Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tulikuonya mapema sana kwamba Shetani hana rafiki .Mimi sio chawa kama wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulikuonya mapema sana kwamba Shetani hana rafiki .Mimi sio chawa kama wewe
Mnataka mahakama iendeshwe mnavyotaka na sio kwa utaratibu wake.Siku watu wakichoka tutaishi kama Colombia huko,kwa hili bc hatuna haja ya kuwa na mahakama kama ipo kwa ajili ya watu fulani!
Jaribu.Tutafute pesa huku Afrika hata uki Ua haufungwi!
Raha jipe mwenyewe kama umeshindwa kujitambua na kujikomboa unategemea Mbowe aje akukomboe,huo ni uzwazwa.Hakuna opposition Tz
Kuna mambo ya msingi wanayafumbia macho…
Msaidieni yule kijana
Msaidieni yule mama aliyefungwa kwa sababu ya nyama ya swala
Opposition lengo lenu ni kushika madaraka tuuu
Mmeona yule mamba kule kunako mpo kimya. Akija bashite kusema neno basi page zenu mtamzungumzaaaa weeee
Mwenyekiti yupo kimyaaaa
Safari ya kumkomboa MTz ni ndefu sana
Wasaidieni wenye uhitaji hasa kisheria mbona mko hivi
Ya Bandari mlikausha
Ngorongoro mlikausha
Mlionekana Hanang tu kupata maphotoooo
Huyu kwa akili hizi aliwezaje kuingia kwenye baraza la mawaziri??Madereka ni CC ya Chadema, we huna akili.
We mshukuru Magufuli, subiri Heche aje akung'oe
Yaani wewe chawa wa mbogamboga huna akili kabisa, yaani wewe ni takataka kabisaNasema kweli makamanda hata mchukie.
Ishu ya Gekuli iliingiziwa siasa sana kuliko kuacha PolisiTz wafanye kazi yao.
Kisa tu Gekul alihama Chadema na kujiunga na mafisadi wa CCm kila mtu ikawa ni kufurahia Gekul afungwe.
Huu ni upuuzi kabisa, Mwita nae tunamchukia bila sababu.
Nasema kweli makamanda hata mchukie.
Ishu ya Gekuli iliingiziwa siasa sana kuliko kuacha PolisiTz wafanye kazi yao.
Kisa tu Gekul alihama Chadema na kujiunga na mafisadi wa CCm kila mtu ikawa ni kufurahia Gekul afungwe.
Huu ni upuuzi kabisa, Mwita nae tunamchukia bila sababu.
Kwa mara nyingine tena CHADEMA mmeangukia puaYaani wewe chawa wa mbogamboga huna akili kabisa, yaani wewe ni takataka kabisa
Hana hatia mwenye hatia ni 'CHUPA YA SOFA"View attachment 2854504
====
Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya Babati, Victor Kimario ameieleza Mwananchi Digital kuwa kesi hiyo imetajwa leo Jumatano Desemba 27, 2023 mbele yake na ameifuta baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) kuwasilisha taarifa ya kutokuwa na nia ya kuendelea nayo.
Kesi hiyo ilifunguliwa na Hashimu kupitia kwa wakili Peter Madeleka chini ya kifungu cha 128(2) na (4) cha Sheria ya Mwenendo wa Makosa ya Jinai (CPA), kama ilivyofanyiwa marekebisho mwaka 2022.
Soma pia:
1) Audio: Emmanuel Gekul akitoa vitisho vya kutaka kumdhuru anayedaiwa kusambaza Video ya kijana aliyefanyiwa ukatili na Pauline Gekul
2) Mbunge Pauline Gekul akamatwa na Jeshi la Polisi akijaribu kutoroka nchini kuelekea nchini Kenya
3) Mbunge Pauline Gekul atakiwa kufika Mahakamani Disemba 27, 2023 kujibu tuhuma dhidi yake
Sawa boss,lakini Chadema hawana mamlaka ya kuamua kufuta kesi wala kuchunguza jinai. By the way kama DPP amefuta kesi hii kwa interest zake na kupokonya haki ya kijana masikini, mwenyezi mungu Hana tajiri wala masikini. Mshahara wa dhambi ni mauti. Mungu shughulikia matapeli,majizi na manyonyaji hayaNasema kweli makamanda hata mchukie.
Ishu ya Gekuli iliingiziwa siasa sana kuliko kuacha PolisiTz wafanye kazi yao.
Kisa tu Gekul alihama Chadema na kujiunga na mafisadi wa CCm kila mtu ikawa ni kufurahia Gekul afungwe.
Huu ni upuuzi kabisa, Mwita nae tunamchukia bila sababu.