Namtetea mtoto wa Simbachawene, askari wachunguzwe

Namtetea mtoto wa Simbachawene, askari wachunguzwe

Unalea upuuzi wewe
Ukipigwa picha ukiwa mlevi utafurahia?
Huwezi kumkuta mtoto wa Bosi wako amelewa then unashadadia kumpiga picja za kuziposti,
Mfano: Huwezi kumpiga picha mtoto wa Samia akiwa mlevi na kuziposti huko ni kukosa adabu!
 
KUNA MTOTO WA MKUU FULANI HAJIONYESHI KABISA ANAITWA MANSA (...........), NAOMBA WAINGIE CHA KILE KWAKE, PIA NAOMBA KATIKA SCENERIO ASIJITAMBULISHE MPAKA MWISHO WA SCENE.
Kujitambulisha naona kama ni ushamba fulani.
 
Acha bangi, waziri kakukosea nini? Mtieni adabu huyo dogo, si yuko chini ya ulinzi?
 
Akafungue mashtaka ya kuomba rushwa akiwa amelewa na yeye ahukumiwe kwa kutukana jeshi la polisi. Mambo ya mm mtoto wa waziri hapana.
 
KUNA MTOTO WA MKUU FULANI HAJIONYESHI KABISA ANAITWA MANSA (...........), NAOMBA WAINGIE CHA KILE KWAKE, PIA NAOMBA KATIKA SCENERIO ASIJITAMBULISHE MPAKA MWISHO WA SCENE.
Kujitambulisha naona kama ni ushamba fulani.
Soma ulichoandika
 
Kwanza nianze kwa kukiri ya kuwa pamoja ya kuwa Mimi ni mtu mzima, na mtoto wa Askari polisi aliyetukanwa sijapokea na kumsamehe Joji Simbachawene.

Siwezi msamehe Mh Waziri Simbachawene kamwe na Sitofanya hivyo maana Baba yangu mzazi amefedheheshwa sana sana sana sana mbele ya macho ya umma.

Siwezi kubali hakika ya kuwa Baba yangu atukanwe kwani yeye ndiye aliyenizaa Mimi Nina hakika ila sio sana maana mwenye hiyo hakika ni mama yangu.

Ila nimeamua kwenda mbele zaidi baada baba kurudi nyumbani kimefanyika kikao kizito cha kujadili ilihali wa baba yetu aliyetukanwa, Ili kudhibitisha yakuwa sio kweli tusi alilotukanwa na sisi tu wanae.

Katika kikao hicho tumekubaliana yafatayo.

Kwanza watoto wote tufanyiwe vipimo vya DNA testing.

Pili Ikibanika tu Wana wa baba mmoja basi baba atukubalie sisi tufungue kesi dhidi ya Simbachawene kwa malezi yake mabaya kwa vijana nguzo ya Taifa hili.

Niliwahi jiuliza Kwanini mwendazake aliwahi mwambia Simbachawene yakuwa hakuwa Ikulu kuuza sura? Sasa naanza pata majibu.
Utoto unaishia umri wa miaka 18 baada ya hapo wewe ni mtu mzima na unamaamuzi yako ambayo hayawezi kuingiliwa na mtu yeyote yule, lete kesi mimi nitakusubiri mahakamani kesho Jumatatu asubuhi.
Samahani, mama yako alikuwa na macho.......! Maana umetia wasiwasi kuwa huyo afande huenda si dadii yako isipokuwa mama yako ndiye anayejua!
 
Ukipigwa picha ukiwa mlevi utafurahia?
Huwezi kumkuta mtoto wa Bosi wako amelewa then unashadadia kumpiga picja za kuziposti,
Mfano: Huwezi kumpiga picha mtoto wa Samia akiwa mlevi na kuziposti huko ni kukosa adabu!
Wanaopigwa picha ni watu wa aina gani ndugu yangu wakiwa wamefanya kosa.? Kwa sababu yeye ni mtoto wa rais amefanya kosa asipigwe picha kwa upuzi wake kisa ni mtoto wa rais.

Ebu kuwen siriasi. Kwenye mambo ya msingi. Hii issues ingekua kwa wenzetu wanaojielewa ingemuondoa simbachawen ofisin. Tatzo huku kwetu viongozi ni miungu watu. Na wakifanya la maana sana kuibua huu uovu.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Kumbukeni kuna tozo kiboa za kukera, sasa hivi waTanzania mtasahaulisha na hili sakata...
 
Mapya yaibuka
Kumbe jamaa askari waliomba rushwa ya laki moja , baadae wakashuka hadi elfu hamsini tena walimuomba kwa vitisho lakini akagoma, baadae aliposema Baba yake ni fulani ni waziri ndio wakastuka wameingia choo cha kike wakamgeuzia kibao.

Askari wetu nao njaa zimezidi ndio maana wanatukanwa tu matusi ya wazi wazi.

Kwa nini waombe rushwa kwanza?
Wewe hapa unatulisha matango pori. Ukiangalia video ya kwanza pale pale kwenye tukio alijitambulisha kua ni mtoto wa simbachawen. Na askari walikuwepo. Na video ya pili Yuko polisi. Na hapo bado alikua hajamalizana na wale waliogongewa magar Yao

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Mapya yaibuka
Kumbe jamaa askari waliomba rushwa ya laki moja , baadae wakashuka hadi elfu hamsini tena walimuomba kwa vitisho lakini akagoma, baadae aliposema Baba yake ni fulani ni waziri ndio wakastuka wameingia choo cha kike wakamgeuzia kibao.

Askari wetu nao njaa zimezidi ndio maana wanatukanwa tu matusi ya wazi wazi.

Kwa nini waombe rushwa kwanza?
Kitendo tu cha kuendesha gari akiwa kalewa kinaufanya utetezi wake wowote usiwe na mashiko.
 
Siwezi kuwa upande wa polisi hata siku moja, hakuna watu wana roho mbaya kama polisi wa bongo, hakunaaa....
hakika polisi sio wa kuwaamini wanawapora wafanya biashara wa dhahabu kisha kuwauwa alafu wanasema wamerushiana risasi n majambazi sugu na kufanikisha kuwauwa.
 
GTs,

Kama tulivyoona kijana wa Mh. Simbachawene alivyoingia kituoni halafu kuna askari akamchoza kwa tusi. Je, hiyo ni sahihi? Je, ni kweli alitukana na je, ndiyo njia sahihi ya askari kufanya kazi?

Je, haki za kijana wa Mh. Simbachawene zilifuatwa, au alitishiwa na hao askali ili atoe rushwa ila baada ya hao askali kujua ni mtoto wa kiongozi, ikabidi wamrekodi na kumchokoza ili akasirike warekodi na kumdhalilisha?!

Naamini jeshi la polisi litafanya uchunguzi ili kubaini hasa kitu gani kilitokea. Maana hao askari inaonekana walijipanga kuhakikisha dogo wana mdhalilisha.

Na kibaya walilenga kumdhalilisha Mh. Simbachawene, na huyo kijana inaonekana ni mtu mwenye heshima na anajitambua ila hao askari walimtengenezea mazingira baada ya kuona wamekosea ili kujikosha kwa jamii. Ila mtindo wa askari ndiyo huo kudhalilisha na kusumbua ili wapate rushwa.
Jiulize kwanini yeye!?
 
Imenilazimu nitafute video,kwa jinsi nilivyoona hii hali ni hatarishi sana huko mbele kwa hawa watoto wa viongozi ambapo wananchi ndo tumewapa wazazi wao dhamana ya kutuongoza,hebu jaribu kuwaza kidogo hii hali ingekuwaje mtoto wa mtu wa kipato cha kawaida kafanya hivi (japokuwa hakuna haki ya mtu yoyote kufanya kosa).

Nilochoelezea hapo ni maoni ambayo hayapo sambamba na uzi huu
 
Kwanza nianze kwa kukiri ya kuwa pamoja ya kuwa Mimi ni mtu mzima, na mtoto wa Askari polisi aliyetukanwa sijapokea na kumsamehe Joji Simbachawene.

Siwezi msamehe Mh Waziri Simbachawene kamwe na Sitofanya hivyo maana Baba yangu mzazi amefedheheshwa sana sana sana sana mbele ya macho ya umma.

Siwezi kubali hakika ya kuwa Baba yangu atukanwe kwani yeye ndiye aliyenizaa Mimi Nina hakika ila sio sana maana mwenye hiyo hakika ni mama yangu.

Ila nimeamua kwenda mbele zaidi baada baba kurudi nyumbani kimefanyika kikao kizito cha kujadili ilihali wa baba yetu aliyetukanwa, Ili kudhibitisha yakuwa sio kweli tusi alilotukanwa na sisi tu wanae.

Katika kikao hicho tumekubaliana yafatayo.

Kwanza watoto wote tufanyiwe vipimo vya DNA testing.

Pili Ikibanika tu Wana wa baba mmoja basi baba atukubalie sisi tufungue kesi dhidi ya Simbachawene kwa malezi yake mabaya kwa vijana nguzo ya Taifa hili.

Niliwahi jiuliza Kwanini mwendazake aliwahi mwambia Simbachawene yakuwa hakuwa Ikulu kuuza sura? Sasa naanza pata majibu.
Bdo unazipenda kengele zako??if not kashtaki
 
Kitendo tu cha kuendesha gari akiwa kalewa kinaufanya utetezi wake wowote usiwe na mashiko.
Polisi wetu ni waongo waongo mno, hii ni kwa sababu hao hao ndiyo walitaja pombe na kumsukumizia tusi na kumbuka kwa mujibu wa dogo walitaka pia kumpiga. Ila nina kuhakikishia hao polisi hawana kazi watafukuzwa, wamezoea kubambika watu kesi na kidhalilisha, kulikuwa na haja gani kimdhalilisha dogo kwa ajili ya rushwa??? Hawajui wanasababisha usumbufu kwa serikali?
 
Back
Top Bottom