Jamaniiiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sikuwahi kula ban .Namtafuta Shunie wa ubani nimeshindwa kumsahau Mara ya mwisho kuwasiliana nae humu JF ilikuwa 2016 mwishoni Kama sikosei japo Sina kumbukizi vizuri but she is my favorite girl since 2015s up to day[emoji257][emoji257][emoji257]
Usimkatishe tamaa mwenzio basiUlitumia makosa kutofanya nae mawasiliano kwa kipindi hicho, maana nakumbuka tulikuwa na fursa kubwa ya kuanzisha mahusiano nje ya jf. Kwa sasa utapata wakati mgumu sana kumpata Shunie, ila pole kwa kumkumbuka bidada wa watu.
Nakupenda sana mkuu kama umemaliza hiviWewe una lako jambo na muda utaongea.
Umejiunga 2015
Umeanzisha uzi mmoja na huu ni wa pili.
UMechangia nyuzi mara 15 tu ukijumlisha na posts za leo.
Tatu Shunie yupo kila siku jukwaani wala sio wa kuanzishia uzi.
Ok tutajua ulilolipanga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mmenipa kazi ya kutafuta hii thread mpaka nimeipata
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][mention]Shunie [/mention] kama [mention]Shunie [/mention] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]
Uliadimika na huo ndio wito wako uliokua waitiwa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Ili nitafute nini sasa kwahiyo nimejitafuta nimejipata
Niko apa we mzee?? ,hivi mtafutwa kajitokeza?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] We ni chizi uliza I'd yake ya zamaniBado sijui atakua anakagua mafile yake, km hilo jina lipo au bwana shemeji anataka kuleta janja janja [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nipo apaUliadimika na huo ndio wito wako uliokua waitiwa
Atakuwa kikuu tu huyu. Alishiba makande akaamua kucheulia jf😂😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Auntie muulize id yake ya zamani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Auntie hata me nimewaza sanaAtakuwa kikuu tu huyu. Alishiba makande akaamua kucheulia jf[emoji23][emoji23][emoji23]
Shunie bado nakupenda mwenzio usifanye hivyo[emoji257]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mmenipa kazi ya kutafuta hii thread mpaka nimeipata
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] We ni chizi uliza I'd yake ya zamani
She's myn🌹 japo Kama hanikumbuki ata[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] haya myajenge sasa na shemeji
She's myn[emoji257] japo Kama hanikumbuki ata
Hahahahaaa.... Msaidie basi mshikaji wangu.Usimkatishe tamaa mwenzio basi