Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Mama yako ndiye aliye jitafutia Umaskini.
Kwani yeye alikuwa hajui kwamba anatakiwa kusoma?
Kwa nini alipata mimba, kama alikuwa anajua anahitaji kukazana maishani?
Yeye ndiye ajute kwa uzembe wa makosa yake.
Wewe huna hatia, Ulikuwa hujui lolote.
A child is born with no state of mind.
Acha kujipa presha zisizo na mantiki.
Kila mtu atabeba msalaba wake.
Kwani yeye alikuwa hajui kwamba anatakiwa kusoma?
Kwa nini alipata mimba, kama alikuwa anajua anahitaji kukazana maishani?
Yeye ndiye ajute kwa uzembe wa makosa yake.
Wewe huna hatia, Ulikuwa hujui lolote.
A child is born with no state of mind.
Acha kujipa presha zisizo na mantiki.
Kila mtu atabeba msalaba wake.