Tunajifunzaje sasa kujiamini?I gree with you, confidence is more important than education. Nafuatilia ha matangazo mubashara.. Kiukweli huyu bwana katia haibu, ety kajitetea macho yanamsumbua ina maana hajui kuwa anatatizo LA macho akajisave na mawani..
Kuna mama mmoja ye anaongelea ulimini yeye kila mda "Anasema balaza la mpinduzi badala la mawaziri" katia haibu sana mpaka mawaziri wenzie wamemcheka..
Tujifunze kujiamini jamani.. Kijiamini kunaleta Uhuru wa maisha
Utasema mtoto wa darasa la nneKwa futuhi land hakuna cha kushangaa
Au kapigwa kipapai, maana CCM kwa ndumba ni chanda na pete!Nahisi hii ni zaidi ya Kayumba!
Huyo anahofu ya Muumba Wake.Hakutarajia kupata ubunge, pia hakutarajia kabisa kupata unaibu Waziri.
Wamvumilie tu
Punguza uoga na kiwewe, maisha ni hayahaya.. Ila mishe za kujiona kila ukifanyacho una-wrong ndo sababu ya haya yoteTunajifunzaje sasa kujiamini?
... haina shida; ataapishwa gereji baadaye; sio lazima mshuhudie akiapa; mtapewa tu taarifa kiapo chao kilishafanyika tena kwa ufanisi mkubwa.So jamaa sio Waziri sababu hajaapa. Sio?
Kampeni alifanyia porini?Kusoma anajua ila kujiamini ana kitete
Tusiwe wakali sana kwa watoto tusiwatishe bali tuwaelekeze nao watajiaminiTunajifunzaje sasa kujiamini?
CCM hakuna ulozi bwasheeAu kapigwa kipapai, maana CCM kwa ndumba ni chanda na pete!
Kampeni alifanyia porini?
Wananchi wa Jimbo alikuwa anaongeanao kwa ishara?
Au ni viti maalumu ?
Punguza uoga na kiwewe, maisha ni hayahaya.. Ila mishe za kujiona kila ukifanyacho una-wrong ndo sababu ya haya yote
HahahaKwa futuhi land hakuna cha kushangaa
Ndiyo imetoka hiyo!Kwa hiyo atapewa nafasi tena au ndo imetoka?
Au nadhani huwa anasoma kwa miwani alisahau, akawa haoni vzr. Sasa ataapishwa lini maana hawakumrudia tena.Kusoma anajua ila kujiamini ana kitete
Au nadhani huwa anasoma kwa miwani alisahau, akawa haoni vzr. Sasa ataapishwa lini maana hawakumrudia tena.
Hahahaha mkuu na bado kazini utetemeke, na hiyo kazi itakufanya mpaka nyumbani utetemeke! Uwaziri oyee!Nimesoma O-Level kwa kutetemeka, A-Level nitetemeke, Chuo nitetemeke hadi kuapishwa nitetemeke? Hapana!!
Mzee wa matunguri 😂🤣Kigwa bado yuko tungurini!