Najuta kwa madhambi niliyoyafanya nikiwa Chuo Kikuu, naomba Mungu watoto wangu wasipite njia ile

Najuta kwa madhambi niliyoyafanya nikiwa Chuo Kikuu, naomba Mungu watoto wangu wasipite njia ile

Ukiwa kama mzazi naomba tu usome na kuelewa Nini huwa kinatokea kwenye mabweni ya wanachuo wengi wa kike.

Nilipokuwa kuwa chuoni, UDSM niliishi Mabibo hostel kabla sijapata mwanaume aliyenipangia nyumba.

Pale hostel nilijifunza mambo mengi mabaya, machafu na ya hovyo.

Nikiwa pale ndipo nilijifunza usagaji, kusagana ni raha sana na kupo very addictive. Imenichukua miaka mingi kuweza kuishinda dhambi hiii kwani hata nyumbani licha ya kwamba niko kwenye ndoa, nilikuwa nawashawishi wasichana wangu wa kazi, nawafundisha mchezo huo Huku nikiwalipa donge nono kwa kuniburudisha na kunitunzia Siri.

Mbali ya kusagana bado nilikuwa na Mabwana wengi tu nikiwa chuo. Chuoni nilijifunza ulevi, uvutaji sigara na bangi na mambo mengine.

Licha ya kwamba nimekulia kwenye familia ya Wacha Mungu , nikiwa chuo nikijifunza ushirikina. Nikajifunza maisha ya kwenda kwa waganga ili kupata dawa za mvuto kwa wanaume.

Chuo nilitoa mimba nyingi sana. Nilikuwa mlevi wa pesa, nilikuwa tayari kufanya lolote ili niwe na pesa.

Nimeahawahi kusafirisha madawa ya kulevya mara kadhaa, namshukuru sikukamatwa.

Wazazi, watoto wenu huko vyuoni sio watakatifu kama wanavyoonekana. Wengi wanaharibika wakiwa chUoni.

Kama hamna umuhimu wa binti Yako kukaa hostel, Kaa naye nyumbani ili awe salama
Too general, story yako ya kubumba.....acha hizo. Kama wewe konki shuka na issue iliyoshiba si hii ubwa2 ndo2.
 
Ngoja niendelee kusoma comments za wadau[emoji1614][emoji1614][emoji1614]
 
Chuo unakaaje na mtoto wako, upo dar wazaz wapo kantalamba unaishi vp
 
.
1659534084664.jpg
 
Ujinga wako peke yako na tamaa zako za maisha unataka kuwasingizia na watoto wa wenzio.
Humu ndani asilimia kubwa tumepitia mavyuoni na watu wenye tabia zako walikuwepo ila tulikuwa tunawaona kama vibwengo tu.

Hii comment kama niliwahi kukutananayo sehemu, tena humu humu.
 
Mi mwenyewe nimeishtukia yaani uzaliwe kwenye familia ya dini halafu ufanye dhambi next level near to Mr devel himself....no punguza tangawizi
😂Mimi mpaka imenipalia, Mwanamke hawezi kufunguka hivi
 
Tupia ka-video kafupi either ukisagwa or ukigongwa or ukifumuliwa marinda
 
Weeee acha zako, kuna assigment,test, course work ndogo, supp, weee labda usome couse simple huko.
assignment anamlipa mtu anamfanyia

test anaomba connection kwa profesa pakusoma

Quiz analipa mtu anamfanyia ikitokea haiwesekani ataongea na mwalimu

hapo tukutane tu UE
(Mtoa mada anaonekana hajasoma makozi magumu)
 
Back
Top Bottom