Namna ya shambulizi la Israel huko Isfahan-Iran inathibitisha Israel wamedhamiria na wanawaalika Iran kwa vita kamili.

Namna ya shambulizi la Israel huko Isfahan-Iran inathibitisha Israel wamedhamiria na wanawaalika Iran kwa vita kamili.

Mkuu hayo madhara ni kwetu sie ngozi nyeusi, wazungu wangekuwa wanaathirika hii vita ingekoma.
Hapana mkuu, madhara ni kwa wote, japo inaweza kuwa sio kwa uwiano sawa. Kumbuka unapozungumzia Israel huwezi waacha washirika wake, pia Iran nayo ina washirika ambao kwa namna moja ama nyingine wanaweza unga mkono endapo ikiwa vita kamili.

Kama umefuatilia habari, leo baada ya tukio la Iran, mafuta ghafi yalipanda kwa 3.5% kwa baadhi ya nchi na average ilikuwa 1% kwa nchi zingine kabla ya kurudi kwenye hali ya kawaida.

Kimsingi vita ni gharama sana, na kama huna uchumi mkubwa na stahimilivu, kuja kurudi kawaida baada ya vita ni kipengele kingine.
 
Syria Tenaa????
Syria jngeisaidiaje Israel waketi yenyewe ndio inapigwa kila siku??
Kuna kambi za jeshi la Marekani zinazojifanya zinapambana na kundi la Islamic State huko Syria. Zilijaribu kutoa ushirikiano wa kudhibiti makombora ya Iran yenye nguvu lakini wakashindwa.
 
Ungekaa kimya unatumia nguvu nyingi wakati Iran alishamaliza kazi yake siku nyingi nyie sindiyo mlikuwa mnaena Iran warushe hata jiwe Israel waone😁
Walisema Iran ikirusha jiwe tu Israel itakiona cha mtemakuni. Sasa sio jiwe tu bali Iran kashambulia mpaka kambi zao, alaf wa kufuta aibu wakatuma vindege vyao ambavyo vimeshushwa mara 1 na wenye nguvu.
 
Kila mtu wakiwemo viongozi wa Israel yenyewe wameona aibu kulizungumzia hili shambulio kutokana na kushindwa kufikia malengo.

Shambulio lililozuiliwa kiulani na Iran yenyewe bila madhara yoyote, unaweza kumfananishaje na lile lililoshindwa kuzuiwa na nchi zaidi ya 8 na likapiga target iliyokusudiwa!

Shambulio la Iran liliishtua na kushangaa dunia jinsi lilivyofanikiwa kupenya ngome za ulinzi za mataifa kama US, UK, France, Germany, Saudi Arabia, Jordan, Iraq, Syria na Israel yenyewe. Hili la Israel watu wengi duniani hawajui kama limetokea maana halikuleta madhara. Lakini pia limeivua nguo Israel kwa shambulio lake kuzuiwa na nchi moja tu (Iran) bila msaada wa US wala UK.
Unatak kusema shambulio la Israel limezuiwa kwa effectively kwa 100%
 
Walisema Iran ikirusha jiwe tu Israel itakiona cha mtemakuni. Sasa sio jiwe tu bali Iran kashambulia mpaka kambi zao, alaf wa kufuta aibu wakatuma vindege vyao ambavyo vimeshushwa mara 1 na wenye nguvu.
Hivyo vindege umeviona wewe kama tule tu drone twa kuchukua film au live football match, tena basi havikutokea Israel au nchi za kiarabu.

V merushiwa humo huma ndani na wapinzani wa Iran, wale waupande wa Shah wa Iran
 
Mkuu waisrael, wamarekani, waingereza, wafaransa, wajerumani na dunia kwa ujumla hawatokuja kusahau hicho kipigo kilichosababisha Netanyahu na wahuni wenzake walale chini ya mahandaki, ili kukwepa shambulio lililoshindwa kuzuiliwa na nchi zaidi ya 8.
1. Marekani
2. Uingereza
3. Ufaransa
4. Ujerumani
5. Jordan
6. Iraq
7. Saudi Arabia
8. Israel yenyewe

Pamoja na nchi hizo kujaribu kuzuia makombora ya Iran, lakini wameshindwa. Sasa Iran hako kashambulio kakazuia yeye mwenyew bila msaada wa Marekani, Saudia wala ushuzi wa nchi yoyote. Kwa kujiamini na kuidharau Israel na washirika wake Iran kasimama yeye kama yeye. Yani ni mapambano ya nchi 8 dhidi ya nchi 1. Alaf kashambulio kao ndio kepesi namna ile, na watu wengi duniani hawajui hata kilichoendelea huko Iran. Ila shambulizi la Iran mpaka vijijini kwenu huko Chato walilifahamu kulalek
Means Israel isingewekew kifua ingekuw na hali ngumu zaid
 
Unatak kusema shambulio la Israel limezuiwa kwa effectively kwa 100%
Leta video tuone madhara ya shambulio. Kumbuka ni Iran pekee ndo imelidhibiti shambulio la Israel.

Ila Israel, Marekani, Uingereza, Ufaransa, Ujerumani, Jordan na Saudi Arab zote zilipambana na kushirikiana kulidhibiti shambulio la Iran na bado makombora yalifika Israel na kuleta uharibifu mkubwa.
 
Means Israel isingewekew kifua ingekuw na hali ngumu zaid
Vibaya mno. Kama shambulio limezuiwa na nchi zaidi ya 7 lakini bado limeleta madhara, sasa kama hao wazuiaji wasingezuia, hali ingekuaje?

Kaa chini utafakari we mwenyewe vizuri.
 
V merushiwa humo huma ndani na wapinzani wa Iran, wale waupande wa Shah wa Iran
Pale myahudi mwenye vizaka na mweusi tii wa kongwa dodoma, anapojifanya anajua taarifa zaidi kilichotokea, kuliko wayahudi wenyew weupe na mabwana zao wamarekani.

Marekani ishasema Israel imerusha makombora Iran, wewe myahudi mweusi tii wa kihaya unapinga. Ni aibu sana 😂😂😂
 
Wazee wa propaganda kwani wanasemaje? Yale makombora ya mkafiri hayakudunguliwa sio?

Mwisho wenu umewadia
 
Vibaya mno. Kama shambulio limezuiwa na nchi zaidi ya 7 lakini bado limeleta madhara, sasa kama hao wazuiaji wasingezuia, hali ingekuaje?

Kaa chini utafakari we mwenyewe vizuri.

Jordan na nani wamezuia? Ila ukumbuke mengine yameshuka na kuleta uharibifu na hasara kubwa kwa wazayuni
 
Ulivyoandika utazan ww ndii neta yau umesifia sanaa, kwa ufupi hujaleta habari Bali maelezo yote yliotoa ya kusifia tu
Utabiri wa Ezekiel sura ya 38 unatimia. Gog Yaani Urusi watajiunga na Magogu Yaani Iran kuivamia Israel, hapo ndio utukufu wa Bwana Mungu kwa watu wake Israel utakapoonekana . Hizi ni dalili tu unabii utatimia Iran na washirina wake hawataweza.
 
Iran nao wapige Israel, hiki ndicho nachokitaka.

Ule unafiki wa sisi tulio chini tutaumizwa na vita ya wakubwa siutaki, tumeshazoea nauli za daladala kuwa juu hata kama bei ya mafuta ikishuka, wapigane.
 
Pale myahudi mwenye vizaka na mweusi tii wa kongwa dodoma, anapojifanya anajua taarifa zaidi kilichotokea, kuliko wayahudi wenyew weupe na mabwana zao wamarekani.

Marekani ishasema Israel imerusha makombora Iran, wewe myahudi mweusi tii wa kihaya unapinga. Ni aibu sana 😂😂😂
Yani kila anacho ongea America ni kweli? Kama ni kweli yule kondoo Netanyahu si angeanza kujisifia kwenye press conference na kuitishia Iran na show off zake za kubweka bweka.
 
Kila mtu wakiwemo viongozi wa Israel yenyewe wameona aibu kulizungumzia hili shambulio kutokana na kushindwa kufikia malengo.

Shambulio lililozuiliwa kiulani na Iran yenyewe bila madhara yoyote, unaweza kumfananishaje na lile lililoshindwa kuzuiwa na nchi zaidi ya 8 na likapiga target iliyokusudiwa!

Shambulio la Iran liliishtua na kushangaa dunia jinsi lilivyofanikiwa kupenya ngome za ulinzi za mataifa kama US, UK, France, Germany, Saudi Arabia, Jordan, Iraq, Syria na Israel yenyewe. Hili la Israel watu wengi duniani hawajui kama limetokea maana halikuleta madhara. Lakini pia limeivua nguo Israel kwa shambulio lake kuzuiwa na nchi moja tu (Iran) bila msaada wa US wala UK.
{}
 
Back
Top Bottom