Najuta kwa madhambi niliyoyafanya nikiwa Chuo Kikuu, naomba Mungu watoto wangu wasipite njia ile

Najuta kwa madhambi niliyoyafanya nikiwa Chuo Kikuu, naomba Mungu watoto wangu wasipite njia ile

Ukiwa kama mzazi naomba tu usome na kuelewa Nini huwa kinatokea kwenye mabweni ya wanachuo wengi wa kike.

Nilipokuwa kuwa chuoni, UDSM niliishi Mabibo hostel kabla sijapata mwanaume aliyenipangia nyumba.

Pale hostel nilijifunza mambo mengi mabaya, machafu na ya hovyo.

Nikiwa pale ndipo nilijifunza usagaji, kusagana ni raha sana na kupo very addictive. Imenichukua miaka mingi kuweza kuishinda dhambi hiii kwani hata nyumbani licha ya kwamba niko kwenye ndoa, nilikuwa nawashawishi wasichana wangu wa kazi, nawafundisha mchezo huo Huku nikiwalipa donge nono kwa kuniburudisha na kunitunzia Siri.

Mbali ya kusagana bado nilikuwa na Mabwana wengi tu nikiwa chuo. Chuoni nilijifunza ulevi, uvutaji sigara na bangi na mambo mengine.

Licha ya kwamba nimekulia kwenye familia ya Wacha Mungu , nikiwa chuo nikijifunza ushirikina. Nikajifunza maisha ya kwenda kwa waganga ili kupata dawa za mvuto kwa wanaume.

Chuo nilitoa mimba nyingi sana. Nilikuwa mlevi wa pesa, nilikuwa tayari kufanya lolote ili niwe na pesa.

Nimeahawahi kusafirisha madawa ya kulevya mara kadhaa, namshukuru sikukamatwa.

Wazazi, watoto wenu huko vyuoni sio watakatifu kama wanavyoonekana. Wengi wanaharibika wakiwa chUoni.

Kama hamna umuhimu wa binti Yako kukaa hostel, Kaa naye nyumbani ili awe salama
Sjaona dhambi hapo. Labda hyo kutoa mimba na kusagana.. hayo mengne.. ni maisha ya kawaida sana kwa watoto wa kiume
 
Ukiwa kama mzazi naomba tu usome na kuelewa Nini huwa kinatokea kwenye mabweni ya wanachuo wengi wa kike.

Nilipokuwa kuwa chuoni, UDSM niliishi Mabibo hostel kabla sijapata mwanaume aliyenipangia nyumba.

Pale hostel nilijifunza mambo mengi mabaya, machafu na ya hovyo.

Nikiwa pale ndipo nilijifunza usagaji, kusagana ni raha sana na kupo very addictive. Imenichukua miaka mingi kuweza kuishinda dhambi hiii kwani hata nyumbani licha ya kwamba niko kwenye ndoa, nilikuwa nawashawishi wasichana wangu wa kazi, nawafundisha mchezo huo Huku nikiwalipa donge nono kwa kuniburudisha na kunitunzia Siri.

Mbali ya kusagana bado nilikuwa na Mabwana wengi tu nikiwa chuo. Chuoni nilijifunza ulevi, uvutaji sigara na bangi na mambo mengine.

Licha ya kwamba nimekulia kwenye familia ya Wacha Mungu , nikiwa chuo nikijifunza ushirikina. Nikajifunza maisha ya kwenda kwa waganga ili kupata dawa za mvuto kwa wanaume.

Chuo nilitoa mimba nyingi sana. Nilikuwa mlevi wa pesa, nilikuwa tayari kufanya lolote ili niwe na pesa.

Nimeahawahi kusafirisha madawa ya kulevya mara kadhaa, namshukuru sikukamatwa.

Wazazi, watoto wenu huko vyuoni sio watakatifu kama wanavyoonekana. Wengi wanaharibika wakiwa chUoni.

Kama hamna umuhimu wa binti Yako kukaa hostel, Kaa naye nyumbani ili awe salama
Mbona hujasema kama ni ugly face and shape? maana hadi unaenda kwa waganga kuvuta wanaume
 
Hakuna viumbe jasiri Kama wanaovaa pedi.
Ujanja unaonekanaga ujinga ukishaumaliza au ukishapitwa na muda
 
Yesu ameshanitoa huko, sasa nachapa injili

Yesu tena!! Na sio Mwenyezi Mungu aliekuumba dada jemima? Pole sana ,Allah atakuongoza

Inasikitisha sana ,mtoto wa kike kusamika na ushenzi kwa maisha ya chuo ni asilimia ndogo mno..

Mtihani sana sheikh,, ndio maana sisi waislamu tunaaswa sana kuwafundisha watoto wetu Qur'an/elimu ya dini, hili ni muhimu sana kuliko hayo masecular yao ya kipumbafu.
 
Ukiwa kama mzazi naomba tu usome na kuelewa Nini huwa kinatokea kwenye mabweni ya wanachuo wengi wa kike.

Nilipokuwa kuwa chuoni, UDSM niliishi Mabibo hostel kabla sijapata mwanaume aliyenipangia nyumba.

Pale hostel nilijifunza mambo mengi mabaya, machafu na ya hovyo.

Nikiwa pale ndipo nilijifunza usagaji, kusagana ni raha sana na kupo very addictive. Imenichukua miaka mingi kuweza kuishinda dhambi hiii kwani hata nyumbani licha ya kwamba niko kwenye ndoa, nilikuwa nawashawishi wasichana wangu wa kazi, nawafundisha mchezo huo Huku nikiwalipa donge nono kwa kuniburudisha na kunitunzia Siri.

Mbali ya kusagana bado nilikuwa na Mabwana wengi tu nikiwa chuo. Chuoni nilijifunza ulevi, uvutaji sigara na bangi na mambo mengine.

Licha ya kwamba nimekulia kwenye familia ya Wacha Mungu , nikiwa chuo nikijifunza ushirikina. Nikajifunza maisha ya kwenda kwa waganga ili kupata dawa za mvuto kwa wanaume.

Chuo nilitoa mimba nyingi sana. Nilikuwa mlevi wa pesa, nilikuwa tayari kufanya lolote ili niwe na pesa.

Nimeahawahi kusafirisha madawa ya kulevya mara kadhaa, namshukuru sikukamatwa.

Wazazi, watoto wenu huko vyuoni sio watakatifu kama wanavyoonekana. Wengi wanaharibika wakiwa chUoni.

Kama hamna umuhimu wa binti Yako kukaa hostel, Kaa naye nyumbani ili awe salama
Hata sio kwa ajili ya chuo ni ujinga na ibili aliamua tu kukutembelea kwa kipindi hiko na hata baada ya huko!

Watenda dhambi wengi hutafuta ukuta wakuegemea kwa dhambi zao, sisemi kwamba mim sina ila we ulizidi..

Tumepita huko ila ujinga na ushenzi nikujitakia tu wala sio sababu ya chuo na Nini hiyo nitabia tu ambayo iliamua kujificha na ulipofika hapo nayo ikajionyesha..

Chakushukuru nikuwa huenda ukawa umeongoka kama nikweli maana tabia za namna hiyo ningumu kuziacha,

Hakika vifua vina Siri nyingi jamani yaani siamini mumeo anakuonaje akikuona,,

Haya angeyajua asingekuchagua wew.. mungu ni mwema kwetu kabisa ana Siri nyingi zetu ila anatustiri bila kujali ni za namna ganii
 
Back
Top Bottom