Namtetea mtoto wa Simbachawene, askari wachunguzwe

Namtetea mtoto wa Simbachawene, askari wachunguzwe

Ndiyo maana tusimhukumu dogo, uchunguzi ufanyike. Simbachawene hana shida kabisa na huyo dogo hatujawahi kabisa msikia ukorofi wake. Ukiangalia vizuri hao askali nina uhakika walitaka kumpiga/rushwa na walimdhalilisha ila walipogundua mtoto wa kigogo wakaona wataenda kuchomewa, ikabidi haraka wamseti.
Huwa uchunguzi mnafanya na kwa wanyonge?,huu ndo mfumo,acha nae aonje yatikanayo na mfumo uliochangiwa pia kuwepo na mzazi
 
Hapana hao askali ni waongo. Yule dogo siyo kichaa afanye hayo aliyoyafanya. Nina uhakika kulikuwa na mazingira ya rushwa.

Kuna mtu mmoja siku moja Dar alikuwa hizi hoteli za uswahilini, tena ni dereva wa serikali, sasa askali wakapita walikuwa na ukaguzi wa kawaida.

Basi wakamgongea mshikaji akafungua, bahati mbaya jamaa alikuwa kaweka waleti yenye hela zimetuna na zingine zimetokezea (zilikuwa per diem na mafuta ya safari), basi yule askali alivyoona jamaa alipigwa bonge la kofi na mateke bila hata kumuuliza na akasema nyie ndiyo majambazi tunawatafuta.

Baada ya hapo jamaa kapigwa pingu na kupelekwa mahabusu, alijitahidi kujielezea wapi, akaenda kuwekwa mahabusu na waleti yake na hela zimechukuliwa.

Wakaanza kumuandikisha maelezo yeye kama jambazi. Bahati nzuri alifahamiana na watu, yule askali alifukuzwa kazi baada ya kujulikana ukweli.

Naamini watoto wa viongozi wanapaswa kupewa heshima na siyo kuwadhalilisha.
Huyu anakesha club mpaka alfajiri, anagonga halafu anakimbia, unafika kituoni polisi na bado unakuwa mkaidi?
 
Ndiyo maana tusimhukumu dogo, uchunguzi ufanyike. Simbachawene hana shida kabisa na huyo dogo hatujawahi kabisa msikia ukorofi wake. Ukiangalia vizuri hao askali nina uhakika walitaka kumpiga/rushwa na walimdhalilisha ila walipogundua mtoto wa kigogo wakaona wataenda kuchomewa, ikabidi haraka wamseti.
Sasa baba yake aliyemzaa keshasema huyo ni mtu mzima hivyo sheria zifuate mkondo wake, wewe ni nani hasa kuendelea kukomaa??
 
Hapana hao askali ni waongo. Yule dogo siyo kichaa afanye hayo aliyoyafanya. Nina uhakika kulikuwa na mazingira ya rushwa.

Kuna mtu mmoja siku moja Dar alikuwa hizi hoteli za uswahilini, tena ni dereva wa serikali, sasa askali wakapita walikuwa na ukaguzi wa kawaida.

Basi wakamgongea mshikaji akafungua, bahati mbaya jamaa alikuwa kaweka waleti yenye hela zimetuna na zingine zimetokezea (zilikuwa per diem na mafuta ya safari), basi yule askali alivyoona jamaa alipigwa bonge la kofi na mateke bila hata kumuuliza na akasema nyie ndiyo majambazi tunawatafuta.

Baada ya hapo jamaa kapigwa pingu na kupelekwa mahabusu, alijitahidi kujielezea wapi, akaenda kuwekwa mahabusu na waleti yake na hela zimechukuliwa.

Wakaanza kumuandikisha maelezo yeye kama jambazi. Bahati nzuri alifahamiana na watu, yule askali alifukuzwa kazi baada ya kujulikana ukweli.

Naamini watoto wa viongozi wanapaswa kupewa heshima na siyo kuwadhalilisha.
Aya ya mwisho umechafua
 
Mapya yaibuka
Kumbe jamaa askari waliomba rushwa ya laki moja , baadae wakashuka hadi elfu hamsini tena walimuomba kwa vitisho lakini akagoma, baadae aliposema Baba yake ni fulani ni waziri ndio wakastuka wameingia choo cha kike wakamgeuzia kibao.

Askari wetu nao njaa zimezidi ndio maana wanatukanwa tu matusi ya wazi wazi.

Kwa nini waombe rushwa kwanza?
Aliwarekodi ili kuwa na ushahidi usio na shaka? Wenzake wajanja wamemrekodi na kusambaza clip kwa jamii na tumeona, sasa yeye akija na ngonjera za rushwa bila evidence, na mapolisi welikuwepo zaidi ya mmoja, hiyo imekula kwake.
 
Wabongo bhana mtu kalewa wanataka iwe story kisa mtoto wa mkubwa mbona walevi bara barani kibao tuu na wanatukana yeyote bila kujali ni askari au balozi ili mradi ukanyage miguu yao tu...
 
Naona kuna kikundi sijui cha wapiga kura wa jimbo la kibakwe au walevi wenzie uyo dogo wamekuja JF kumsafisha mwenzao
Hahahaha hapana Prince Kunta sisi ni wazalendo lazima kubalance story, haya mambo ya kuegamia upande mmoja siyo mazuri, hasa ukizingatia hawa hawa askari walimuua mtuhumiwa Mtwara na kumbambikia case.
 
Ndiyo maana tusimhukumu dogo, uchunguzi ufanyike. Simbachawene hana shida kabisa na huyo dogo hatujawahi kabisa msikia ukorofi wake. Ukiangalia vizuri hao askali nina uhakika walitaka kumpiga/rushwa na walimdhalilisha ila walipogundua mtoto wa kigogo wakaona wataenda kuchomewa, ikabidi haraka wamseti.
Alipoulizwa kwanini unamwita mwanaume mwenzio mse***, alijibu nini?? Kijana pia ana makosa

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Alipoulizwa kwanini unamwita mwanaume mwenzio mse***, alijibu nini?? Kijana pia ana makosa

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
Sidhani kama ni sahihi kufanya provocation, maana hatujui huko nyuma walikuwa wamemfanyeje mpaka kufikia hatua kujibu hivyo. Kingine unaweza kuta dogo hakutukana walimchonganishia tu.
 
Na wewe unataka!😁😁😁
 
Hivi mnajiuliza angekuwa kijana tu wakawaida asiye na uhusiano na mkubwa yoyote serikalini,mnajua mambo gani yangemkuta?
Kwanza asigeweza kuwa na jeuri kama huyo Junior wa simbachawene,angepigwa mitama,na angengolewa meno!Bora huyu ameyatukana mapolisi ccm,na yamejaa kimya yanabweka tu kama mbwa asie na meno!!
Hawa polisi huonea wananchi wa kawaida tu,wakikutana na watoto wa wakubwa wanakuwa kama mbwa Koko tu,
 
Hivi mnajiuliza angekuwa kijana tu wakawaida asiye na uhusiano na mkubwa yoyote serikalini,mnajua mambo gani yangemkuta?
Kwanza asigeweza kuwa na jeuri kama huyo Junior wa simbachawene,angepigwa mitama,na angengolewa meno!Bora huyu ameyatukana mapolisi ccm,na yamejaa kimya yanabweka tu kama mbwa asie na meno!!
Hawa polisi huonea wananchi wa kawaida tu,wakikutana na watoto wa wakubwa wanakuwa kama mbwa Koko tu,
Kabisa si unaona yule mtanzania mwenzetu wa Mtwara walivyomuua ili kupoteza ushahidi. Nadhani Serikali iamuke ili kuhakikisha Polisi wanadumisha amani kwa kuacha uonevu.
 
Jirecord na usambaze video ndio tutaamini kama wewe ndio mtoto wa yule askari.....bila hivyo basi ongeza mchai chai na tangawizi bila kusahau mdalasini chai izidi kunoga
Tunaomba huyu jamaa apewe cheo mahakama ya kukata rufaa.
 
Back
Top Bottom