crankshaft
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 1,427
- 3,438
Aisee, mda mwingine na mimi napata haya mawazo.....
nimekuelewa sana, pole
jua tu kwamba mbali na yote hayo, mama yako hajutii uwepo wako kwenye maisha yake
Mimi huwa nasema tushukuru kwa hii mechanism ya ku adapt mambo ambayo tumeumbwa nayo otherwise mambo mengine katika maisha ni majuto makuu.
Yes, anaweza kuwa anajivunia uwepo wake kwenye maisha yake lakini hiyo haifuti ukweli mchungu kuwa kupitia yeye maisha yake yameharibika mno.
Na maybe kila akiwaona wenzake waliko husikitika sana.
Kuna mwanamke mmoja namfahamu niliwahi pewa stori yake kuwa alikuwa na akili sana darasanie. Alifanya mitihani yake na kufaulu vizuri sana
Kumbuka ni zamani sana miaka ya 80 huko.
Sasa ile anatakiwa aende chuo baada ya matokeo mazuri,ikagundulika kuwa ana ujauzito.
Shule ikawa basi. Leo classmates wenzake wana magari na kazi nzuri lakini yeye yupo tu with no hope. And the sad thing ni kwamba wapo within the same city.
She saw them ride as she conduct her entrepreneurship activities by the side of the road.