Namwombea msamaha Paul Makonda, ni damu changa iliyozikwa mapema

Kwa hiyo una hamu ya kubadilisha uhalifu? Panyaroad wawe replaced na makonda
 
Kama lipo la kumkumbusha Samia, ni kuagiza serikali imfungulie makonda mashtaka ya jinai uhujumu uchumi nk, sawa na Sabaya.

Seikali imekuwa na kigugumizi katika hili hadi watu tunahisi mengine yasiyofaa
Mbona serikali na DPP Kweka wameshindwa kuthibitisha mashtaka yao na wamebaki kutekeleza uonevu dhidi ya Sabaya?
 
Angekuwa amefariki kama ilivyo mapenzi ya Mungu Inakuwaje hapo???Tuache Uzuzu. Mungu ndo anajua nani anatufaa kwa muda huu kuwa mkuu wa mkoa, Nchi etc. Tena Kuna Tetesi siku hizi za karibuni anapelekwa Mahakamani kwa madudu yake aliyoyafanya akiwa kiongozi
 
Pia Sabaya aachiwe kama Mbowe alivyosamehewa kesi ya ugaidi.
 
Yaani tumkumbushe Rais Samia amrejeshe Madarakani Mtu anayezidi Matendo yanayofanywa na 'Panya Road nchini? No it can't be......!!!!!!!
 
Inawezekana wewe ni makonda
 

Kwa population na vipaji walivyo navyo vinana there is no room for second chance in Tanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…