Najuta kwa madhambi niliyoyafanya nikiwa Chuo Kikuu, naomba Mungu watoto wangu wasipite njia ile

Najuta kwa madhambi niliyoyafanya nikiwa Chuo Kikuu, naomba Mungu watoto wangu wasipite njia ile

Ukiwa kama mzazi naomba usome na kuelewa nini huwa kinatokea kwenye mabweni ya wanachuo wengi wa kike.
Nilipokuwa chuonI UDSM, niliishi Mabibo hostel kabla sijapata mwanaume aliyenipangia nyumba. Pale hostel nilijifunza mambo mengi mabaya, machafu na ya hovyo.

Nikiwa pale nilijifunza usagaji, upo very addictive. Imenichukua miaka mingi kuweza kuishinda dhambi hiii kwani hata nyumbani licha ya kwamba niko kwenye ndoa, nilikuwa nawashawishi wasichana wangu wa kazi, nawafundisha mchezo huo huku nikiwalipa donge nono kwa kuniburudisha na kunitunzia siri.

Mbali ya kusagana bado, nilikuwa na mabwana wengi tu nikiwa chuo. Chuoni nilijifunza ulevi, uvutaji sigara na bangi na mambo mengine. Licha ya kwamba nimekulia kwenye familia ya wacha Mungu, nikiwa chuo nilijifunza ushirikina. Nikajifunza maisha ya kwenda kwa waganga ili kupata dawa za mvuto kwa wanaume.

Chuo nilitoa mimba nyingi sana. Nilikuwa mlevi wa pesa, nilikuwa tayari kufanya lolote ili niwe na pesa. Nimeshawahi kusafirisha madawa ya kulevya mara kadhaa, nashukuru sikukamatwa.

Wazazi, watoto wenu huko vyuoni sio watakatifu kama wanavyoonekana. Wengi wanaharibika wakiwa chuoni. Kama hamna umuhimu wa binti yako kukaa hostel, kaa naye nyumbani ili awe salama.
Mbona hivi vitu vya kawaidaa...... kuna watu walifanya uchafu na uovu zaidi....
 
Kama hujapitia maisha ya Chuo utasema ni Chai...
ila ukwel Mabinti wanaharibikia chuo
Anabanwa akiwa mdogo mpaka anakua akifika Chuo anautumia uhuru sawa sawa..
Nilikuwa na rafiki yangu Home kwao akilud likizo hata hatoki wanamlinda ila chuo anaishi kwa mshikaji[emoji23][emoji23][emoji23]unabaki kucheka tuu
Kuna side effect nyingi za kubana watoto
 
Ukiwa kama mzazi naomba usome na kuelewa nini huwa kinatokea kwenye mabweni ya wanachuo wengi wa kike.
Nilipokuwa chuonI UDSM, niliishi Mabibo hostel kabla sijapata mwanaume aliyenipangia nyumba. Pale hostel nilijifunza mambo mengi mabaya, machafu na ya hovyo.

Nikiwa pale nilijifunza usagaji, upo very addictive. Imenichukua miaka mingi kuweza kuishinda dhambi hiii kwani hata nyumbani licha ya kwamba niko kwenye ndoa, nilikuwa nawashawishi wasichana wangu wa kazi, nawafundisha mchezo huo huku nikiwalipa donge nono kwa kuniburudisha na kunitunzia siri.

Mbali ya kusagana bado, nilikuwa na mabwana wengi tu nikiwa chuo. Chuoni nilijifunza ulevi, uvutaji sigara na bangi na mambo mengine. Licha ya kwamba nimekulia kwenye familia ya wacha Mungu, nikiwa chuo nilijifunza ushirikina. Nikajifunza maisha ya kwenda kwa waganga ili kupata dawa za mvuto kwa wanaume.

Chuo nilitoa mimba nyingi sana. Nilikuwa mlevi wa pesa, nilikuwa tayari kufanya lolote ili niwe na pesa. Nimeshawahi kusafirisha madawa ya kulevya mara kadhaa, nashukuru sikukamatwa.

Wazazi, watoto wenu huko vyuoni sio watakatifu kama wanavyoonekana. Wengi wanaharibika wakiwa chuoni. Kama hamna umuhimu wa binti yako kukaa hostel, kaa naye nyumbani ili awe salama.
Tuambie tabia zako kabla ya kwenda chuoni.
Maana, sidhani kama unaweza kukubali usagaji na umalaya kama vitu hivyo havifurahishi moyo wako( tukizingatia kuwa ulifanya hivyo bila kulazimishwa).
 
Hongera sana sana kwa ujarisi mkubwa wa kufungua macho jamii.

Mungu akutie nguvu.
 
ila jemima nakujua tangu advance ulikua wamoto sana duuh.
 
CHAI hii umei design uonekane umeshafanya kila kitu duniani something which is not possible hata kama ni uongo kwa njia ya kutoa fundisho mkuu haiwagi hivi.
Unachagua kakipengele kamoja una deal nako kupikia CHAI zako sasa wewe umebebe zote
Usagaji wewe
Umalaya wewe
Bangi wewe
Madawa ya kulevya wewe
Ushirikina wewe

Aah mkuu tupumzishe basi
 
Ukiwa kama mzazi naomba usome na kuelewa nini huwa kinatokea kwenye mabweni ya wanachuo wengi wa kike.
Nilipokuwa chuonI UDSM, niliishi Mabibo hostel kabla sijapata mwanaume aliyenipangia nyumba. Pale hostel nilijifunza mambo mengi mabaya, machafu na ya hovyo.

Nikiwa pale nilijifunza usagaji, upo very addictive. Imenichukua miaka mingi kuweza kuishinda dhambi hiii kwani hata nyumbani licha ya kwamba niko kwenye ndoa, nilikuwa nawashawishi wasichana wangu wa kazi, nawafundisha mchezo huo huku nikiwalipa donge nono kwa kuniburudisha na kunitunzia siri.

Mbali ya kusagana bado, nilikuwa na mabwana wengi tu nikiwa chuo. Chuoni nilijifunza ulevi, uvutaji sigara na bangi na mambo mengine. Licha ya kwamba nimekulia kwenye familia ya wacha Mungu, nikiwa chuo nilijifunza ushirikina. Nikajifunza maisha ya kwenda kwa waganga ili kupata dawa za mvuto kwa wanaume.

Chuo nilitoa mimba nyingi sana. Nilikuwa mlevi wa pesa, nilikuwa tayari kufanya lolote ili niwe na pesa. Nimeshawahi kusafirisha madawa ya kulevya mara kadhaa, nashukuru sikukamatwa.

Wazazi, watoto wenu huko vyuoni sio watakatifu kama wanavyoonekana. Wengi wanaharibika wakiwa chuoni. Kama hamna umuhimu wa binti yako kukaa hostel, kaa naye nyumbani ili awe salama.
Ulikuwa ushuzi kweli ww!!
mpe pole mume wako.
 
Back
Top Bottom