Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CV inatosha alishahudumu nafasi nyeti jeshiniLuteni Jenerali Mathew Mkingule ni Mnadhimu Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa 14 tangu alipoteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa awamu ya sita Mhe. Samia Suluhu Hassan tarehe 21 Agosti, 2021.
Luteni Jenerali Mathew Mkingule alijiunga na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania tarehe 21 Februari, 1995 na kuhudhuria kozi ya afisa mwanafunzi na kupata kamisheni mwaka 1995 kuwa Luteni Usu.
Luteni Jenerali Mathew Mkingule alihudhuria kozi mbalimbali ndani na nje ya nchi ikiwemo Kenya.
Katika kulitumikia Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, Luteni Jenerali Mathew Mkingule alishika nyadhifa mbalimbali ikiwemo Naibu Mkurugenzi wa Bajeti na Usimamizi wa Fedha, Mkurugenzi wa Fedha za Umma na Hesabu, Mkurugenzi wa Bajeti na Usimamizi wa Fedha na baadae kuwa Mdhibiti Mkuu wa Fedha Makao Makuu ya Jeshi.
Luteni Jenerali Mathew Mkingule ametunukiwa medali mbalimbali
Miaka 40 ya JWTZ
Comoro
Miaka 50 ya Uhuru
Miaka 50 ya Muungano
Miaka 50 ya JWTZ
Utumishi Mrefu
Utumishi Uliotukuka
Anafuatia Brigedia General Marco Elisha Gaguti
View attachment 2253944
[emoji16]Komandoo wengi wavuta bangi
Enzi hizo jeshi lilikuwa young ila sasa hivi sidhani kama itawezekana ateuliwe aliye chini ya rank ya meja jenerali...Abdalah Twalipo alikuwa Mkuu wa mkoa, na Kanali, akapandishwa cheo kuwa Maj Jenerali na mkuu wa Majeshi.
..Ernest Mwita Kyaro alikuwa Maj Jenerali akapandishwa cheo kuwa Jenerali na kuteuliwa mkuu wa majeshi.
..Kuna ripoti ya CIA[ majasusi wa Marekani ] inasema Twalipo hawakuiva na Mnadhimu mkuu aliyemkuta hivyo ikalazimisha ateuliwa Mnadhimu mkuu mwingine.
..Cdf Ernest Kiaro aliteuliwa kwa pamoja CoS Kiwelu ambaye alikuwa promoted kuwa Luteni Jenerali.
Enzi hizo jeshi lilikuwa young ila sasa hivi sidhani kama itawezekana ateuliwe aliye chini ya rank ya meja jenerali.
333333333337Ramli za JF
Hatufai Kama hachani nywele ni mchafuAnafuatia Brigedia General Marco Elisha Gaguti
View attachment 2253944
Rajab[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji3581][emoji3581][emoji3581]
Ni nanCDF ni huyu ameanza kazi anasubiliwa kuthibitishwaView attachment 2254351
Yeyote anayekidhi sifa na vigezo.Uzi huu haumlengi kumpigia mtu yoyote promo!!
Viva JWTZ
Viva Tanzania
Mohamed mcherengwaKufatia habari ya jana ya kustaafu kwa General Mabeyo ndani ya JWTZ, basi kama kawaida yetu sio mbaya tukafanya bashiri ya nani anaweza akawa CDF mpya.
Kwakuwa JF ni uwanja mpana, ina wadau wengi na wengine ni wa huko huko jikoni, sio mbaya tukapendekeza jina la CDF mpya kwa kuzingatia uweledi wake katika kuchapa kazi.
Mimi nampa nafasi kubwa Luteni Jenerali Mathew Mkingule kuwa CDF mpya.
Lakini pia kwenye korido anatajwa Luteni Jenerali Yakubu Mohamed balozi wa Tanzania nchini Uturuki.
Japo pia mzee wa infantry, Meja Jenerali Mwaisaka anapigiwa chapuo.
Vilevile, Meja Jenerali Rajab Mabele naye anaweza akawa CDF mzuri tu kwa utendaji wake mzuri wa kazi huko JKT.
Japo pia kuna minong'ono kuhusu Meja Jenerali Suleimani Mzee kufatia kazi ya kutukuka huko Magereza.
Ila watu wasimua-underrate Meja Jenerali Mbuge lolote linaweza kutokea. Japo kwasasa ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
Brigedia Jenerali J.J. Mwaseba mkuu wa chuo cha TMA naye anatajwa japo atakuwa yupo nyuma sana kwa rank kulinganisha na hao wenzake.
NB:
Uzi huu haumlengi kumpigia mtu yoyote promo!!
Viva JWTZ
Viva Tanzania
Kutakuwa na tatizo katika hilo??Ajae me najua dini yake itakua islam
Kutakuwa na tatizo katika hilo??
APPLICATION FOMU ZIMESHATOKA KWANI?Kufatia habari ya jana ya kustaafu kwa General Mabeyo ndani ya JWTZ, basi kama kawaida yetu sio mbaya tukafanya bashiri ya nani anaweza akawa CDF mpya.
Kwakuwa JF ni uwanja mpana, ina wadau wengi na wengine ni wa huko huko jikoni, sio mbaya tukapendekeza jina la CDF mpya kwa kuzingatia uweledi wake katika kuchapa kazi.
Mimi nampa nafasi kubwa Luteni Jenerali Mathew Mkingule kuwa CDF mpya.
Lakini pia kwenye korido anatajwa Luteni Jenerali Yakubu Mohamed balozi wa Tanzania nchini Uturuki.
Japo pia mzee wa infantry, Meja Jenerali Mwaisaka anapigiwa chapuo.
Vilevile, Meja Jenerali Rajab Mabele naye anaweza akawa CDF mzuri tu kwa utendaji wake mzuri wa kazi huko JKT.
Japo pia kuna minong'ono kuhusu Meja Jenerali Suleimani Mzee kufatia kazi ya kutukuka huko Magereza.
Ila watu wasimua-underrate Meja Jenerali Mbuge lolote linaweza kutokea. Japo kwasasa ni Mkuu wa Mkoa wa Kagera.
Brigedia Jenerali J.J. Mwaseba mkuu wa chuo cha TMA naye anatajwa japo atakuwa yupo nyuma sana kwa rank kulinganisha na hao wenzake.
NB:
Uzi huu haumlengi kumpigia mtu yoyote promo!!
Viva JWTZ
Viva Tanzania
Au mtandao wa ajira portal unasumbua?😀APPLICATION FOMU ZIMESHATOKA KWANI?
Kwa hiyo tunakubaliana kuwa sharti ufikie cheo cha luteni jenerali ndio unaweza kuwa cdf...CDF wa sasa ukumbuke wakati Mwamnyange anafikia umri wake wa kustaafu hakukuwa na Luteni jenerali. JPM ilimbidi amwongezee muda Mwamnyange ndiyo Mabeyo akapandishwa kutoka Meja jenerali hadi Luteni jenerali. Alihudumu kwa mwaka mmoja ndiyo akaja kuwa na cheo hicho.
Sijui wewe unaseme ingewezekana vipi, ilihali hata yeye mwenyewe alifuata taratibu kumpandisha CDF mabeyo. Usiongee usivyovijua