Fala yule anajipeleka kishamba. Tena bahati yake yule angechapwa shaba na mbulula wenzie waliokua wanatupa risasi bila targetKama haujapita hata mafunzo ya skauti kaa kimya!
The guy real played as a hero! Kudos askari
Huyo jamaa wala si gaidi. Ni mtu poa kabisa. Huyo alikua mfanyabiashara ya madini.Huyu atakuwa gaidi na katumia hyo style kupumbaza watu, jeshi la polisi liimarishe ulinzi hata enzi za kibiti zilianzaga hivi hivi
Huyo mamwela walitaka wamchukulie dhahabu na pesa zake. Alikua njiani anaenda masaki. Akawageuzia kibao.Hata Mimi najaribu kuwaza kwamba madili yamechukuwa nafasi make dogo si Kwa bata zile. Itakuwa jamaa wamemchomoa mkwanja mrefu au magold kilo kadhaa, dogo kapagawa kaona bora Wafe wote. Gaidi anaueongoza magari napatikana Tz pekee dunia nzima
Mbona mashuhuda walisema alikuwa anainua vidole viwili ✌️huyu atakua marehem sahiv maana alidhani anapambana na Chadema
Jamaa kichwa boga Sana. Risasi zilimiminwa upande wake akawa anawazuia Kwa ishara hata wenzake wangemla kichwautayari gani mbona alikimbia baada ya kupewa risasi kadhaa.Ukute police wenzake ndo walimpiga maana walikua wanarusha Risasi hovyo hovyo 😂😂
Mtafute umuulize hiyo mbinu unayotaka kujua sijui isaidie nini usawa huu wakati anaonyesha alivyo mzembe aliyehatarisha maisha yake bila sababu wala ulazimaSijamwelewa kabisa huyu askari hii mbinu ya kumsogelea mhalifu hatari bila kuchukua tahadhari, utafikiri anamvizia mtu mwenye kisu ndio maana akatandikwa.
View attachment 1908287
View attachment 1908288
Lakini kanuni ya saba yasemaje?, skauti sio..........Kama haujapita hata mafunzo ya skauti kaa kimya!
The guy real played as a hero! Kudos askari
Yaah, haikua rahisi kwa wao kumdhibiti na nadhani aliingia kama mwananchi wa kawaida tu kabla ya shambulizi.Caught them by surprise na kuwaua kabla ya kuchukua silaha zao
Wanaiga action movie wanadhani real movie inaweza kutumika 😷!.hiyo ndo mbinu ya kupandishwa cheo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamaa kichwa boga Sana. Risasi zilimiminwa upande wake akawa anawazuia Kwa ishara hata wenzake wangemla kichwa
Hapana,Huyu atakuwa gaidi na katumia hyo style kupumbaza watu, jeshi la polisi liimarishe ulinzi hata enzi za kibiti zilianzaga hivi hivi
[emoji849][emoji1787] Duuh!Jamaa lingemchapa risasi hata ya makalio.
Alitaka apate umaarufuSijamwelewa kabisa huyu askari hii mbinu ya kumsogelea mhalifu hatari bila kuchukua tahadhari, utafikiri anamvizia mtu mwenye kisu ndio maana akatandikwa.
View attachment 1908287
View attachment 1908288
Hajafa yuko mhimbili alilambwa ya gotihuyu atakua marehem sahiv maana alidhani anapambana na Chadema
Vyombo vya ulinzi ni kuwa makini lohHapana,
Yule jamaa si gaidi kwa jinsi akili yangu ilivyoniambia.