Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Kametuli aila kamekaa kimchambomchambo hivi.
Umevurugwa weweMleta Mada badili kichwa kisomeke wakazi wa Iringa mjini kuweka Iringa Ni upotoshaji!!! Wa vijijini hawapo hapo
Ndio umesikia popote Raisi Magufuli anajaza fomu kwa kupokelewa na misafara ya bodaboda na kuhutubia hotuba?
Sasa wananchi wanakuja kumsalimia yeye asiseme nao wacheni akili mgando hizo hata msibani watu wanahutubiwaDebe tupu haliachi kutika wenzie wagombea wote fomu wanajaza kimya kimya yeye kelele haziishi!!!
Keyboards worries tu,Bado mnaendelea na ramli zenu? Jaribuni kumkata tu. Tulizaliwa siku moja na tutakufa siku moja. Hapatakalika hapa Tanzania.
Magu kavuja Sheria kila Kona,Hivi huyu mtu alikuwa Rais wa Nani?Debe tupu haliachi kutika wenzie wagombea wote fomu wanajaza kimya kimya yeye kelele haziishi!!!
Debe tupu haliachi kutika wenzie wagombea wote fomu wanajaza kimya kimya yeye kelele haziishi!!!
Kwa mtizamo wangu jeshi LA polisi Tanzania halina tatizo na vyama vya upinzani tatizo in wakuu was Mikoa na Wilaya ambao wao ndiyo wenyeviti wa ulinzi na usakama Mkoa na Wailaya.Hilo jeshi la polisi sijui limegawanyika nchi hii, wapo waelewa na wapo wale wenzangu na mimi, au labda leo ndio siku yao ya kupewa mishahara ndio maana wamekuwa na furaha, maana yake nikimkumbuka yule aliemkamata Sugu kule Mbeya juzi, hata siwaelewi hawa polisi wetu.
pumbavu kwani Tanzania tuna msiba au Mh.Lissu anaomba rambirambi?mawazo ya kijinga kabisaDebe tupu haliachi kutika wenzie wagombea wote fomu wanajaza kimya kimya yeye kelele haziishi!!!
Sheria ya Uchaguzi inamtaka kila aliyependekezwa kugombea Urais apate wadhamini kadhaa toka maeneo kadhaa mawili yakiwa Zanzibar ndani ya muda fulani basi. Hata watunga Sheria wangekuwa wajinga kama wewe wakataka wadhamini watoke kwenye Kata kadhaa na Vijiji kadhaa vya kila eneo, kutokana na muda wangekwama kwasababu barabara na madaraja ya Magufuli hayapitiki yameenda na maji na madege yame- park Dar(Chato?) na treni ya kisasa SGR bado iko Kibaha. So far Mh. Lissu is doing fine. Wajinga walete mengine maana wanaleta kila mbinu ya kumkwamisha wanakwama wenyewe!Mleta Mada badili kichwa kisomeke wakazi wa Iringa mjini kuweka Iringa Ni upotoshaji!!! Wa vijijini hawapo hapo
Nimeandika nahisi so, sijui vikao VYENU vya kuwakata warudishao majina ya wadhamini huwa mnafanyaje..!Unataka kusema MNA mpango wa kumfungia nje msiyempenda? Kwa nini msiwaache Wananchi waamue maana mlisema mnakubalika sana na mtashinda kwa 99.99% katika uchaguzi kama mlivyoshinda SM?
Ndiyo ujiulize iweje hata yeye mwenyewe ana tashwishwi..!Anakatwa kwa Sheria ipi ya Uchaguzi?