musicarlito
JF-Expert Member
- Dec 29, 2020
- 368
- 556
ohoo...jikite kwenye hoja...hayo ya Lema CCM au CHADEMA ...kwa sisi wajenga hoja hayatuhusu...ni dalili ya kushindwa kujenga hojaElement bia za local Ni 5500 za njje Ni kunzia elf 8000. Dogo katoka asbh kaenda kubutua tozoo zetu na ikimbukwe hakuwa Pekee ake pale element atakuwa kaacha milioni kwaone night ambazo hakika Ni uhakika Nia tozo zetu katoka kuziponda
All in all maskar na yule mwenye passo ndoo alikuwa anaongea maneno yasio na stah na lema nae wachadema amekimbia Twitter kujifanya kuwayey anajuwa kulea na simbachawene alimlea mtot vibaya siyo kweli hata yet asubiri wanae wakue ndio atajuwa kuwa alikozea au kapatia
Pila lema asijisahau alivyo kuwa muhuni akiwa kolila high school na akiwa mjini Arusha kufanya utapeli wa magari asisahau Hilo je Ni kwamb wazazi wake walimlea vibaya
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Sikudharua...bado ulikua na kitu kizuri cha kuandika...lakini uandishi wako mbovu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app