Nani aliyemshauri Rais Samia jambo hili ambalo limeleta mateso na aibu kubwa mitaani na mitandaoni?

Mr.... Umeandika huu Uzi kitaalamu Sana na umetoa fact zote

Nilifikiria the same alikuja lisu nikajuwa ccm wajiandae kupambna na akili kubwa kumbe imekuwatofauti hkn mtu wenye Muda nao kila mtu anapambna na mambo yake

Mwingine lema Yuko anakuja akidhani ataungwa mkono Kama zamani watu wakiwa wajinga na wadogo Sasa anakuja kila mtu Ana akili zake na mbaya Zaid siaasa wanazifanya kwa faida zao wenywe. Kwa kujitafutia kipato kikubwa Huku wengine wakiambiwa pambna kamanda

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Wenye akili kama wewe ndio mnaoweza kuiona point yangu, lakini wale wazee wa mwamba tuvushe hawaweza elewa hii maana upeo ni mdogo kama maji ya kisoda.
Uko sahih Sana Tena umeongea fact [emoji817] zote bila kubeba mtu au chama Cha ccm Zaid Sana uko vzr mkuu

Mm watu kam wee ndio huwa nawapa attention

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Long writings kumbe utumbo mtupu
 
Maelezo mengi kumbe takataka.
Sasa unataka tujadiri nini kati ya kuvunja sheria na kutokuvunja sheria ya kuzuia mikutano!
We uko kwenye political mileage lakin sisi raia wa kawaida tuko kwenye uheshimu wa katiba na sheria tunazojiwekea.
Sasa Happ mmeabika hkn mtu wenye time na nyie hyo katiba mnayolinda mbona magu alikanyaga na mkafyat wote wengine mkaunga juhudi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Arovera....umemaliza kila kitu bongo moja la comment hi uliyo wapa

Nimekwisha waambia namm kitendo Cha kushangilia kifo Cha jpm kitakuja kuwa cost Sana mbeleni ila hawakunielewa ,wamekosa hoja Ni kumlaumu jpm mwanzo mwisho

Ni Kweli Sr Dr jpm alikuwa na upuuzi ila Ni rais ailiyependwa Sana na watanzania walio wengi pmj na mambo yake ila jpm amejijencea heshima kubwa na atakumbukwa mno

Sasa wao badala watembee na biti ya jpm wao wanasema marehemu aibu niliona

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Watanzania watu wapuuzi sana! Sasa wewe unafikiri ilikuwa sawa kwa demokrasia yako ya uhuru wa vyama vingi kufungiwa?! Au unafikiri demokrasia ni kwa ajili ya Mbowe na Lissu?
 
Watanzania watu wa ajabu sana! Sasa wewe unafikiri ilikuwa sawa kwa demokrasia yako ya uhuru wa vyama vingi kufungiwa?! Au unafikiri demokrasia ni kwa ajili ya Mbowe na Lissu?
 
Watanzania watu wa ajabu sana! Sasa wewe unafikiri ilikuwa sawa kwa demokrasia na uhuru wa vyama vingi kufungiwa?! Au unafikiri demokrasia ni kwa ajili ya Mbowe na Lissu?
 
Mikutano kuhusu nn?, hebu njoo hapa marekani kama utakuta kuna huo ujinga hapa,kutwa kucha mnaandanana kufoko na kutukana?!, kama inatokea kuna jambo la mhimu vyama vya upinzani vinataka kulisemea,viongozi wa kitaifa wa upinzani wanaitisha mkutano na vyombo vya habari wanalielezea kwa mtizamo wao kama wapinzani
 
Nafahamu haujapenda,huta penda na kamwe hautakaa ukapenda kuondolewa Katazo,unatamani usiowapenda waishi kama mashetani (matamanio ya Mtu mmoja)
 
Kwani uchaguzi tayari? Kuna watu wana hasira na bei za vyakula kupanda, wapo kimya kimya wanasubiri tu muda. Hapo ndipo utapima vizuri kama ondoleo la katazo la mikutano limefanya kazi gani
 
Rejea mikutano ya Chadema Mwanza,Temeke, Morogoro na Ikungi hii inakuonyesha CDM iko hai na inapumua baada ya kutaka ku uwawa na Uchwara
Kwa mtu mwenye akili fupi (myopic) atadhani kila mtu anaridhika na Mafisiemu
Inamaana wewe unaijua na kuifuatilia vizuri mikutano ya Chadema kuliko Lisu ambae kaona bora akimbie kuliko kusubiri kuambulia aibu siku zijazo? Wewe hauoni utofauti wa hii mikutano ya juzi na ile iliyokuwepo miaka ile ya kina Dr Slaa? Wewe ukiona watu wawili watatu tena wale waliopewa hela kuhudhuria unajua kwamb bado chama kina nguvu. Kama ni watu mbona hata Lipumba alipata watu kadhaa pale Magomeni ila haimaanishi kuwa chama chake kina nguvu.
 
Ikabidi ni mpe mtoto wa chekechea kusoma ulichokiandika kama anaweza kujifunza kukutukana
 
Maneno mengi kumbe lengo umseme Lissu. Lissu kaenda kwa daktari, ulitaka afanyeje?. Halafu mikutano ya siasa ipo kikatiba, Kama hamuitaki turudi kwenye mfumo wa chama kimoja.
1) Inamaana Lisu huonana na daktari kila baada ya week mbili?

2) Sasa kama ni hivyo kulikuwa na haja gani ya kuwaaminisha watanzania kuwa anarudi nyumbani?

3) Kwanini asingesubiri amalize kuonana na huyo dr wake afu ndo arudi nyumbani sasa kufanya siasa?

4) Mbona mwaka 2020 alikaa takriban miezi miwili?

Ama kwa hakika wajinga ndio wadanganywao.
 
Umepiga kwenye mshono akikujibu nitag
Mkuu Hziyech22 huyu jamaa akiwa timamu huwa hawezi kujibu hoja nzito na za maana kama hizi.

Labda mpaka angalau anywe viloba viwili vitatu ili vimpe ujasiri wa kuja kutapika hovyo mitandaoni 🤣🤣🤣.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…