Sasa Mbowe alipopigwa 'Nolle' , alikuwa analindwa na nani?

Kesi hewa hii, haina kichwa wala miguu. dpp kaona tabu tu kaamua kuitema
 
Hivi kuna mbunge yeyote aliyewahi kuhukumiwa kwa makosa yanayohusiana na raia? Kuna waliowahi kuwapiga watu vibao na hakuna kilicho endelea.
 
Hana mpango wa kuendelea Na kesi kwani aliifungua yeye?
Kama hataki, amemwambie hakimu kwamba anajitoa lakini aliye ifungua aendelee nayo...
Nafikiri judge pia alikosea kukubari kiufuta kama vile Ni yeye DPP aliyeifungua... mfunguaji kesi ndio mwenye dhamana ya kuifuta- sijui DPP Ana Gundu gani ya kuifuta...
Kama rufaa itasikilizwa kutokana Na kifungu cha 128-basi DPP atakuwa hana kazi Tena Maana wanasheria wa kujitegemea watakitukia kifungo hicho kufanya kazi za Dpp siku za mbeleni... analinda ugali wake huyo...
 
Hao unaowaita magaidi walithibitishwa na mahakama zipi kwamba ni magaidi?

Huwezi kumwita mtu mwizi, gaidi ama jina lolote lile kama chombo chenye mamlaka ya kumthibitisha hakijathibitisha.
 
Usisahau kwamba pasipo na uadilifu kila la hovyo na la kihuni utaliona.Madhalimu watafsnya watakavyo.Watalindana katika batili zao.Sheria watakua na 'hiari' nazo na watafanya watakavyo.Wateule watakaa kimya na mambo yatendelea kama kawaida.Na ndio maana kuna siku ya UADILIFU,mbele ya HAKIMU MUADILIFU.Acha walindane na kucheka kwa muda tu ila watakataana siku hiyo na watalia sana kilio kisicho na mwisho.
 
DPP ndio anaye own mashtaka. Infact yeye ndioa anayepeleka mashtaka mahakamani. Kazi ya mahakama ni kusikiliza parties na kutoa hukumu. DPP akiamua kuondoa shitaka mahakamani, huwezi kusema ameingilia mamlaka ya mahakama. Mamlaka yepi kwanza!
 
CCM ndo inayomlinda
 
Dogo huenda amepoozwa na uchawi wa kizungu !
Watu wapo wapo tu kwa sasa !
Mambo si mambo !!
Ila inasikitisha sana.
Iwe ni kweli kwamba dogo alizamishwa chupa au u iwe ni story ya kutunga, bado inasikitisha...
Utu wa mtu unatumika vibaya, thamani ya mtu inavunjwavunjwa just to serve political interests za watu.
Kwamba mtoto wa kiume anajisingizia kuzamishwa chupa sehemu ya haja kubwa? Halafu mwendesha mashitaka badala ya kupigania misingi na maadili yeye anapoteza nia ya kuendelea na jukumu lake hilo!!
 
Rais hakuwa sahihi kutengua uteuzi wa Gekul kwa tuhuma hizi?
Unajua maana ya Tuhuma.?

Alimtengua Sabaya pia, lakini si amekutwa hana hatia.

Amemvua uwaziri sababu ya kashfa hiyo, sasa sheria imefuata mkondo .
DPP kaona haieleweki eleweki hearsay nyingi kaamua kuitupa.

Shida nini hapo??
 
Ni mambo ya ajabu sana na sijawahi ona popote duniani hivi huyo Dpp anasema hana nia ya kuendelea na kesi kwani yeye ndiye mlalamikaji?Watu wakisema tuna katiba mbovu tuwe tunaelewa
 
Jalada la Gekul linaweza kuwa kati ya majalada makubwa yaliyowahi kuwasilishwa ofisi ya DPP. Kulisoma tu na kutoa ushauri wa kisheria limechukua zaidi ya mwezi. Bado kuna mchakato wa kuandaa charge sheet, lisajiliwe mahakamani , kesi ianze kusikilizwa . Hii kesi unadhani endapo itapelekwa mahakamani itachukua miaka mingapi?

Kama kesi moja inachukua muda mrefu kiasi hiki, tume ya haki jinai iliundwa kufanya nini? Mbona hakuna chochote kimebadilika katika mfumo wa haki jinai? Lini Tanzania tutakuwa na mfumo wa haki jinai unokaribiana na Kenya?
 
Hao unaowaita magaidi walithibitishwa na mahakama zipi kwamba ni magaidi?

Huwezi kumwita mtu mwizi, gaidi ama jina lolote lile kama chombo chenye mamlaka ya kumthibitisha hakijathibitisha.
Wew ni mmoja wao eh?
Acha kutapa tapa,,, kama vipi badilikeni, msinyanyase masikini,,, mtalaaniwa hadi vizazi vyenu.
 
Maneno mazito sana haya. !
Mwenye masikio na asikie !!!
Time is running out πŸ™πŸ™
Yaan vinajiona kama vile hawafi wanqvyokqza kuonea watu wa hali ya chini,,, shame on you,,, Ee Mungu fanya kitu kwa hawa wanaonyanyasa wenzao kwa kigezo cha vimali na madaraka flan flan.
 
Europe kesi kama hii hata kama mlalamika katunga kuiondoa jasho litakutoka
+
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…