Unaweza kuthibitisha hili ikihitajika kufanya hivyo Faiza?Hivvi ulifikiri Tanzania gtupo "exceptional" kwa ujinga?
Ikiwa tumeweza kudanganywa kuwa tupo huru na kuongozwa na mzungu kwa miaka 24 au zaidi, akiwa ndani ya Ikulu ya Dar, unafikiri ujinga umetutoka lini?
Kipi kimojawapo?Unaweza kuthibitisha hili ikihitajika kufanya hivyo Faiza?
Huyo mzungu mtaje jina lake kama unamkumbukaHivi unaona Watanzania siyo Waafrika?
Sisi ndiyo afadjali ya Wazimbabwe hata tukipeleka wawili tu.
Nchi tuliyodanganywa na Rais wa kwanza kuwa tunajitawala kumbe Ikulu kuna mzungu anaiendesha nchi kwa miaka yote unatuona wa maana sana?
Tanzania ni wanafik wakubwa.
Kwamba Mzungu ndiye aliyekuwa akiongoza nchi badala ya J.K. Nyerere kama ulivyoeleza hapo juu!Kipi kimojawapo?
😂😂Wakati wakipita juu ya mto wakiwa kwenye boti kila mmoja alijiuliza mbona wengi sana baadaye inatoka taarifa kuwa wanamichezo ni 9 na ma-afsa wa serikali kutoka wizara mbalimbali ni 67 na watakaa kwa siku 16 zote za olimpiki hapa paris.
Sijajua Bongo aka nchi ya kitu kidogo tumepeleka wangapi maana wasanii tu tunapeleka nje kwa kodi zetu , MUNGU ATUSAIDIE
USSR
Duuh, Mzungu gani huyo alitawala akiwa kajificha ikulu?Hivi unaona Watanzania siyo Waafrika?
Sisi ndiyo afadjali ya Wazimbabwe hata tukipeleka wawili tu.
Nchi tuliyodanganywa na Rais wa kwanza kuwa tunajitawala kumbe Ikulu kuna mzungu anaiendesha nchi kwa miaka yote unatuona wa maana sana?
Tanzania ni wanafik wakubwa.
Ulivyo mdini unaona bora kutawaliwa na mwarabu kuliko mzunguMwafrika kwenda Ulaya kwa mabwana wakubwa zake ni sifa kubwa.
Sote tuna uhuru wa kujiliwaza tu, lakini tunaendeshwa na wazungu, tena tulivyotawaliwa sasa kiutumwa mambo leo ni pabaya zaidi kuliko utumwa wa kununuliwa kwa shanga na vioo.
Tumejazwa ujinga na umetujaa.
Na picha yanapiga.Hata aibu hawaoni?
Joan Wicken.Huyo mzungu mtaje jina lake kama unamkumbuka
Naona unajitahidi kuihamisha mada. Kwani kuwa "mdini" ni haramu Tanzania hii?Ulivyo mdini unaona bora kutawaliwa na mwarabu kuliko mzungu
Joan Wicken pandikizi liliwwekwa Ikulu kuanzia Nyerere anaanza kutawala mpaka anakufa. Panga panguwa zote, yeye hazikumhusu hata chembe.Duuh, Mzungu gani huyo alitawala akiwa kajificha ikulu?
Hivi unaona Watanzania siyo Waafrika?
Sisi ndiyo afadjali ya Wazimbabwe hata tukipeleka wawili tu.
Nchi tuliyodanganywa na Rais wa kwanza kuwa tunajitawala kumbe Ikulu kuna mzungu anaiendesha nchi kwa miaka yote unatuona wa maana sana?
Tanzania ni wanafik wakubwa.
Ndiyo, anaitwa Joan Wicken, unaweza ku google ukamuelewa yanayoelezeka, yasioelezeka ni machache sana, nayo ni siri za Kimataifa.Kwamba Mzungu ndiye aliyekuwa akiongoza nchi badala ya J.K. Nyerere kama ulivyoeleza hapo juu!
Tanzania siyo democracy ni republic.Kwahiyo Maza anaendeshwa na mizungu?
Tanzania siyo democracy ni republic.
Ukishaelewa hiyo mifumo na tofauti zake, hutopata tabu kunielewa.