Nani anamlinda Gekul? DPP asema hana mpango wa kuendelea na kesi
Nasema kweli makamanda hata mchukie.

Ishu ya Gekuli iliingiziwa siasa sana kuliko kuacha PolisiTz wafanye kazi yao.

Kisa tu Gekul alihama Chadema na kujiunga na mafisadi wa CCm kila mtu ikawa ni kufurahia Gekul afungwe.

Huu ni upuuzi kabisa, Mwita nae tunamchukia bila sababu.
Hiyo
Nasema kweli makamanda hata mchukie.

Ishu ya Gekuli iliingiziwa siasa sana kuliko kuacha PolisiTz wafanye kazi yao.

Kisa tu Gekul alihama Chadema na kujiunga na mafisadi wa CCm kila mtu ikawa ni kufurahia Gekul afungwe.

Huu ni upuuzi kabisa, Mwita nae tunamchukia bila sababu.
Nasema kweli makamanda hata mchukie.

Ishu ya Gekuli iliingiziwa siasa sana kuliko kuacha PolisiTz wafanye kazi yao.

Kisa tu Gekul alihama Chadema na kujiunga na mafisadi wa CCm kila mtu ikawa ni kufurahia Gekul afungwe.

Huu ni upuuzi kabisa, Mwita nae tunamchukia bila sababu.
Hiyo Koka ingetinga kwako...
 
Mungu ni mnene,,,uonevu wao ni wa mda tu ndo maana tunawachukulia kama watoto vile,,,kushindwa kutenda haki ni upumbavu na siyo ujinga hata. Mda mwingine muelewe ya kuwa tupo duniani kwa muda na hatujui kesho yetu. Huku ndo kulewa madaraka.
Walikuwepo madikteta na magaidi kama akina Iddi Amin,Hitler,Osama Sadam Husein lakini waliishia kufa vifo vya aibu. Kilio cha maskini adhabu yake ni kubwa mno siku zote,,,MJIREKEBISHE KABLA MUNGU HAJANYOOSHA MKONO WAKE.
Maneno mazito sana haya. !
Mwenye masikio na asikie !!!
Time is running out 🙏🙏
 
JAMIIFORUM UNAPATA KILA KITU WALLAHI KHAY

NILISOMA HAIFIKI POPOTE TUNAPOTEZEANA MUDA

LEO YUKO FREE NAPITATU
 
Nasema kweli makamanda hata mchukie.

Ishu ya Gekuli iliingiziwa siasa sana kuliko kuacha PolisiTz wafanye kazi yao.

Kisa tu Gekul alihama Chadema na kujiunga na mafisadi wa CCm kila mtu ikawa ni kufurahia Gekul afungwe.

Huu ni upuuzi kabisa, Mwita nae tunamchukia bila sababu.
Kwa hiyo polisi wanaacha wajibu wao kwa sababu tuu CDM wameingilia?! Kwanza CDM wanawezaje kuingilia polisi hadi waachane na uchumguzi? Si haohao polisi waliwahi kutamka hadharani kwamba "watapigwa kipigo cha mbwa koko hadi Wachakae"? Leo waachane uchumguzi kwa sababu zipi?
Mleta mada wewe ni pumbavu, baada ya Serikali kutelekeza watu waliofanyiwa ukatili huko Babati kwa maslahi ya chama tawala ndo mnatafuta pa kujificha.?
 
Nasema kweli makamanda hata mchukie.

Ishu ya Gekuli iliingiziwa siasa sana kuliko kuacha PolisiTz wafanye kazi yao.

Kisa tu Gekul alihama Chadema na kujiunga na mafisadi wa CCm kila mtu ikawa ni kufurahia Gekul afungwe.

Huu ni upuuzi kabisa, Mwita nae tunamchukia bila sababu.

Sawa mwita waitara. Naona Sasa unatapatapa huna pa kushikilia.
 
Nasema kweli makamanda hata mchukie.

Ishu ya Gekuli iliingiziwa siasa sana kuliko kuacha PolisiTz wafanye kazi yao.

Kisa tu Gekul alihama Chadema na kujiunga na mafisadi wa CCm kila mtu ikawa ni kufurahia Gekul afungwe.

Huu ni upuuzi kabisa, Mwita nae tunamchukia bila sababu.
Hivi hawakugeuzi kweli wewe jamaa maana una mambo ya kidemu sana
 
Hivi hawakugeuzi kweli wewe jamaa maana una mambo ya kidemu sana
1000006218.jpg
 
Nilisema humu it will be a walk in the park for Gekul kuna watu wakabisha.

Nilimhurumia kijana ila ndio vile tena alikua anadili na majambazi hawezi kupata haki.
 
sasa ukikata rufaa kesi anaendesha nani upande wa Jamuhuri na DPP emekaa pembeni ?😁

na Hashimu alifuata nini huko ?

kwanza nani ana ka video tuone Hashimu alikutana na kisanga gani ?
 
Back
Top Bottom