Kwa hiyo nduli alipovamia Kagera uliona sawa. Wewe labda siyo wa nchi hii.Ile ya Uganda ilikua siasa tukaambulia kuambiwa kua General Amin anakula nyama za watu, mara anachukua vilema anawatupa waliwe na mamba, wakati ukienda Uganda hadi leo wanamkubali Amin waganda walio wengi, Moja ya makosa makubwa ya Mwalimu ni kuingiza nchi vitani ambapo vita iliua uchumi wetu kabisa hadi leo tuko hoi,
umezaliwa mwaka gani?lakini hata history ya nchi hujapitia?Kwani Tanzania hii ni vita gani serious tumepigana?
RubbishHana lolote, mf. akianzisha vita na Tz, tunatumia polisi tu na kuwachakaza.
Ninachojua tu ni kwamba hakuna nchi hapa Afrika Mashariki ya Kuipiga Kijeshi Rwanda ya Kagame. Nimemaliza.Siku akikiamsha hakuna nchi itatia maguu kumzuia. Atateka sehemu yoyote ya nchi yoyote aitakayo hapa East Afrika.
Nchi yake iko vizuri kijeshi na muda mwingi wanajeshi wa Rwsnda wameutumia vitani.
Na ndhani hata nchi zote za Easr Africa ziunajua umahiri wa kijeshi wa Rwanda ndiyo maana Paul Kagame anafanya atakavyo lkn hakuna nchi inainua kichwa.
View attachment 2402153
Na huu ndiyo ukweli sema wengi wanaogea kiushbiki ama hawaujui uwezo wa kijeshi wa RwandaNinachojua tu ni kwamba hakuna nchi hapa Afrika Mashariki ya Kuipiga Kijeshi Rwanda ya Kagame. Nimemaliza.
Putin kiboko ya machoko kama wewePutini wamesha mput in sema tu anaona aibu kuomba pooo
Na movie aliyochezewa,ilimpa somo tamu juu ya uwezo jeshi la Tz na kamwe hawezi jaribu kuleta fyokofyoko kwetu.Hivi Kagame aliwakosea nini Membe na Jakaya ???
Maana, ile haikuwa kawaida aisee.....
2014 mkoa wa kagera ulifanyiwa screening ile mbaya...Niliwahi sikia inshu ilikuwa usuluhishi wa Kikwete kati ya Wa Rwanda waishio Kongo na Kagame wakati Kikwete akiwa Chair Person wa AU.
Kikwete akasema wakutane hao jamaa na Kagame watatue matatizo yao.
PK hakupendezwa kusuluhishwa na hao jamaa...kilichofuata ni maneno ya dharau na vitisho.
Nakumbuka niliona video moja Twitter PK alikuwa ameenda kufunga mafunzo ya ukakamavu ya vijana kama ilivyo huku kwa form six. Then akapiga dongo kuwa mtu asiyejua historia yao harusiwi kuingilia mambo yao na maneno mengine ambayo indirectly ni kama vile response ya AU chair man in that time.....
Ikafuata OP Kimbunga....ikazinduliwa Ngara...Kikwete akiwa na full detail ya security karibia wote ktk uzinduzi wa OP na ilikuwa mara chache sana Kikwete kuwa na CDF, TISS Dir ktk mkutano mmoja wa public so watu wakajiongeza......
rwanda imepigana vita ipi?Siku akikiamsha hakuna nchi itatia maguu kumzuia. Atateka sehemu yoyote ya nchi yoyote aitakayo hapa East Afrika.
Nchi yake iko vizuri kijeshi na muda mwingi wanajeshi wa Rwsnda wameutumia vitani.
Na ndhani hata nchi zote za Easr Africa ziunajua umahiri wa kijeshi wa Rwanda ndiyo maana Paul Kagame anafanya atakavyo lkn hakuna nchi inainua kichwa.
View attachment 2402153
Popoma wahediNinachojua tu ni kwamba hakuna nchi hapa Afrika Mashariki ya Kuipiga Kijeshi Rwanda ya Kagame. Nimemaliza.
Na huu ndiyo ukweli sema wengi wanaogea kiushbiki ama hawaujui uwezo wa kijeshi wa Rwanda
Wewe Mushuti huwezi kuisema Tanzania vizuri, lakini kwa taarifa yako, Rwanda inashughulikiwa na kikosi cha Kakonko tu na ndani ya masaa 24 Rwanda inakuwa tarafa ndani ya Wilaya ya Kakonko na Kagame anakuwa Katibu Tarafa na tunampa pikipiki ya kutembelea Tarafa yake ya Rwanda! Ahahahahah!
Ninachojua tu ni kwamba hakuna nchi hapa Afrika Mashariki ya Kuipiga Kijeshi Rwanda ya Kagame. Nimemaliza.
Tumepigana vita nyingi - kuanzia vya mreno (Mozambique, Angola), Namibia, Zimbabwe, Africa ya Kusini, ushelisheli, Ngazija, mpaka Uganda etc. (etc = for security reasons hazitajwi). Nafikiri kama hujui vita hizo, basi ulikuwa mdogo! Vita hiyo yote majeshi yetu yalikuwa front line (hence front line states)...
umezaliwa mwaka gani?lakini hata history ya nchi hujapitia?
[emoji16][emoji3][emoji3]Wewe Mushuti huwezi kuisema Tanzania vizuri, lakini kwa taarifa yako, Rwanda inashughulikiwa na kikosi cha Kakonko tu na ndani ya masaa 24 Rwanda inakuwa tarafa ndani ya Wilaya ya Kakonko na Kagame anakuwa Katibu Tarafa na tunampa pikipiki ya kutembelea Tarafa yake ya Rwanda! Ahahahahah!
ni mjinga peke yake anaweza kuamini kwamba landlocked country ambayo ni masikini kama rwanda, haitengenezi silaha, haina viwanda, inatembeza bakuli kwa wazungu wanaweza kushinda vita dhidi ya nji nyingine jirani. rwanda walichofanikiwa ni propaganda tu na kuuaminisha umma kwamba wana uwezo. mbona kipindi kile JK ameliamsha kwa operation kimbunga waliamua kumuomba Tony Blaire aje aombe poo kwa JK? usifananishe na nchi kama Israel ambayo ndani yake kuna nukes, kuna viwanda vya ndege za kivita, kuna viwanda vya silaha nzito, kuna viwanda v ya makombora ya ulinzi na hawategemei nchi nyingine. hapohapo more than 10m Jews ni Wamarekani wanaoishi america na wanatoa mchango wa pesa kabisa kwenye serikali na ndio wanaotawala dunia.Siku akikiamsha hakuna nchi itatia maguu kumzuia. Atateka sehemu yoyote ya nchi yoyote aitakayo hapa East Afrika.
Nchi yake iko vizuri kijeshi na muda mwingi wanajeshi wa Rwanda wameutumia vitani.
Na nadhani hata nchi zote za East Africa ziunajua umahiri wa kijeshi wa Rwanda ndiyo maana Paul Kagame anafanya atakavyo lakini hakuna nchi inainua kichwa.
View attachment 2402153