Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
As a country our system is fundamentally flawed!
Hii inathibitisha bila shaka yoyote kwamba watumishi wa Tume ya uchaguzi ni wanaCCM na kwa wao kusimamia uchaguzi ni kinyume cha katiba ya nchi.
Jambo hili linadhalilisha Mahakama ya Tanzania na inathibitisha pasipo na shaka yoyote kwamba Mahakama si huru wala si Mhimili unaojitegemea.
Nakulilia Tanzania.
The framers of our two nations didnt think correctly.
We have to overhaul the whole nation from ground up.