Namtafuta Rafiki yangu Shunie. Tulipotezana humu mwaka 2015 mwanzoni enzi za JK

Status
Not open for further replies.
Sikuwahi kula ban .Namtafuta Shunie wa ubani nimeshindwa kumsahau Mara ya mwisho kuwasiliana nae humu JF ilikuwa 2016 mwishoni Kama sikosei japo Sina kumbukizi vizuri but she is my favorite girl since 2015s up to day[emoji257][emoji257][emoji257]
Jamaniiiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ulitumia makosa kutofanya nae mawasiliano kwa kipindi hicho, maana nakumbuka tulikuwa na fursa kubwa ya kuanzisha mahusiano nje ya jf. Kwa sasa utapata wakati mgumu sana kumpata Shunie, ila pole kwa kumkumbuka bidada wa watu.
Usimkatishe tamaa mwenzio basi
 
Wewe una lako jambo na muda utaongea.
Umejiunga 2015
Umeanzisha uzi mmoja na huu ni wa pili.

UMechangia nyuzi mara 15 tu ukijumlisha na posts za leo.

Tatu Shunie yupo kila siku jukwaani wala sio wa kuanzishia uzi.

Ok tutajua ulilolipanga
Nakupenda sana mkuu kama umemaliza hivi
 
[mention]Shunie [/mention] kama [mention]Shunie [/mention] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mmenipa kazi ya kutafuta hii thread mpaka nimeipata

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] haya myajenge sasa na shemeji
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] We ni chizi uliza I'd yake ya zamani

Kikubwa umekuja hiyo id yake atakutajia tyu usijali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Vipi nimwambie kabisa km una marejesho, au utamwambia mwenyewe?!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…