ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kweli nimeamini CCM ni hatari kwa ustawi wa taifa
View: https://twitter.com/MfanyakaziNews/status/1739957074757664889?t=UD1HJ2wdJUAea3NckprQ_A&s=19
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli nimeamini CCM ni hatari kwa ustawi wa taifa
Ume ndiyo nini??kesi ni ushahidi, hakuna ushahidi au hakuna maslahi kwa ume, huwa wanafuta.
Aliyefanyiwa vile ni CHADEMA???Ile stori ilitengenezwa na wahuni wa chadema, hata kikesi cha fidia cha madereka kitapigwa P.O nje ndani, kitachakazwa, kitakachobaki sahihi ni majina ya parties na mahakama
Wenye Akili kubwa tulilijua hiliView attachment 2854504
Soma pia:
1) Audio: Emmanuel Gekul akitoa vitisho vya kutaka kumdhuru anayedaiwa kusambaza Video ya kijana aliyefanyiwa ukatili na Pauline Gekul
2) Mbunge Pauline Gekul akamatwa na Jeshi la Polisi akijaribu kutoroka nchini kuelekea nchini Kenya
3) Mbunge Pauline Gekul atakiwa kufika Mahakamani Disemba 27, 2023 kujibu tuhuma dhidi yake
Kwani hulikuwa hujuiAisee! Pesa ndo kila kitu.
Wasomi wa Sheria tusaidieni hapa. Ikiwa DPP hataki kuendelea na kesi, haki ya mlalamikaji inakuwa wapi? Au afungue kesi ya madai ambayo haimuhusishi DPP..?View attachment 2854504
Soma pia:
1) Audio: Emmanuel Gekul akitoa vitisho vya kutaka kumdhuru anayedaiwa kusambaza Video ya kijana aliyefanyiwa ukatili na Pauline Gekul
2) Mbunge Pauline Gekul akamatwa na Jeshi la Polisi akijaribu kutoroka nchini kuelekea nchini Kenya
3) Mbunge Pauline Gekul atakiwa kufika Mahakamani Disemba 27, 2023 kujibu tuhuma dhidi yake
Wajinga mnazidi kuongezeka hata wewe?Ile stori ilitengenezwa na wahuni wa chadema, hata kikesi cha fidia cha madereka kitapigwa P.O nje ndani, kitachakazwa, kitakachobaki sahihi ni majina ya parties na mahakama
Huyo ana tatizo kichwaniAliyefanyiwa vile ni CHADEMA???
Huwa mna majibu ya kiibilisi sana nyie watu!!!
Kesi za Jinai huendeshwa na DPP na Ili ziendeshwe nje ya Ofisi ya DPP Kuna mlolongo mrefu wa kanuni za kufuata kiasi kwamba inaonekana kama usumbufu au HAIWEZEKANI.Wasomi wa Sheria tusaidieni hapa. Ikiwa DPP hataki kuendelea na kesi, haki ya mlalamikaji inakuwa wapi? Au afungue kesi ya madai ambayo haimuhusishi DPP..?