Namtetea mtoto wa Simbachawene, askari wachunguzwe

Namtetea mtoto wa Simbachawene, askari wachunguzwe

Kwanza nianze kwa kukili yakuwa pamoja yakuwa Mimi ni mtu mzima,na mtoto wa Askari polisi aliyetukanwa sijapokea na kumsamehe Joj Simbachawene.

Siwezi msamehe Mh Waziri Simbachawene kamwe na Sito fanya hivyo maana Baba yangu mzazi amefedheheshwa sana sana sana sana mbele ya macho ya umma.

Siwezi kubali hakika yakuwa Baba yangu atukanwe kwani yeye ndiye aliyenizaa Mimi Nina hakika ila sio sana mAana mwenye hiyo hakika ni mama yangu.

Ila nimeamua kwenda mbele zaidi baada baba kurudi nyumbani kimefanyika kikao kizito Cha kujadili ilihali wa baba yetu aliyetukanwa, Ili kudhibitisha yakuwa sio kweli tusi alilotukanwa na sisi tu wanae.

Katika kikao hicho tumekubaliana yafatayo.

Kwanza watoto wote tufanyiwe vipimo vya DNA testing.

Pili Ikibanika tu Wana wa baba mmoja basi baba atukunalie sisi tufungue kesi dhidi ya Simbachawene kwa malezi yake mabaya kwa vijana nguzo ya Taifa Ili.

Niliwai jiuliza Kwa Nini mwendazake aliwai mwambia Simbachawene yakuwa hakuwa Ikulu kuuza sura?Sasa naanza pata majibu.
Magufuli alikuwa strict disciplinarian. Baada ya kifo cha Magufuli,tunamuona mtoto wake Joseph ni mnene sana. Sasa Magufuli alikuwa mnafiki?
 
Mapya yaibuka
Kumbe jamaa askari waliomba rushwa ya laki moja , baadae wakashuka hadi elfu hamsini tena walimuomba kwa vitisho lakini akagoma, baadae aliposema Baba yake ni fulani ni waziri ndio wakastuka wameingia choo cha kike wakamgeuzia kibao.

Askari wetu nao njaa zimezidi ndio maana wanatukanwa tu matusi ya wazi wazi.

Kwa nini waombe rushwa kwanza?

Polisi Tanzania hawawezi kuacha kuomba rushwa kwenye lolote. Niliwahi kuandika nyuzi hizi:

Jeshi la Polisi na hasa Trafiki lifumuliwe na kuundwa upya

Ajali Barabarani: Tuzijue sababu, kuepuka upotoshwaji
 
Kwanza nianze kwa kukili yakuwa pamoja yakuwa Mimi ni mtu mzima,na mtoto wa Askari polisi aliyetukanwa sijapokea na kumsamehe Joj Simbachawene.

Siwezi msamehe Mh Waziri Simbachawene kamwe na Sito fanya hivyo maana Baba yangu mzazi amefedheheshwa sana sana sana sana mbele ya macho ya umma.

Siwezi kubali hakika yakuwa Baba yangu atukanwe kwani yeye ndiye aliyenizaa Mimi Nina hakika ila sio sana mAana mwenye hiyo hakika ni mama yangu.

Ila nimeamua kwenda mbele zaidi baada baba kurudi nyumbani kimefanyika kikao kizito Cha kujadili ilihali wa baba yetu aliyetukanwa, Ili kudhibitisha yakuwa sio kweli tusi alilotukanwa na sisi tu wanae.

Katika kikao hicho tumekubaliana yafatayo.

Kwanza watoto wote tufanyiwe vipimo vya DNA testing.

Pili Ikibanika tu Wana wa baba mmoja basi baba atukunalie sisi tufungue kesi dhidi ya Simbachawene kwa malezi yake mabaya kwa vijana nguzo ya Taifa Ili.

Niliwai jiuliza Kwa Nini mwendazake aliwai mwambia Simbachawene yakuwa hakuwa Ikulu kuuza sura?Sasa naanza pata majibu.
Mnataka kumdalilisha baba yenu kwa Mara nyingine (kama ulichoandika ni kweli lakini)
 
Huyu dogo kama atapelekwa gereza la keko basi tuhesabu maumivu Kwa familia yake kwasababu Kwa jinsi alivyo na mwili mteketeke sijui kama atasalimika
 
Hao Askari ni wapuuzi wooote hapo kituoni...tena wanastahili kuhamishiwa kijijini kusiko na umeme na maji

1.Dogo alikuwa mlevi na twajua pombe sio chai angeweza hata kuvua nguo je wangerusha picha zake?
Mtu yuko tungi tungi bado unamtegeshea kamera ili iweje?kama hawakuwa na nia ovu ya kumdhalilisha waziri?

2.Always protect your Superior...hao Askari baada ya kujua ni mtoto wa bosi wao na yuko mtungi wangemsukuma ndani faster kumficha toka kwenye macho ya umma.

3. Quickly wamemtaarifu mzee wake kuwa mwanao tumemficha hapa kituoni kuna msala kafanya na yuko tungi

4. Naamin Simbachawene angeagiza fanyeni Assessment waathirika wanataka nini au shilingi ngapi nimalizane hao ndani ya dakika kumi watawanyike

5. Baba yake angemaliza Jambo juu kwa juu sasa hapo ndio angejuana na mwanae njee ya macho ya umma
Hao askari wanatakiwa washtakiwe kwa kumpiga picha bila idhini yake.
Mbona wakiwa wanapokea rushwa hawajipigi picha.
Sasa wamenipa warrant wa kuwapiga picha pindi nikiwapa buku mbili halafu narusha mtandaoni
 
Mapya yaibuka
Kumbe jamaa askari waliomba rushwa ya laki moja , baadae wakashuka hadi elfu hamsini tena walimuomba kwa vitisho lakini akagoma, baadae aliposema Baba yake ni fulani ni waziri ndio wakastuka wameingia choo cha kike wakamgeuzia kibao.

Askari wetu nao njaa zimezidi ndio maana wanatukanwa tu matusi ya wazi wazi.

Kwa nini waombe rushwa kwanza?
Hakuna la kushangaza askari kuomba rushwa imekuwa kama tamaduni zetu ila hili la kusema mimi mtoto wa fulani hizi ndio tabia anatakiwa ajieleze je yeye kwa sababu mtoto wa fulani sheria haimuhusu au? si angekataa tu kuwapa ila kujitapa mimi baba yangu ni fulani inabidi aeleze ilikuwa nini dhumuni. Baba yake bado yuko kwenye siasa na ana ndoto nyingi na uhakika halafu unaenda kumuharibia mzee.
 
Jirecord na usambaze video ndio tutaamini kama wewe ndio mtoto wa yule askari.....bila hivyo basi ongeza mchai chai na tangawizi bila kusahau mdalasini chai izidi kunoga
 
Hao Askari ni wapuuzi wooote hapo kituoni...tena wanastahili kuhamishiwa kijijini kusiko na umeme na maji

1.Dogo alikuwa mlevi na twajua pombe sio chai angeweza hata kuvua nguo je wangerusha picha zake?
Mtu yuko tungi tungi bado unamtegeshea kamera ili iweje?kama hawakuwa na nia ovu ya kumdhalilisha waziri?

2.Always protect your Superior...hao Askari baada ya kujua ni mtoto wa bosi wao na yuko mtungi wangemsukuma ndani faster kumficha toka kwenye macho ya umma.

3. Quickly wamemtaarifu mzee wake kuwa mwanao tumemficha hapa kituoni kuna msala kafanya na yuko tungi

4. Naamin Simbachawene angeagiza fanyeni Assessment waathirika wanataka nini au shilingi ngapi nimalizane hao ndani ya dakika kumi watawanyike

5. Baba yake angemaliza Jambo juu kwa juu sasa hapo ndio angejuana na mwanae njee ya macho ya umma
Unalea upuuzi wewe
 
Mambo mengine ni kujinyamazia tu na kuzidi kujipambania. Sasa issue kama hii unakutana watu wanabishana kabisaa. Ila kuna viumbe na viumbe
Mambo ya kawaida tu haya
Yanatokea na waelewe dogo
Alikuwa mtungi ile siyo akili
Yake

Ova
 
Mapya yaibuka
Kumbe jamaa askari waliomba rushwa ya laki moja , baadae wakashuka hadi elfu hamsini tena walimuomba kwa vitisho lakini akagoma, baadae aliposema Baba yake ni fulani ni waziri ndio wakastuka wameingia choo cha kike wakamgeuzia kibao.

Askari wetu nao njaa zimezidi ndio maana wanatukanwa tu matusi ya wazi wazi.

Kwa nini waombe rushwa kwanza?
Huyo kijana ni rude, huo utetezi ni wa mfa maji, mtoto wa waziri na makosa ya rough driving wapi na wapi, yeye awajibike kwa kosa alilokamatiwa
 
Hapana hao askali ni waongo. Yule dogo siyo kichaa afanye hayo aliyoyafanya. Nina uhakika kulikuwa na mazingira ya rushwa.

Kuna mtu mmoja siku moja Dar alikuwa hizi hoteli za uswahilini, tena ni dereva wa serikali, sasa askali wakapita walikuwa na ukaguzi wa kawaida.

Basi wakamgongea mshikaji akafungua, bahati mbaya jamaa alikuwa kaweka waleti yenye hela zimetuna na zingine zimetokezea (zilikuwa per diem na mafuta ya safari), basi yule askali alivyoona jamaa alipigwa bonge la kofi na mateke bila hata kumuuliza na akasema nyie ndiyo majambazi tunawatafuta.

Baada ya hapo jamaa kapigwa pingu na kupelekwa mahabusu, alijitahidi kujielezea wapi, akaenda kuwekwa mahabusu na waleti yake na hela zimechukuliwa.

Wakaanza kumuandikisha maelezo yeye kama jambazi. Bahati nzuri alifahamiana na watu, yule askali alifukuzwa kazi baada ya kujulikana ukweli.

Naamini watoto wa viongozi wanapaswa kupewa heshima na siyo kuwadhalilisha.
Imeandikwa vizuri ila umeharibu kwenye hitimisho la watoto wa viongozi KUPEWA heshima, kila raia anastahili heshima bila kujali nafasi yake
 
Kama kweli usemalo basi baadhi ya traffic police nao ni shida....mtu kashafanya uharibifu na amelewa, wanataka atoe rushwa ili wamuachie akasababishe ajali nyingine mbele!?

Pamoja na hilo kama kweli lilikuwepo, bado halifanyi mtuhumiwa atukane na kudhalilisha jeshi la polisi. Kijana ana dharau sana yule
Wote wawajibishwe...Askari na huyo Mlevi wafikishwe kwenye mamlaka husika na kila Muhusika apate adhabu stahili.
 
waziri angesema uchunguzi ufanyike askari wa hii nchi ni waonevu sana kupita maelezo.mpaka kijana wake kutamka hayo maneno kuna jambo au kitu alitaka kufanyiwa na hawa askari wetu wa hovyo.
 
Hakuna la kushangaza askari kuomba rushwa imekuwa kama tamaduni zetu ila hili la kusema mimi mtoto wa fulani hizi ndio tabia anatakiwa ajieleze je yeye kwa sababu mtoto wa fulani sheria haimuhusu au? si angekataa tu kuwapa ila kujitapa mimi baba yangu ni fulani inabidi aeleze ilikuwa nini dhumuni. Baba yake bado yuko kwenye siasa na ana ndoto nyingi na uhakika halafu unaenda kumuharibia mzee.
Hii ni kashfa tosha inayoweza kumuwajibisha Mtu.
 
Back
Top Bottom