawezi hata kusoma kiapo na kutamka!

Hawa watu mbona kama wamemtia doa mkuu wa nchi, maana sinawahi kushuhudia mtu akitumbuliwa kwa kushindwa kusoma kiapo na kutamka!

Hii inaleta picha gani? Kuwa kama ni kweli kwamba watu wanaomfanyia vetting mkuu wa nchi hawako makini mpaka wanampa majina ya watu ambao wanashindwa kuapa!

Au ni mambo ya kijamii yameitawala Tanzania,ndio maana watu wengi wenye IQ kubwa huwezi kuwakuta kuwa ni viongozi?

Inasikitisha sana kwa Taifa ambalo linajinasibu kuwa ni moja ya taifa kubwa hapa Afrika mashariki, waziri mdogo anashindwa hata kusoma na kula kiapo. Nafikiri maneno aliyosema Askofu Rashid kuwa wengi wa wabunge wa CCM walipita kwa mgongo wa kiongozi wao wa chama,sababu 70% walikuwa hawana uwezo na hata kukubalika ilikuwa ni kwa mashaka

Kwa ujumla aliyeshindwa kuapa na aliyemtumbua wote wameaibika.
Alisema pale kuwa wamemchomekea, waliomfanyia vetting huyo kilaza wanalo, hii ni kashfa kubwa sana.
 
Back
Top Bottom