Najuta kwa madhambi niliyoyafanya nikiwa Chuo Kikuu, naomba Mungu watoto wangu wasipite njia ile

Najuta kwa madhambi niliyoyafanya nikiwa Chuo Kikuu, naomba Mungu watoto wangu wasipite njia ile

.
Screenshot_20220728-200508.jpg
 
Uongo.

Mabibo hostel ulikuwa unakaa block gani?
 
Ukitaka kujua kusagana Ni Raha kuliko wanaume muangalie mbunge Fulani. Kamuacha mume manyota na kuollewa na gume gume Fulani lililojizehekea mpaka sauti
 
Mfateni PM akawatapeli. Hill NI lidume hata mwandiko.
Alipokosea NI hapo anasema "hadi madawa ya kulevya nimesafirisha'...
 
Ukiwa kama mzazi naomba tu usome na kuelewa Nini huwa kinatokea kwenye mabweni ya wanachuo wengi wa kike.

Nilipokuwa kuwa chuoni, UDSM niliishi Mabibo hostel kabla sijapata mwanaume aliyenipangia nyumba.

Pale hostel nilijifunza mambo mengi mabaya, machafu na ya hovyo.

Nikiwa pale ndipo nilijifunza usagaji, kusagana ni raha sana na kupo very addictive. Imenichukua miaka mingi kuweza kuishinda dhambi hiii kwani hata nyumbani licha ya kwamba niko kwenye ndoa, nilikuwa nawashawishi wasichana wangu wa kazi, nawafundisha mchezo huo Huku nikiwalipa donge nono kwa kuniburudisha na kunitunzia Siri.

Mbali ya kusagana bado nilikuwa na Mabwana wengi tu nikiwa chuo. Chuoni nilijifunza ulevi, uvutaji sigara na bangi na mambo mengine.

Licha ya kwamba nimekulia kwenye familia ya Wacha Mungu , nikiwa chuo nikijifunza ushirikina. Nikajifunza maisha ya kwenda kwa waganga ili kupata dawa za mvuto kwa wanaume.

Chuo nilitoa mimba nyingi sana. Nilikuwa mlevi wa pesa, nilikuwa tayari kufanya lolote ili niwe na pesa.

Nimeahawahi kusafirisha madawa ya kulevya mara kadhaa, namshukuru sikukamatwa.

Wazazi, watoto wenu huko vyuoni sio watakatifu kama wanavyoonekana. Wengi wanaharibika wakiwa chUoni.

Kama hamna umuhimu wa binti Yako kukaa hostel, Kaa naye nyumbani ili awe salama

Pigia yesu makofi
 
Ukiwa kama mzazi naomba tu usome na kuelewa Nini huwa kinatokea kwenye mabweni ya wanachuo wengi wa kike.

Nilipokuwa kuwa chuoni, UDSM niliishi Mabibo hostel kabla sijapata mwanaume aliyenipangia nyumba.

Pale hostel nilijifunza mambo mengi mabaya, machafu na ya hovyo.

Nikiwa pale ndipo nilijifunza usagaji, kusagana ni raha sana na kupo very addictive. Imenichukua miaka mingi kuweza kuishinda dhambi hiii kwani hata nyumbani licha ya kwamba niko kwenye ndoa, nilikuwa nawashawishi wasichana wangu wa kazi, nawafundisha mchezo huo Huku nikiwalipa donge nono kwa kuniburudisha na kunitunzia Siri.

Mbali ya kusagana bado nilikuwa na Mabwana wengi tu nikiwa chuo. Chuoni nilijifunza ulevi, uvutaji sigara na bangi na mambo mengine.

Licha ya kwamba nimekulia kwenye familia ya Wacha Mungu , nikiwa chuo nikijifunza ushirikina. Nikajifunza maisha ya kwenda kwa waganga ili kupata dawa za mvuto kwa wanaume.

Chuo nilitoa mimba nyingi sana. Nilikuwa mlevi wa pesa, nilikuwa tayari kufanya lolote ili niwe na pesa.

Nimeahawahi kusafirisha madawa ya kulevya mara kadhaa, namshukuru sikukamatwa.

Wazazi, watoto wenu huko vyuoni sio watakatifu kama wanavyoonekana. Wengi wanaharibika wakiwa chUoni.

Kama hamna umuhimu wa binti Yako kukaa hostel, Kaa naye nyumbani ili awe salama
Sasa nikae nae nyumbani mwananfunzi wa chuo kikuu je kawa chekechea, hayo uliyoyaandika ni tabia ya mtu si kweli kwamba kile KE anayekuwa hosteli anakuwa na tabaia chafu kama za kwako, wewe shida yako ilikuwa ni tamaa na malezi mabovu
 
Ndani ya miaka mitatu uuze ngada,uvute sigara,bangi, usagane,udange at the same time uhudhurue lectures na ugraduate? Jf story za kutunga zimezidi bora kuhamia quora.
Kabisa, nipo huko Quora naipenda Sana ile haina wajuaji,
 
assignment anamlipa mtu anamfanyia

test anaomba connection kwa profesa pakusoma

Quiz analipa mtu anamfanyia ikitokea haiwesekani ataongea na mwalimu

hapo tukutane tu UE
(Mtoa mada anaonekana hajasoma makozi magumu)
Elimu yenu imeeasimisha hiyo mienendo kweli, au unasema tuu
 
Nitakupeleka kwa Yesu akakuondolee hamu ya uzinzi
Hapa duniani, YESU anakaa wapi hadi wewe uweze kumpeleka?
Isije ikawa unampeleka mtu kwa mchungaji wa kilokole halafu unasema unampeleka kwa YESU.
KIFUPI: BWANA YESU anamwita na kumbadilisha tabia mtu yeyote kupitia roho yake huyo mtu( hayo ndio mabadiliko ya kweli).
 
Inaonekana

1. unajuta na unamwomba Mungu wanao wasipite njia hyo
2. unadhan labda wazaz wako walikosea kukupeleka hostel

Lakini mzizi wa tatizo sio hilo, mzizi inawezekana ni ww kuchelewa kufunguka na kujua mabaya ya Dunia labda sabab wazaz wako na kuwa na dini walikubana sana, na pia tamaa ya pesa.

Sasa tambua miaka sahihi ya kijana kujua na kujaribu mambo ni akiwa chuo, maana akijaribu kabla ataharibikiwa sana, na akijaribu baada ya hapo Kuna kuharibikiwa zaid.

Cha muhim mfundishe mwanao mapema, kijana wa miaka 18-24 anapaswa kuwa na utashi wa kujua faida na hasara ya Kila uchaguzi wake.

Tofaut na hapo omba ila tambua hata wazaz wako walikuwa wanakuombea
 
Back
Top Bottom