Nani anaelewa mbinu ya huyu askari aliyepigwa risasi?

Nani anaelewa mbinu ya huyu askari aliyepigwa risasi?

Hata Mimi najaribu kuwaza kwamba madili yamechukuwa nafasi make dogo si Kwa bata zile. Itakuwa jamaa wamemchomoa mkwanja mrefu au magold kilo kadhaa, dogo kapagawa kaona bora Wafe wote. Gaidi anaueongoza magari napatikana Tz pekee dunia nzima
Huyo mamwela walitaka wamchukulie dhahabu na pesa zake. Alikua njiani anaenda masaki. Akawageuzia kibao.
 
pale naona alikuwa anahamasisha wenzake wakati anapambana, bila shaka alikuwa anataka wafanye cover kwa kurushia adui risasi, sasa hadi adui anafanikiwa kuchomoka na kurusha, ilitakiwa abaki mulemule ndani.
 
Hana mbinu wala mipanngo alienda kizembe saana, alitaka kufanya mambo ya anodi shoziniga wakati akili na uwezo wa j plus.. [emoji23]

Halafi piia askarri wetu shabaha ni 'NDUHU, sifuri kabisa, jamaa alijitokeza wakapiga risasi kibao wakamkosa
 
Sijamwelewa kabisa huyu askari hii mbinu ya kumsogelea mhalifu hatari bila kuchukua tahadhari, utafikiri anamvizia mtu mwenye kisu ndio maana akatandikwa.

View attachment 1908287

View attachment 1908288
Mtafute umuulize hiyo mbinu unayotaka kujua sijui isaidie nini usawa huu wakati anaonyesha alivyo mzembe aliyehatarisha maisha yake bila sababu wala ulazima
 
Ilikuwa ni mbinu ya kumfanya mhalifu atoke ndani ya kibanda ili askari wampate kirahisi.

Anastahili nishani; ila askari wenzake labda walikuwa wanakosa target... lakini alisaidia sana kumfanya jamaa ajitokeze.

Nafikiri pia ndiye alirusha gas
 
Back
Top Bottom