Namtetea mtoto wa Simbachawene, askari wachunguzwe

Namtetea mtoto wa Simbachawene, askari wachunguzwe

Element bia za local Ni 5500 za njje Ni kunzia elf 8000. Dogo katoka asbh kaenda kubutua tozoo zetu na ikimbukwe hakuwa Pekee ake pale element atakuwa kaacha milioni kwaone night ambazo hakika Ni uhakika Nia tozo zetu katoka kuziponda

All in all maskar na yule mwenye passo ndoo alikuwa anaongea maneno yasio na stah na lema nae wachadema amekimbia Twitter kujifanya kuwayey anajuwa kulea na simbachawene alimlea mtot vibaya siyo kweli hata yet asubiri wanae wakue ndio atajuwa kuwa alikozea au kapatia


Pila lema asijisahau alivyo kuwa muhuni akiwa kolila high school na akiwa mjini Arusha kufanya utapeli wa magari asisahau Hilo je Ni kwamb wazazi wake walimlea vibaya

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
ohoo...jikite kwenye hoja...hayo ya Lema CCM au CHADEMA ...kwa sisi wajenga hoja hayatuhusu...ni dalili ya kushindwa kujenga hoja

Sikudharua...bado ulikua na kitu kizuri cha kuandika...lakini uandishi wako mbovu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alipe gari za Watu alizogonga au apelekwe court kuendesha gari akiwa amelewa na kusababisha ajali.Lakini hayo matusi ni zao la Ulevi tu siyo kwamba ndiyo tabia yake .
Element ni club kubwa ni Night club ametoka kupombeka hivyo tujue ukishalewa busara kwa Watu hupungua halafu msiunganishe Ulevi wake na malezi maana hakuna anayefundisha Mtoto wake Ulevi Ila Mtu kunywa pombe siyo kosa pia.
Ukiwa club Matusi vitu vya kawaida Sana au kipigana ndiyo maana tunaweka Mabaunsa kudhibiti Ubabe ndani ya Club.
Ondoeni hoja ya Ubaba hapo na Malezi hakuna Uhusiano Tambo baada ya kulewa kawaida tu kila Mtu akilewa anataka kuoneka Msomi na anaongea kiingereza hata Kama hajui vizuri ataropoka tu,anazo pesa ,anayo mamlaka pia.Vitu vya kawaida Sana hasa wenye tuluozoea kushinda club na kupombeka.
Jifunze tabia za Watu wakishakunywa Pombe.
 
Haya mambo mbona mnayakuza,tukio alilofanya mtoto huyo yanawakuta watu/watoto wa wengine kila leo
Kikubwa wafate sheria na taratibu
Wamchukulie huyo dogo

Ova
 
U
Kwanza nianze kwa kukiri ya kuwa pamoja ya kuwa Mimi ni mtu mzima, na mtoto wa Askari polisi aliyetukanwa sijapokea na kumsamehe Joji Simbachawene.

Siwezi msamehe Mh Waziri Simbachawene kamwe na Sitofanya hivyo maana Baba yangu mzazi amefedheheshwa sana sana sana sana mbele ya macho ya umma.

Siwezi kubali hakika ya kuwa Baba yangu atukanwe kwani yeye ndiye aliyenizaa Mimi Nina hakika ila sio sana maana mwenye hiyo hakika ni mama yangu.

Ila nimeamua kwenda mbele zaidi baada baba kurudi nyumbani kimefanyika kikao kizito cha kujadili ilihali wa baba yetu aliyetukanwa, Ili kudhibitisha yakuwa sio kweli tusi alilotukanwa na sisi tu wanae.

Katika kikao hicho tumekubaliana yafatayo.

Kwanza watoto wote tufanyiwe vipimo vya DNA testing.

Pili Ikibanika tu Wana wa baba mmoja basi baba atukubalie sisi tufungue kesi dhidi ya Simbachawene kwa malezi yake mabaya kwa vijana nguzo ya Taifa hili.

Niliwahi jiuliza Kwanini mwendazake aliwahi mwambia Simbachawene yakuwa hakuwa Ikulu kuuza sura? Sasa naanza pata majibu.
Upuuzi Upuuzi.
 
Hao askari wanatakiwa washtakiwe kwa kumpiga picha bila idhini yake.
Mbona wakiwa wanapokea rushwa hawajipigi picha.
Sasa wamenipa warrant wa kuwapiga picha pindi nikiwapa buku mbili halafu narusha mtandaoni
Dunia ya leo na haya mambo ya mitandao ya kijamii kupigana picha kurekodiana mambo ya kawaida tu
Unaweza rekodi video au piga picha na ikawa msaada kwako na kwa wengine

Ova
 
Hao Askari ni wapuuzi wooote hapo kituoni...tena wanastahili kuhamishiwa kijijini kusiko na umeme na maji

1.Dogo alikuwa mlevi na twajua pombe sio chai angeweza hata kuvua nguo je wangerusha picha zake?
Mtu yuko tungi tungi bado unamtegeshea kamera ili iweje?kama hawakuwa na nia ovu ya kumdhalilisha waziri?

2.Always protect your Superior...hao Askari baada ya kujua ni mtoto wa bosi wao na yuko mtungi wangemsukuma ndani faster kumficha toka kwenye macho ya umma.

3. Quickly wamemtaarifu mzee wake kuwa mwanao tumemficha hapa kituoni kuna msala kafanya na yuko tungi

4. Naamin Simbachawene angeagiza fanyeni Assessment waathirika wanataka nini au shilingi ngapi nimalizane hao ndani ya dakika kumi watawanyike

5. Baba yake angemaliza Jambo juu kwa juu sasa hapo ndio angejuana na mwanae njee ya macho ya umma
Upumbavu mkubwa huu niliowahi kuusoma hapa JF, nchi hii kweli ni pithole country yaani kuna sheria za sisi walala hoi wa lingusenguse na kuna sheria za waliobarikiwa wa masaki, nimekudharau mno kwa mchango huu wa kuonyesha kuwa kama huku drop name your nothing
 
Kwanza nianze kwa kukiri ya kuwa pamoja ya kuwa Mimi ni mtu mzima, na mtoto wa Askari polisi aliyetukanwa sijapokea na kumsamehe Joji Simbachawene.

Siwezi msamehe Mh Waziri Simbachawene kamwe na Sitofanya hivyo maana Baba yangu mzazi amefedheheshwa sana sana sana sana mbele ya macho ya umma.

Siwezi kubali hakika ya kuwa Baba yangu atukanwe kwani yeye ndiye aliyenizaa Mimi Nina hakika ila sio sana maana mwenye hiyo hakika ni mama yangu.

Ila nimeamua kwenda mbele zaidi baada baba kurudi nyumbani kimefanyika kikao kizito cha kujadili ilihali wa baba yetu aliyetukanwa, Ili kudhibitisha yakuwa sio kweli tusi alilotukanwa na sisi tu wanae.

Katika kikao hicho tumekubaliana yafatayo.

Kwanza watoto wote tufanyiwe vipimo vya DNA testing.

Pili Ikibanika tu Wana wa baba mmoja basi baba atukubalie sisi tufungue kesi dhidi ya Simbachawene kwa malezi yake mabaya kwa vijana nguzo ya Taifa hili.

Niliwahi jiuliza Kwanini mwendazake aliwahi mwambia Simbachawene yakuwa hakuwa Ikulu kuuza sura? Sasa naanza pata majibu.
Stupid individual
 
Huyo mtoto ana bahati sana,angekutana na sisi wazee wa kazi,angekuwa na adabu ,tungeshinda naye usiku kucha.
 
Umaskini unasababisha mnakuwa na roho mbaya, aende jela Kwa kesi gani? Mawakili wote hawa kazi yao ni nini? hiyo kesi siyo bailable?

Kwanza traffic case ni kesi za faini tu, na kama kutukanwa hao Polisi huwa wanatukanwa sana mahakamani na mahabusu, wasengerema tu.

Huyo mtoto amefanya kosa kama human being na siyo kama mtoto wa Simbachawene, tuache roho za kimaskini.
Police ndiyo wamelikuza hili Jambo kisa tu ni Mtoto wa Chawane! Kulikua na ulazima wa kuchukuwa mavideo na kuyarusha mtandaoni!? Issue ndogo sana sema hao police wameikuza sana,walitakiwa wam treat Kama wahalifu wengine tu!!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
DNA isije zua makubwa kuliko ya mtoto wa simbachawene.
 
Ukipigwa picha ukiwa mlevi utafurahia?
Huwezi kumkuta mtoto wa Bosi wako amelewa then unashadadia kumpiga picja za kuziposti,
Mfano: Huwezi kumpiga picha mtoto wa Samia akiwa mlevi na kuziposti huko ni kukosa adabu!
Acha utoto boss mzee wake sio yeye
 
Wanaopigwa picha ni watu wa aina gani ndugu yangu wakiwa wamefanya kosa.? Kwa sababu yeye ni mtoto wa rais amefanya kosa asipigwe picha kwa upuzi wake kisa ni mtoto wa rais.

Ebu kuwen siriasi. Kwenye mambo ya msingi. Hii issues ingekua kwa wenzetu wanaojielewa ingemuondoa simbachawen ofisin. Tatzo huku kwetu viongozi ni miungu watu. Na wakifanya la maana sana kuibua huu uovu.

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Nakuelewa mkuu Kuna mingese umu inamtetea eti mtoto wa boss boss kwaio ndio afanye anavyojiskia
 
Ulichokiona ni ujinga wa polisi, hawakuwa na haja ya kuyaanika haya baada ya kukosa hela ya rushwa. Kama huna gari sawa au kama hujawahi kutana na kesi za polisi. Mi kuna boda liwahi nigonga then polisi wakaja wakabadilisha kosa likawa langu kwa sababu nina gari na hela kubwa ya rushwa. Yaani kwenye hii issue polisi ndiyo wenye makosa
Mkuu una hasira na police tu ndio maana lakini hii issues ukiicheku haijakaa poa kwa mtoto wa kiongozi kufanya vile maana inaonekana baba yake hakumlea kimaadili ya kuheshimu watu wengine maana
 
Siwapendi polisi ila dogo kazingua angejifanya fala tu wangekuja kumtoa ndani wakimpigia saluti
Hawa jamaa zetu chenga sana,
Anzia wachimba madini wa Mahenge chini ya Zombe,
Njoo 150m jangwani chini ya Kova.
Njoo ya Juzi Mtwara.

Kama imethibitika ni mkosaji , sheria ifuatwe pasipo kuacha shaka.
Haya mambo ya kaa kwenye kiti ,umemtukana nani sijui nini , hayana nafasi ktk traffic case.
 
Hao Askari ni wapuuzi wooote hapo kituoni...tena wanastahili kuhamishiwa kijijini kusiko na umeme na maji

1.Dogo alikuwa mlevi na twajua pombe sio chai angeweza hata kuvua nguo je wangerusha picha zake?
Mtu yuko tungi tungi bado unamtegeshea kamera ili iweje?kama hawakuwa na nia ovu ya kumdhalilisha waziri?

2.Always protect your Superior...hao Askari baada ya kujua ni mtoto wa bosi wao na yuko mtungi wangemsukuma ndani faster kumficha toka kwenye macho ya umma.

3. Quickly wamemtaarifu mzee wake kuwa mwanao tumemficha hapa kituoni kuna msala kafanya na yuko tungi

4. Naamin Simbachawene angeagiza fanyeni Assessment waathirika wanataka nini au shilingi ngapi nimalizane hao ndani ya dakika kumi watawanyike

5. Baba yake angemaliza Jambo juu kwa juu sasa hapo ndio angejuana na mwanae njee ya macho ya umma
Hao maafisa hawana mafunzo ya maadili ni sawa na kuanika kasoro za mkeo kijiweni angali ukijua bado ni mkeo,mtu akiwa tungi lolote analolifanya linakuwa nje ya uwezo wake kiakili.Ndo maana wale police wasio na adabu walimdhalilisha Mh Adam Malima tena mbele ya kandamnasi ilikuwa ni aibu kabisa kwa taifa na kwa jamii nzima,ningelikuwa IGP huyo police aliemtishia bunduki Malima hakika ningelikula kichwa.
Hiyo ya dogo aliedhalirika ni Mh Waziri sio mtoto kwani mtoto akikunyea kiganja huwezi kukikata
 
Back
Top Bottom