Nani anaweza kuwa CDF mpya wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama?

CV inatosha alishahudumu nafasi nyeti jeshini
 
Anafuatia Brigedia General Marco Elisha Gaguti
View attachment 2253944

Jamaa anakubalika na wananchi kila alikopita anzia akiwa mkuu wa wilaya buhigwe kigoma, akaenda kua RC kagera na sasa mtwara jamaa anapiga kazi sana na hana majivuno sema rank yake labda itakua mbali maana ma meja general mbele yake wako kibao lakini jamaa ni kiongozi mzuri
 
Enzi hizo jeshi lilikuwa young ila sasa hivi sidhani kama itawezekana ateuliwe aliye chini ya rank ya meja jenerali.
 
Enzi hizo jeshi lilikuwa young ila sasa hivi sidhani kama itawezekana ateuliwe aliye chini ya rank ya meja jenerali.

..I agree with you 100%.

..wakati Kanali Twalipo anateuliwa jeshi lilikuwa dogo. Wakati huo Cdf alikuwa na cheo cha Maj Jeneral na Cos alikuwa na cheo cha Brigedia, siku hizi wanaita Brigedia Jenerali.

..Kwa hiyo iliwezekana Kanali kuruka ngazi ya Brigedia na kuwa Meja Jenerali na kuteuliwa kuwa Cdf.

..Sasa hivi jeshi letu limekuwa kubwa ambapo Cdf ni Jenerali, na Cos ni Luteni Jenerali. Katika mazingira hayo Cdf mteuliwa lazima atatoka ktk ngazi ya Luteni Jenerali au Meja Jenerali.
 
Mohamed mcherengwa
 
APPLICATION FOMU ZIMESHATOKA KWANI?
 
Kwa hiyo tunakubaliana kuwa sharti ufikie cheo cha luteni jenerali ndio unaweza kuwa cdf...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…