[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ya ukiraini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Labda aisimamishe sinza africasana
kwani huwaga mnataka msikie mavitu gani kwenye nyimbo ndio mseme huu wimbo mkali,Bado sijasikia kitu kipya iwe melodies, beats, uandishi n.k
Rate 5/10
Punguza kujieleza ep mbaya... Genre kitu gani watu hawapendi raggae ila walikua wanamsikiliza lucky dubeKila nyimbo nayoisikia katika hii EP.. is like kama nilishawahi isikia long time ago.....Like producer ame-sample beat fulani then linakataa.
Sio mbaya kila nyimbo pale ni nzuri kutegemea na music genre unayoipenda...Ukiona hujaipenda nyimbo tambua hujapenda Genre ila sio alichoimba.
Kila mtu anakitu chake tofauti anachotaka kusikia kwenye wimbo ndio mana wewe unaweza kuona wimbo ni mkali mimi nikaona kawaida au mimi nikaona ni mkali wewe ukaona kawaidakwani huwaga mnataka msikie mavitu gani kwenye nyimbo ndio mseme huu wimbo mkali,
😂 Teacher amna kitu paleKwenye nyimbo alizoimba English amejitahidi sana sio kama teacher konde