Namtetea mtoto wa Simbachawene, askari wachunguzwe

Namtetea mtoto wa Simbachawene, askari wachunguzwe

Mi sijui hata mnataka kutetea Nini hapa. Hebu Kuna kipindi acheni ushirikina nyie watu. Yaani baada ya kuona hizo clip zote Bado mnataka kumtetea? Ama kweli watanzania nyoko asee.
Mi mwnyw namtetea mapolis yamezid ukuda acha yanyooshwe,siyapend mim
 
Hao Askari ni wapuuzi wooote hapo kituoni...tena wanastahili kuhamishiwa kijijini kusiko na umeme na maji

1.Dogo alikuwa mlevi na twajua pombe sio chai angeweza hata kuvua nguo je wangerusha picha zake?
Mtu yuko tungi tungi bado unamtegeshea kamera ili iweje?kama hawakuwa na nia ovu ya kumdhalilisha waziri?

2.Always protect your Superior...hao Askari baada ya kujua ni mtoto wa bosi wao na yuko mtungi wangemsukuma ndani faster kumficha toka kwenye macho ya umma.

3. Quickly wamemtaarifu mzee wake kuwa mwanao tumemficha hapa kituoni kuna msala kafanya na yuko tungi

4. Naamin Simbachawene angeagiza fanyeni Assessment waathirika wanataka nini au shilingi ngapi nimalizane hao ndani ya dakika kumi watawanyike

5. Baba yake angemaliza Jambo juu kwa juu sasa hapo ndio angejuana na mwanae njee ya macho ya umma
Yaani umegonga penyewe kabisa. Yaani hao ma askari ni maboya mno, ningekuwa wambura unayafukuza kazi mara moja. Maana kama yamemdhalilisha hivyo kiongozi hayajui maadili ya kazi.
 
Imenilazimu nitafute video,kwa jinsi nilivyoona hii hali ni hatarishi sana huko mbele kwa hawa watoto wa viongozi ambapo wananchi ndo tumewapa wazazi wao dhamana ya kutuongoza,hebu jaribu kuwaza kidogo hii hali ingekuwaje mtoto wa mtu wa kipato cha kawaida kafanya hivi (japokuwa hakuna haki ya mtu yoyote kufanya kosa).

Nilochoelezea hapo ni maoni ambayo hayapo sambamba na uzi huu
Ulichokiona ni ujinga wa polisi, hawakuwa na haja ya kuyaanika haya baada ya kukosa hela ya rushwa. Kama huna gari sawa au kama hujawahi kutana na kesi za polisi. Mi kuna boda liwahi nigonga then polisi wakaja wakabadilisha kosa likawa langu kwa sababu nina gari na hela kubwa ya rushwa. Yaani kwenye hii issue polisi ndiyo wenye makosa
 
Mapya yaibuka
Kumbe jamaa askari waliomba rushwa ya laki moja , baadae wakashuka hadi elfu hamsini tena walimuomba kwa vitisho lakini akagoma, baadae aliposema Baba yake ni fulani ni waziri ndio wakastuka wameingia choo cha kike wakamgeuzia kibao.

Askari wetu nao njaa zimezidi ndio maana wanatukanwa tu matusi ya wazi wazi.

Kwa nini waombe rushwa kwanza?
Yohana mbatizaji alishawaambia hao....hawatosheki na mishahara yao.
 
Shida kubwa sana ipo kwa jamaa zetu.
Tukio limetokea namba za gari mmezipata, mmiliki mnamfahamu, kuna haja gani kumkimbiza?

Shida imetokea hakuna kifo, wahusika wapo tayari kuyamaliza Nyie mnang’ang’ania twende kituoni, wakafanye nini?.

Ila pia kuna kipimo cha pombe ili kuthibitisha kiasi alicholewa dereva, je hicho kilifanyika?

Ya wezekana alikuwa element anakunywa Maji.

Hivi leo hii wakipanda mahakamani nani anashinda kwa mazingira kama hayo.?

Kila mtu akitimiza wajibu wake hatuwezi fika huku.
Siwapendi polisi ila dogo kazingua angejifanya fala tu wangekuja kumtoa ndani wakimpigia saluti
 
Nimesoma uzi wako sijamaliza kuusoma ikabidi niache kusoma nije ku comment tu,wewe unaona ni sawa mtu kugonga gari na kukimbia?,haya gari ya kwanza imegongwa ka yeya,na hizo nyengine,jee hatari ingekuwaje kuhusu watumiaji wengine wa biashara.

Oky kwa hiyo unataka kuniambia haumini Jeshi lako na unataka kumuamini mtu alielewa.

Hakuna haki ya mtu kufanya kosa popote pale
 
Kweli Wana sio Wana
Wanazingua mno. Kuna mtu mmoja siku moja gongolamboto kwenye kinjia cha uchochoroni wakakutana na gari ya doria ya polisi, polisi wakawa wanalazimisha eti wapishwe na gari ya raia basi ikawa ubishi e bwana wakashuka wakamkamata yule rais na vipigo juu na kumuweka lokapu, na wakambambikia kesi.
Eee stori yako inasikitisha sana hawa askari wenu ni warafiii balaa.. ila kuhusu watoto wa viongozi kuheshimiwa hapo hapana kila mtu amuheshimu mwenzake tu.
mkuu mi nikimkuta mtoto wa kiongozi namheshimu na kumpenda maana wazazi wao ndiyo wameshikilia maamuzi ya nchi kwa sasa. Yaani awe upinzani au CCM.
 
Hii nchi watu wanachuki ya bure tu dhidi ya viongozi. Mi naona bora tuungozwe na mbuzi
 
Nimesoma uzi wako sijamaliza kuusoma ikabidi niache kusoma nije ku comment tu,wewe unaona ni sawa mtu kugonga gari na kukimbia?,haya gari ya kwanza imegongwa ka yeya,na hizo nyengine,jee hatari ingekuwaje kuhusu watumiaji wengine wa biashara.

Oky kwa hiyo unataka kuniambia haumini Jeshi lako na unataka kumuamini mtu alielewa.

Hakuna haki ya mtu kufanya kosa popote pale
Hapana askari ni waongo, wametunga stori ili kimdhalilisha Mh. Simbachawene na mtoto wake. Hawakupaswa kuomba rushwa
 
.Always protect your Superior...hao Askari baada ya kujua ni mtoto wa bosi wao na yuko mtungi wangemsukuma ndani faster kumficha toka kwenye macho ya umma.
Ili kulinda heshima siyo? Kwa faida ya nani? Bora wameweka hadharani ili tujue aina ya viongozi wanaojibandika madaraka huku wakiwa wameshindwa hata kuongoza familia zao
 
Siwapendi polisi ila dogo kazingua angejifanya fala tu wangekuja kumtoa ndani wakimpigia saluti
Polisi wanaweza kukuua, kama hutaki kutoa rushwa kwa polisi na huna ki chh huu cheo basi tumia wakubwa lasivyo utakufa au kufungwa maana polisi wengi siyo waadilifu
 
Yani andiko linaweza kuwa sawa sana...nikishaona vitu Kama hivi vinanikata sana mara ya kwanza nilijua makosa ya kawaida ya kiuandishi lakini karudia si mara moja
Nime rekebisha askari wangu
 
Hapana hao askali ni waongo. Yule dogo siyo kichaa afanye hayo aliyoyafanya. Nina uhakika kulikuwa na mazingira ya rushwa.

Kuna mtu mmoja siku moja Dar alikuwa hizi hoteli za uswahilini, tena ni dereva wa serikali, sasa askali wakapita walikuwa na ukaguzi wa kawaida.

Basi wakamgongea mshikaji akafungua, bahati mbaya jamaa alikuwa kaweka waleti yenye hela zimetuna na zingine zimetokezea (zilikuwa per diem na mafuta ya safari), basi yule askali alivyoona jamaa alipigwa bonge la kofi na mateke bila hata kumuuliza na akasema nyie ndiyo majambazi tunawatafuta.

Baada ya hapo jamaa kapigwa pingu na kupelekwa mahabusu, alijitahidi kujielezea wapi, akaenda kuwekwa mahabusu na waleti yake na hela zimechukuliwa.

Wakaanza kumuandikisha maelezo yeye kama jambazi. Bahati nzuri alifahamiana na watu, yule askali alifukuzwa kazi baada ya kujulikana ukweli.

Naamini watoto wa viongozi wanapaswa kupewa heshima na siyo kuwadhalilisha.
Unaona ni sawa kugonga gari na akimbie,jee huko mbele kwa watumiaji wengine wa barabara wana usalama gani?
 
Wamemrekodi clip nyingi nyingi tu kuanzia nje hadi ndani ya kituo, na wao wana makosa. Aligoma kuingia kituoni ikabidi wamfosi wakawa wanamsukuma ndio maana akawa anatukana pale ndani ya kituo na yeye anataka kulipwa kwa kudhalilishwa
Anagoma kuingia kituoni halafu unamtetea, pumbafu kabisa..yeye nani agome kuingia kituoni shenzi sana
 
Pamojana Hilo baba yako ana kesi kubwa sana, Taratibu za kazi yake zinaruhusu kumchukua video mteja?
 
Back
Top Bottom