Tz mbongo
JF-Expert Member
- Mar 12, 2015
- 13,332
- 7,351
Hayo majizi wanajuana wenyewe wanasiasa haihitaji uchawi,tatizo sie tunajifanya tunawajua sana wanasiasa.Huyo mchawi safi sana atunyooshee haya majizi ya CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo majizi wanajuana wenyewe wanasiasa haihitaji uchawi,tatizo sie tunajifanya tunawajua sana wanasiasa.Huyo mchawi safi sana atunyooshee haya majizi ya CCM
Mbona ni wengi wanaohitaji miwani wakati wa kusoma? Kwani zinapatikana sayari ya Mars useme alishindwa kuipata? Wanaotumia miwani hutembea na miwani muda wote. Kwa nini hakusema apewe muda wa kutafuta?Huenda ana shida ya "VISION". Hilo hutokea hata wasoma masomo kanisani. Huyo alitakuwa awe na miwani
Kwa iq yako ndogo na ujinga uliojaa kichwani kwako unajua kutoka kimaisha ni kuwa na iq kubwa. Unaweza kuta mtu mwenye akili na iq kubwa hana smart phone we mjinga unayo. Naomba itungwe sheria wajing kama wewe wasimiliki smart phone.
So!Hayo majizi wanajuana wenyewe wanasiasa haihitaji uchawi,tatizo sie tunajifanya tunawajua sana wanasiasa.
Kaa kimya please.Huweleki unayoongea.
Kumiliki smartphone hakuna uhusiano wowote na IQ.
Kama mtu ana IQ kubwa afu hajatoka kimaisha na anaongozwa na mwenye IQ ndogo, niambie hiyo IQ yake imemsaidia nini?
Hao Cuf walitaka kutupelekea Kingwendu bungeni,ACT nao walitaka kutupelekea yule mvuta bangi mirasta.CCM wanatupelekea misukule bungeni
So what?
Ubunge aliapa vp?Huenda ana shida ya "VISION". Hilo hutokea hata wasoma masomo kanisani. Huyo alitakuwa awe na miwani
Tale alisema juzi kwny interview hawezi kujifulia chupi yake.FA kwenye kampeni alikuwa anabwabwaja tu labda ata improve kwasababu ya usanii utambeba ila Tale tale ni Mweupe yaani hana anachokijua zaidi ya kuwaibia wasaniii na fitina kwenye sanaa.
UtajibebaSo what?
Kaa kimya please.
Mie siku zote najibeba sisubiri kubebebwa na wanasiasa hawachelewi kukupiga finger halafu uanze kulalamika lalamika.Utajibeba
Na imechukua zaidi ya mwezi kuunda baraza!!Yule jamaa kashindwa kusoma, ni kama alikuwa amekariri hivi, sasa alipopewa nafasi ya kusoma akashindwa.
Okay, let assume ilikuwa ni woga tu.
Sasa kwanini Rais atilie mashaka elimu yake kiasi cha kuona kuna ulazima kuchunguza vyeti vyake?
Kwani kabla ya kuteuliwa hakuchunguzwa?
Haya mkuuMie siku zote najibeba sisubiri kubebebwa na wanasiasa hawachelewi kukupiga finger halafu uanze kulalamika lalamika.
Nakaa kimya, maana vilaza wenye iq -1 ndio wanasmarphone na wamejazana Jf kusumbua watu.Huna majibu sio.
Ukipata majibu ya mwenye IQ kubwa kapuku na anaongozwa na mwenye uwezo mdogo let me know.
kuwa na smart phone kuna uhusuano wa moja kwa moja na IQ!, au ni pamoja na uwezo wa kuinunua na kujua kama itakufaa katika mazingira unayoishi?Kwa iq yako ndogo na ujinga uliojaa kichwani kwako unajua kutoka kimaisha ni kuwa na iq kubwa. Unaweza kuta mtu mwenye akili na iq kubwa hana smart phone we mjinga unayo. Naomba itungwe sheria wajing kama wewe wasimiliki smart phone.
Umeelewa nini nilimchomjibu huyo duanzi?kuwa na smart phone kuna uhusuano wa moja kwa moja na IQ!, au ni pamoja na uwezo wa kuinunua na kujua kama itakufaa katika mazingira unayoishi?
Kawaida huwa wanafanya zoezi la kuapa kabla ya tukio lenyeweUkiwa Stressed huwa wanajinyea au kujikojolea achilia mbali kushindwa kusoma mbele ya watu. Hii kisaikolojia inatokea pale mtu anapokuwa na hofu au kuwa overwhelmed juu ya jambo ambalo amelisubiria kwa muda. Wengine siku ya kwanza kukutana na mpenzi wake aliyemtolea nje kwa muda mrefu basi huwa wanashindwa kunaniliu. Asamehewe apige kazi
Alisema pale kuwa wamemchomekea, waliomfanyia vetting huyo kilaza wanalo, hii ni kashfa kubwa sana.Nasikia wateule wa rais huwa wanafanyiwa vetting ya hali ha juu.
Nani huwa anamfanyia rais vetting? Mpaka anampa majina ya watu ambayo hawawezi hata kusoma kiapo na kutamka!
Hawa watu mbona kama wamemtia doa mkuu wa nchi, maana sinawahi kushuhudia mtu akitumbuliwa kwa kushindwa kusoma kiapo na kutamka!
Hii inaleta picha gani? Kuwa kama ni kweli kwamba watu wanaomfanyia vetting mkuu wa nchi hawako makini mpaka wanampa majina ya watu ambao wanashindwa kuapa!
Au ni mambo ya kijamii yameitawala Tanzania,ndio maana watu wengi wenye IQ kubwa huwezi kuwakuta kuwa ni viongozi?
Inasikitisha sana kwa Taifa ambalo linajinasibu kuwa ni moja ya taifa kubwa hapa Afrika mashariki, waziri mdogo anashindwa hata kusoma na kula kiapo. Nafikiri maneno aliyosema Askofu Rashid kuwa wengi wa wabunge wa CCM walipita kwa mgongo wa kiongozi wao wa chama,sababu 70% walikuwa hawana uwezo na hata kukubalika ilikuwa ni kwa mashaka
Kwa ujumla aliyeshindwa kuapa na aliyemtumbua wote wameaibika.
Demo?Kawaida huwa wanafanya zoezi la kuapa kabla ya tukio lenyewe