Namtetea mtoto wa Simbachawene, askari wachunguzwe

Namtetea mtoto wa Simbachawene, askari wachunguzwe

Polisi wanaweza kukuua, kama hutaki kutoa rushwa kwa polisi na huna ki chh huu cheo basi tumia wakubwa lasivyo utakufa au kufungwa maana polisi wengi siyo waadilifu
Ukijifanya fala hawakupigi sana .wakati wa kuandikisha maelezo wangejua ni mtoto wa waziri wangemuachia
 
Unaona ni sawa kugonga gari na akimbie,jee huko mbele kwa watumiaji wengine wa barabara wana usalama gani?
Askari wetu wakati mwingine ni waongo, yaani wanaweza kutunga uongo. Ndiyo maana uchunguzi unahitajika. Polisi wanaweza piga picha hata magari yaliyoko kituoni na kusema kagonga haya magari. Siyo wa kuwaamini.
 
Ukijifanya fala hawakupigi sana .wakati wa kuandikisha maelezo wangejua ni mtoto wa waziri wangemuachia
Inategemea kauli gani walikuwa wameshaongea naye. Ukifika kuandikisha ujue kiwango cha rushwa kinaongezeka, yaani rushwa ya kufuta kosa, rushwa ya kutoka kituoni na rushwa ya kubadilishiwa kosa (maana ukifika kituoni huwa wanabadilisha kosa mfano ulimpiga askari etc).
 
AskaRi AskaRi AskaRi. Ni R sio L. Neno AskaRi Kila siku linaonekana bado watu wanalikosea. Huko shuleni mlisomea ujinga?
 
Polisi ni Washenzi sana, wanamchokoza mtu halafu wanarecord. Watoe video nzima ya jinsi walivyomkasirisha kwa kumpiga. Hii ni shida ya kuwachukua failure wote na kuwajaza kituo kimoja
Ni kweli, hao polisi wame edit clip za kumdhalilisha dogo, yaani hawana adabu kabisa. Natamani wafukuzwe kazi
 
AskaRi AskaRi AskaRi. Ni R sio L. Neno AskaRi Kila siku linaonekana bado watu wanalikosea. Huko shuleni mlisomea ujinga?
Tatizo auto language simu ina guess. Ila nimerekebisha
 
Shida kubwa sana ipo kwa jamaa zetu.
Tukio limetokea namba za gari mmezipata, mmiliki mnamfahamu, kuna haja gani kumkimbiza?

Shida imetokea hakuna kifo, wahusika wapo tayari kuyamaliza Nyie mnang’ang’ania twende kituoni, wakafanye nini?.

Ila pia kuna kipimo cha pombe ili kuthibitisha kiasi alicholewa dereva, je hicho kilifanyika?

Ya wezekana alikuwa element anakunywa Maji.

Hivi leo hii wakipanda mahakamani nani anashinda kwa mazingira kama hayo.?

Kila mtu akitimiza wajibu wake hatuwezi fika huku.
Ulitaka watembee ili wamkamate,kila k2 kimejidhirisha,acheni kuchanganya pumba na mchele
 
Inategemea kauli gani walikuwa wameshaongea naye. Ukifika kuandikisha ujue kiwango cha rushwa kinaongezeka, yaani rushwa ya kufuta kosa, rushwa ya kutoka kituoni na rushwa ya kubadilishiwa kosa (maana ukifika kituoni huwa wanabadilisha kosa mfano ulimpiga askari etc).
Hujanielewa,kwa mtoto wa waziri wakati wakiandikisha maelezo wakijua wewe ni mtoto wa waziri wanakuachia bila rushwa na samahani juu
 
GTs,

Kama tulivyoona kijana wa Mh. Simbachawene alivyoingia kituoni halafu kuna askari akamchoza kwa tusi. Je, hiyo ni sahihi? Je, ni kweli alitukana na je, ndiyo njia sahihi ya askari kufanya kazi?

Je, haki za kijana wa Mh. Simbachawene zilifuatwa, au alitishiwa na hao askali ili atoe rushwa ila baada ya hao askali kujua ni mtoto wa kiongozi, ikabidi wamrekodi na kumchokoza ili akasirike warekodi na kumdhalilisha?!

Naamini jeshi la polisi litafanya uchunguzi ili kubaini hasa kitu gani kilitokea. Maana hao askari inaonekana walijipanga kuhakikisha dogo wana mdhalilisha.

Na kibaya walilenga kumdhalilisha Mh. Simbachawene, na huyo kijana inaonekana ni mtu mwenye heshima na anajitambua ila hao askari walimtengenezea mazingira baada ya kuona wamekosea ili kujikosha kwa jamii. Ila mtindo wa askari ndiyo huo kudhalilisha na kusumbua ili wapate rushwa.
Mkuu unamtetea huyu kijana unamjua??? Mh simbachawene ametoa tamko ni baba yake mzaz...anamjua mwanae...nakumbuka 2020 huyu kijana alifunga hasur pale tabata...tena ilihudhuriwa na watu wachache sana caz kipindi hicho ndio corona ilikuwa imepamba moto...

Kijana kama ni mke alipata...binti ni mzur haswa...elimu yake safi...muajiriwa sehem...na akahamishwa baada ya kufunga ndoa...ni wife material kwa kweli...kwa yule binti nilijua tuu kijana kapata mke

Mh alipopata wasaa wa kutoa neno katika shughuli ile...hakuwa mnafiki...alipiga pale pale...lakin ni kama alimaanisha kijana apunguze starehe....na kipnd hicho mkwe alikuwa mjamzito...

Nakumbuka zawadi mzee aliyo itoa ni mifuko ya cements akamuamuru....hku akimwambia ninacho weza kukusaidia ni hii mifuko kadhaa ya cement...so binafsi nasimama na kauli yake..,

Kama kuna makosa yamefanyika basi sheria ichukue mkondo wake...hii kaul binafs hainipi wasi wasi caz nikikumbuka maneno yake miaka miwil iliyopita...sina cha kusema...
 
Staged event ya Trafik kurudi kwenye game. Eti kama mtoto wa waziri kapewa adhabu, we raia ni nani usipewe za USO.
Fishhy
 
Mkuu unamtetea huyu kijana unamjua??? Mh simbachawene ametoa tamko ni baba yake mzaz...anamjua mwanae...nakumbuka 2020 huyu kijana alifunga hasur pale tabata...tena ilihudhuriwa na watu wachache sana caz kipindi hicho ndio corona ilikuwa imepamba moto...

Kijana kama ni mke alipata...binti ni mzur haswa...elimu yake safi...muajiriwa sehem...na akahamishwa baada ya kufunga ndoa...ni wife material kwa kweli...kwa yule binti nilijua tuu kijana kapata mke

Mh alipopata wasaa wa kutoa neno katika shughuli ile...hakuwa mnafiki...alipiga pale pale...lakin ni kama alimaanisha kijana apunguze starehe....na kipnd hicho mkwe alikuwa mjamzito...

Nakumbuka zawadi mzee aliyo itoa ni mifuko ya cements akamuamuru....hku akimwambia ninacho weza kukusaidia ni hii mifuko kadhaa ya cement...so binafsi nasimama na kauli yake..,

Kama kuna makosa yamefanyika basi sheria ichukue mkondo wake...hii kaul binafs hainipi wasi wasi caz nikikumbuka maneno yake miaka miwil iliyopita...sina cha kusema...
Lakini wasi wasi wetu ni hayo mazingira na tabia za polisi kubambika watu makosa, hii tabia yao ikomeshwe hao askari. Iwapo wakifanikisha iko siku watakudhalilisha hata wewe. Yaani polisi wajue saikolojia ya kudeal na watuhumiwa na siyo kutumia njia ambazo hazijengi.
 
Back
Top Bottom