Nani anamlinda Gekul? DPP asema hana mpango wa kuendelea na kesi
Tuki sema mahakama yame baki majengo tuu, Nape ana aagiza watu watafutwe.
Hivi kezi ya aina hii ni ya kufuta? Hata mie mbumbumbu wa sheri nassma hapana!!
 
CCM huwa hawashitakiani kwani kinachofanywa na mmoja wao huwa kina faida kwa chama kizima.

Kwani waliomfanyia unyama Rose Kamili mpaka leo wamekamatwa??

Nani hajui kuwa Tundu Lissu alishambuliwa kimkakati na mpaka Leo waliomshambulia "hawajulikani"?

Kuna mtu alimwita Magufuli Bwege alisakwa kama Gaidi wakati watu wa CCM wanatukana na kutishia maisha ya Wana CHADEMA na hawafanywi kitu!!

Mlishangaa ya Sabaya Sasa mnashangaa ya Gekul. Endeleeni kushangaa!!!
Naunga mkono hoja
 
Siku watu wakichoka tutaishi kama Colombia huko,kwa hili bc hatuna haja ya kuwa na mahakama kama ipo kwa ajili ya watu fulani!
 
Mungu ni mnene,,,uonevu wao ni wa mda tu ndo maana tunawachukulia kama watoto vile,,,kushindwa kutenda haki ni upumbavu na siyo ujinga hata. Mda mwingine muelewe ya kuwa tupo duniani kwa muda na hatujui kesho yetu. Huku ndo kulewa madaraka.
Walikuwepo madikteta na magaidi kama akina Iddi Amin,Hitler,Osama Sadam Husein lakini waliishia kufa vifo vya aibu. Kilio cha maskini adhabu yake ni kubwa mno siku zote,,,MJIREKEBISHE KABLA MUNGU HAJANYOOSHA MKONO WAKE.
 
Wakili Peter Madeleka ameweka nakala hiyo katika ukurasa wake wa X (Twitter) na kuongeza kuwa wanaenda kukata Rufaa.

Nchi Ngumu Sana, Alie pigwa ananyimwa haki sababu DPP tu Kwa kutojisikia kuendeleza na case,kweli Katiba mpya muhimu DPP angebaki na Case za Government tu,mambo ya watu binfsi yabaki mikononi mwao wenyewe na Police/ Mahakama mtu unanyimwa haki eti DPP hana Nia yakuendelea na case 🙄
 
Hongeni na Mungu basi kama nmaweza,saivi anawazoom tu na kuwapa mda wa kutubu,,,siku akinyoosha mkono wake wa hukumu, mbona kitachimbika?
 
ngonjera, mbwembwe na maigizo ya huruma ya wanasiasa wasaka tonge kwa mgongo wa wanyonge ndio yameishia apa....
 
Wakuu tutafute pesa na connection ndio silaha kubwa hapa Duniani.

Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul ambae alikuwa akikabiliwa na tuhuma/Mshtak ya shambulio la kimwili na Udhalilishaji kwa kumuingizia Kijiti Kijana ambae alikuwa mfanyakazi wake hotelini inasemekana amefutiwa Mashtaka na DPP.
View attachment 2854537

My Take
Maskini Haki zenu mkatafite mbinguni au mlilieni Mungu ila hapa Duniani pesa,Vyeo na connection ndio Mpango mzima.

View: https://twitter.com/millardayo/status/1739960545044730229?t=ZRtaMuv12TxIK6kH2XjOpA&s=19

zile scripts za move za imotions za akina director mmm zimeishia apa sio...
 
Wasomi wa Sheria tusaidieni hapa. Ikiwa DPP hataki kuendelea na kesi, haki ya mlalamikaji inakuwa wapi? Au afungue kesi ya madai ambayo haimuhusishi DPP..?
Wakati Mwingine ni kufungua madai,tu,Yani Katiba mpya muhimu DPP angebaki na Case za Government, mambo ya watu binfsi yabaki Mahakama iamue,Yani mtu anakosa haki sababu DPP tu hana Nia yakuendelea na case.
 
GEKUL ni Kama Mzee Mpili wa YANGA " ANA WATU"
 
CHADEMA ni wapumbavu sana na wana visasi vya kijinga. Walianza kwa Sabaya wakapotezwa, mara eti kwa Covid 19 na huko wamepotezwa na Sasa kwa Gekul..... Hicho chama ni Cha wahuni tu
Mungu akubariki mtoto wako awafanyiwe vile........
 
View attachment 2854504

====

Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya Babati, Victor Kimario ameieleza Mwananchi Digital kuwa kesi hiyo imetajwa leo Jumatano Desemba 27, 2023 mbele yake na ameifuta baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kuwasilisha taarifa ya kutokuwa na nia ya kuendelea nayo.

Kesi hiyo ilifunguliwa na Hashimu kupitia kwa wakili Peter Madeleka chini ya kifungu cha 128(2) na (4) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai (CPA), kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2022.

Soma pia:

1) Audio: Emmanuel Gekul akitoa vitisho vya kutaka kumdhuru anayedaiwa kusambaza Video ya kijana aliyefanyiwa ukatili na Pauline Gekul

2) Mbunge Pauline Gekul akamatwa na Jeshi la Polisi akijaribu kutoroka nchini kuelekea nchini Kenya

3) Mbunge Pauline Gekul atakiwa kufika Mahakamani Disemba 27, 2023 kujibu tuhuma dhidi yake
Hii nchi ni ngumu sana.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
View attachment 2854504

====

Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya Babati, Victor Kimario ameieleza Mwananchi Digital kuwa kesi hiyo imetajwa leo Jumatano Desemba 27, 2023 mbele yake na ameifuta baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kuwasilisha taarifa ya kutokuwa na nia ya kuendelea nayo.

Kesi hiyo ilifunguliwa na Hashimu kupitia kwa wakili Peter Madeleka chini ya kifungu cha 128(2) na (4) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai (CPA), kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2022.

Soma pia:

1) Audio: Emmanuel Gekul akitoa vitisho vya kutaka kumdhuru anayedaiwa kusambaza Video ya kijana aliyefanyiwa ukatili na Pauline Gekul

2) Mbunge Pauline Gekul akamatwa na Jeshi la Polisi akijaribu kutoroka nchini kuelekea nchini Kenya

3) Mbunge Pauline Gekul atakiwa kufika Mahakamani Disemba 27, 2023 kujibu tuhuma dhidi yake
😆😆😆😆
 
Wakuu tutafute pesa na connection ndio silaha kubwa hapa Duniani.

Mbunge wa Babati Mjini Pauline Gekul ambae alikuwa akikabiliwa na tuhuma/Mshtak ya shambulio la kimwili na Udhalilishaji kwa kumuingizia Kijiti Kijana ambae alikuwa mfanyakazi wake hotelini inasemekana amefutiwa Mashtaka na DPP.
View attachment 2854537

My Take
Maskini Haki zenu mkatafite mbinguni au mlilieni Mungu ila hapa Duniani pesa,Vyeo na connection ndio Mpango mzima.

View: https://twitter.com/millardayo/status/1739960545044730229?t=ZRtaMuv12TxIK6kH2XjOpA&s=19

Kumbe na wewe huwa unalalamika !
 
DPP Amemsafisha Pauline Gekul Kwa Foma Limao
Sasa Hivi Ametakata Mno, Ila CCM Ndiyo Ilivyo Hovyo
 
Back
Top Bottom