Namna mshikaji wangu anavyoishi ukweni kwa furaha na amani tele

Namna mshikaji wangu anavyoishi ukweni kwa furaha na amani tele

haya mambo yapo
kuna mzee mmoja nilikuwa na urafiki na binti yake, akaanza pigana niingie serikalini
kapigana sana nikaja zingua kwa kutoka mbio (niliwahi sema hili kwenye uzi wa ulianzaje kaa gheto)

kuna wazee wakijua uko na binti zao wanapigana sana upate pa kushika
 
Maisha ni kujishusha, hata Pepo ya Mungu hupatikana Kwa kujishusha na kunyenyekea.
Ukijizima data na kujishusha huteseki duniani wala mbinguni.....Shida binadamu tumeumbwa na ego.
Upo sahihi kabisa
 
sio mpenzi wa jf na hafagilii mitandao mitandao hii so hakuna noma.

Mwamba huyu alikutana na demu wa kishua yaan kishua haswa, mwana ni un employee kwa sasa, kama ujuavyo mjini maisha ni gharama na mapenzi ni gharama haswa, sasa hakujua kama huyu binti ni wakishua yaan mama baba tajiri ni zali tu nazani, ila baadae ndo akastuka demu anakaa kwao ghorofani ndo akajua kile kina kirefu sasa mbinu za kivita zinahitajika.

Demu wazazi wazungu wazungu hawana hiyana, so akawa anampeleka mshikaji hapo kwao, kamtambulisha na nini, mwana nae mchangamfu sana, uongo mwingi, akawachangamkia sana wazazi yaani akifika kwao na demu ni anazungumza na kila mtu pale ana msifia kila mtu pale.

Sasa siku moja kamkuta mama mkwe ana umwa miguu imevimba, mshikaji bila haya bila uoga akaomba mafuta ya masaji, akaanza kumkanda bi maza na kumchua vizuri mbele ya familia yote, baba mkwe anashangaa iki nini? demu kapigwa butwaa, kaka zake wanashangaa ebhana hii kali, mwana yuko bize anamkanda bi mkubwa miguu huku ana mwambia "wewe ni mama angu mzazi siwezi kuona unateseka iv na mie kijana wako nipo hapa".

sasa ikawa ile familia ata itake nini, msela atajitolea kwa asilimia 100, akija iv mchana akamkuta baba mkwe amekaa kwenye sofa anatizama tv anaenda kwenye friji anamletea mzee maji anamwambia "baba kunywa maji mchana huu mwanadamu analoose maji mengi mwilini", alaf anampa demu care ya ajabu, akiwa home kwao pale ata mtu alalamike bando limemuishia yeye anasema ngoja nikakuchukulie vocha dukani na anaenda haigizi. sasa katengeneza dependency ya ajabu, familia nzima inamtegemea mno.

Sasa imefikia point familia nzima inamuamini haswa, baba mkwe siku hizi anamtuma mwana akamchukulie kodi kwenye nyumba zake za wapangaji huko tabata na mwana ni muaminifu haswa.

Ananiambia january hapo anaanza kazi shirika flani iv la mafuta lipo kigamboni, baba mkwe kamconnect, na anaishi kwao na demu safi kabisa na wazazi wa demu wameshamwambia demu kwamba hato olewa na mtu mwingine isipokua huyu na wazee wana mcount kama blessing mpya kwenye familia yao.

Hitimisho
Vijana igeni mifano, mambo yakiwa hayaeleweki wewe jizime data tu, swallow ur pride. Habari hii ni ukweli kwa asilimia 100, ni hapa hapa dar, hakuna neno ata moja la uongo nililo liongezea, nimeshuudia kwa macho yangu na sasa ata huyu demu wake ni rafiki angu pia.
Na isitoshe inasimama kabisa na anapiga mambo? Kuna watu hamnazo kwa kweli!
 
Yani ukifika huko maghorofani ni kubusu mikono ya ba mkwe kila baada ya nusu saa, sidiria za mama mkwe unazifua mwenyewe....mawigi ya mawifi ni kuyapaka mafuta muda wote yanang'aa....Mwari wangu wasipokupa connection ya Kazi UN huko, njoo uniite mbwa🤣
Yaaani kuwapikia jeee mi asubuhi kumi na moja nshaamka nshawaandalia meza, mchana mie humo jioni sasa aaah weeee
 
sio mpenzi wa jf na hafagilii mitandao mitandao hii so hakuna noma.

Mwamba huyu alikutana na demu wa kishua yaan kishua haswa, mwana ni un employee kwa sasa, kama ujuavyo mjini maisha ni gharama na mapenzi ni gharama haswa, sasa hakujua kama huyu binti ni wakishua yaan mama baba tajiri ni zali tu nazani, ila baadae ndo akastuka demu anakaa kwao ghorofani ndo akajua kile kina kirefu sasa mbinu za kivita zinahitajika.

Demu wazazi wazungu wazungu hawana hiyana, so akawa anampeleka mshikaji hapo kwao, kamtambulisha na nini, mwana nae mchangamfu sana, uongo mwingi, akawachangamkia sana wazazi yaani akifika kwao na demu ni anazungumza na kila mtu pale ana msifia kila mtu pale.

Sasa siku moja kamkuta mama mkwe ana umwa miguu imevimba, mshikaji bila haya bila uoga akaomba mafuta ya masaji, akaanza kumkanda bi maza na kumchua vizuri mbele ya familia yote, baba mkwe anashangaa iki nini? demu kapigwa butwaa, kaka zake wanashangaa ebhana hii kali, mwana yuko bize anamkanda bi mkubwa miguu huku ana mwambia "wewe ni mama angu mzazi siwezi kuona unateseka iv na mie kijana wako nipo hapa".

sasa ikawa ile familia ata itake nini, msela atajitolea kwa asilimia 100, akija iv mchana akamkuta baba mkwe amekaa kwenye sofa anatizama tv anaenda kwenye friji anamletea mzee maji anamwambia "baba kunywa maji mchana huu mwanadamu analoose maji mengi mwilini", alaf anampa demu care ya ajabu, akiwa home kwao pale ata mtu alalamike bando limemuishia yeye anasema ngoja nikakuchukulie vocha dukani na anaenda haigizi. sasa katengeneza dependency ya ajabu, familia nzima inamtegemea mno.

Sasa imefikia point familia nzima inamuamini haswa, baba mkwe siku hizi anamtuma mwana akamchukulie kodi kwenye nyumba zake za wapangaji huko tabata na mwana ni muaminifu haswa.

Ananiambia january hapo anaanza kazi shirika flani iv la mafuta lipo kigamboni, baba mkwe kamconnect, na anaishi kwao na demu safi kabisa na wazazi wa demu wameshamwambia demu kwamba hato olewa na mtu mwingine isipokua huyu na wazee wana mcount kama blessing mpya kwenye familia yao.

Hitimisho
Vijana igeni mifano, mambo yakiwa hayaeleweki wewe jizime data tu, swallow ur pride. Habari hii ni ukweli kwa asilimia 100, ni hapa hapa dar, hakuna neno ata moja la uongo nililo liongezea, nimeshuudia kwa macho yangu na sasa ata huyu demu wake ni rafiki angu pia.
Juhudi alizonazo ni kubwa sana, angekuwa anakula tu bila kazi ingekuwa changamoto, njia hiyo imemsaidia kupata kazi yake ya kujitegemea. Ishi na watu vizuri ule mema ya nchi ilimradi usimkosee Mungu wako.
 
sio mpenzi wa jf na hafagilii mitandao mitandao hii so hakuna noma.

Mwamba huyu alikutana na demu wa kishua yaan kishua haswa, mwana ni un employee kwa sasa, kama ujuavyo mjini maisha ni gharama na mapenzi ni gharama haswa, sasa hakujua kama huyu binti ni wakishua yaan mama baba tajiri ni zali tu nazani, ila baadae ndo akastuka demu anakaa kwao ghorofani ndo akajua kile kina kirefu sasa mbinu za kivita zinahitajika.

Demu wazazi wazungu wazungu hawana hiyana, so akawa anampeleka mshikaji hapo kwao, kamtambulisha na nini, mwana nae mchangamfu sana, uongo mwingi, akawachangamkia sana wazazi yaani akifika kwao na demu ni anazungumza na kila mtu pale ana msifia kila mtu pale.

Sasa siku moja kamkuta mama mkwe ana umwa miguu imevimba, mshikaji bila haya bila uoga akaomba mafuta ya masaji, akaanza kumkanda bi maza na kumchua vizuri mbele ya familia yote, baba mkwe anashangaa iki nini? demu kapigwa butwaa, kaka zake wanashangaa ebhana hii kali, mwana yuko bize anamkanda bi mkubwa miguu huku ana mwambia "wewe ni mama angu mzazi siwezi kuona unateseka iv na mie kijana wako nipo hapa".

sasa ikawa ile familia ata itake nini, msela atajitolea kwa asilimia 100, akija iv mchana akamkuta baba mkwe amekaa kwenye sofa anatizama tv anaenda kwenye friji anamletea mzee maji anamwambia "baba kunywa maji mchana huu mwanadamu analoose maji mengi mwilini", alaf anampa demu care ya ajabu, akiwa home kwao pale ata mtu alalamike bando limemuishia yeye anasema ngoja nikakuchukulie vocha dukani na anaenda haigizi. sasa katengeneza dependency ya ajabu, familia nzima inamtegemea mno.

Sasa imefikia point familia nzima inamuamini haswa, baba mkwe siku hizi anamtuma mwana akamchukulie kodi kwenye nyumba zake za wapangaji huko tabata na mwana ni muaminifu haswa.

Ananiambia january hapo anaanza kazi shirika flani iv la mafuta lipo kigamboni, baba mkwe kamconnect, na anaishi kwao na demu safi kabisa na wazazi wa demu wameshamwambia demu kwamba hato olewa na mtu mwingine isipokua huyu na wazee wana mcount kama blessing mpya kwenye familia yao.

Hitimisho
Vijana igeni mifano, mambo yakiwa hayaeleweki wewe jizime data tu, swallow ur pride. Habari hii ni ukweli kwa asilimia 100, ni hapa hapa dar, hakuna neno ata moja la uongo nililo liongezea, nimeshuudia kwa macho yangu na sasa ata huyu demu wake ni rafiki angu pia.
Utegemezi hauna mwisho mzuri. Kama kakubali kuolewa hakuna neno. Ila nnnhhh!
 
Back
Top Bottom