Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hao ndiyo mtaji mkuu wa CCMKweli kabisa na ndio maana mngependa watu wasipate elimu ili mpate wa kuendelea kuwapigia kura,safi sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao ndiyo mtaji mkuu wa CCMKweli kabisa na ndio maana mngependa watu wasipate elimu ili mpate wa kuendelea kuwapigia kura,safi sana.
Nyumbu ni wale walio kuleta hapa duniani[emoji23] [emoji23] [emoji23] Nmeona kajitahidi kuongea, inaonekana ushauri wetu humu ameufanyia kazi!
Hivyo ndio inatakiwa! Siyo kila siku unashambulia Rais, hayo awaachie nyumbu wake kina Mmawia
Umemaliza kaziYeye kafanya kwa miaka mitano! Sasa ni zamu ya wengine!
Wewe mtoto sio riziki. Una kiherehere utafikili unakojozwa.[emoji23] [emoji23] [emoji23] Nmeona kajitahidi kuongea, inaonekana ushauri wetu humu ameufanyia kazi!
Hivyo ndio inatakiwa! Siyo kila siku unashambulia Rais, hayo awaachie nyumbu wake kina Mmawia
😂 😂 😂 😂 😂 😂Aropoke tena maneno Kama hatalala lupango! Ulikuwa mtego huo
Kametuli aila kamekaa kimchambomchambo hivi.Nina kawimbo, Naomba wanamuziki mkatengeneze kakaye kwenye kampeni! “Walipo mpiga shaba, walidhani amekwisha, kumbe badala yake, ni raisi wa Tanzania!
NakaziaFor five good years, usijitoe ufahamu. Amechokwa, amezoeleka hana jipya.
Kwaiyo unafurahi kuumizwa Kwa TL aise kumbe we jamaa akili huna....Mdaiwa-Sugu ukiona Adui yako anaanza Kukupenda kipindi chenye Umuhimu Kwake jua kuna mahala ameshakutega Kukuumiza na utapaingia tu.
CCM inawauma nini? Mwaka huu kimewanasa kidude na hakichomoki.Ndio alienda tarime
Mjini na Bariadi alienda Bariadi mjini Lisu amekuwa akizurura na fomu mijini tu ziara zote
Kiukweli nahisi wanamuacha tu kutokana na jicho la mabeberu lakini wanajua atakatwa mapeeema na NEC so tuendelee kuwa wapole we'll see any!
Hii no nguvu ya Mungu mkuu na si mwanadamuSalary Slip angalia police wanamlinda mteule wa Mungu! Nimependa sana police kufanya kazi kwa misingi ya taaluma zao katika clip hii!
Watu kama hao ndiyo wamejaa ccm kwao upinzani ni sawa na vitaKwaiyo unafurahi kuumizwa Kwa TL aise kumbe we jamaa akili huna....
Utoto! Wakizuia unalalama! Wakiruhusu unazomea! Kila kitu wewe unaona ni ushindi.Mdaiwa-Sugu,
Lissu Kama Lissu! Huyo ndo shujaa wa Tanzania ndugu. Utampenda tu kwa kweli. Kwa madini aliyotema Leo ya kuwajali watu wa vyombo vya ulinzi na usalama.
Najua tu maneno yaliwaingia vizuri sana leo hawa jamaa hadi wakaamua kumlinda leo. Huyo ndo Lissu ndugu, Rais mtarajiwa wa Jamhuri ya Muungano Tanzania.