Nani ameiroga Afrika, Zimbabwe imetuma wanamichezo 9 na viongozi 67 Paris kwenye mashindano ya Olympics

Nani ameiroga Afrika, Zimbabwe imetuma wanamichezo 9 na viongozi 67 Paris kwenye mashindano ya Olympics

Hivvi ulifikiri Tanzania gtupo "exceptional" kwa ujinga?

Ikiwa tumeweza kudanganywa kuwa tupo huru na kuongozwa na mzungu kwa miaka 24 au zaidi, akiwa ndani ya Ikulu ya Dar, unafikiri ujinga umetutoka lini?
Unaweza kuthibitisha hili ikihitajika kufanya hivyo Faiza?
 
Hivi unaona Watanzania siyo Waafrika?

Sisi ndiyo afadjali ya Wazimbabwe hata tukipeleka wawili tu.

Nchi tuliyodanganywa na Rais wa kwanza kuwa tunajitawala kumbe Ikulu kuna mzungu anaiendesha nchi kwa miaka yote unatuona wa maana sana?

Tanzania ni wanafik wakubwa.
Huyo mzungu mtaje jina lake kama unamkumbuka
 
Wakati wakipita juu ya mto wakiwa kwenye boti kila mmoja alijiuliza mbona wengi sana baadaye inatoka taarifa kuwa wanamichezo ni 9 na ma-afsa wa serikali kutoka wizara mbalimbali ni 67 na watakaa kwa siku 16 zote za olimpiki hapa paris.

Sijajua Bongo aka nchi ya kitu kidogo tumepeleka wangapi maana wasanii tu tunapeleka nje kwa kodi zetu , MUNGU ATUSAIDIE


USSR
😂😂
 
Hivi unaona Watanzania siyo Waafrika?

Sisi ndiyo afadjali ya Wazimbabwe hata tukipeleka wawili tu.

Nchi tuliyodanganywa na Rais wa kwanza kuwa tunajitawala kumbe Ikulu kuna mzungu anaiendesha nchi kwa miaka yote unatuona wa maana sana?

Tanzania ni wanafik wakubwa.
Duuh, Mzungu gani huyo alitawala akiwa kajificha ikulu?
 
Mwafrika kwenda Ulaya kwa mabwana wakubwa zake ni sifa kubwa.

Sote tuna uhuru wa kujiliwaza tu, lakini tunaendeshwa na wazungu, tena tulivyotawaliwa sasa kiutumwa mambo leo ni pabaya zaidi kuliko utumwa wa kununuliwa kwa shanga na vioo.

Tumejazwa ujinga na umetujaa.
Ulivyo mdini unaona bora kutawaliwa na mwarabu kuliko mzungu
 
Hivyo kama wanamichezo waliofuzu kwenye nchi yao ni 9 ulitaka wengine waende kushiriki kilazima au waende tu kwa wingi kama ufahari bila kushiriki?

Makocha hata wangeenda 900 hao ndio wataenda kujifunza mbinu kutoka timu zilizo bora na watafaidika zaidi kwa kuwa sehemu ya tukio kuliko kufuatilia kwenye runinga ili kuongeza ufanisi zaidi kwenye kazi yao

Kwani nia sio kushindana tu bali kujifunza pia, acheni kupuuza kila kitu nchi kama Zimbabwe ni miongoni mwa nchi za kuigwa katika maeneo mengi jamaa wanajikongoja licha ya vikwazo vingi
 
acha kodi zitafunwe kaka hela za wananch mbona nch flan juz juz presdaaa alienda kwa kina jumong na bongo movie km ote na hakukua hat na umuhim kufanya ivo ht sanaa na maadil ytu na wakorea tafaut wanajfunza nn km kujfunz kwann asbebe wanafunz as diaspora wakafundshwe tecnology uko ht mwaka wakirus wawezeshe vyuo vyetu
 
Hivi unaona Watanzania siyo Waafrika?

Sisi ndiyo afadjali ya Wazimbabwe hata tukipeleka wawili tu.

Nchi tuliyodanganywa na Rais wa kwanza kuwa tunajitawala kumbe Ikulu kuna mzungu anaiendesha nchi kwa miaka yote unatuona wa maana sana?

Tanzania ni wanafik wakubwa.

Kwahiyo Maza anaendeshwa na mizungu?
 
Back
Top Bottom