Nani anaweza kuwa CDF mpya wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama?

Na huyu ndio CDF Mpya
 
Atawekwa muislam kutoka zenjii

Sent from my itel A509W using JamiiForums mobile app
jinsi gani unavyoonekana mbaguzi na mdini, mtoa mada kauiliza nani hajauliza dini wala wapi anatoka.kwani Zanzibar kuna shida gani au muislamu tatizo nini? na kwani akiwa muislamu ubaya nini maana hawajawahi shika nafasi hiyo
 
Habari,

Mama kipenzi RAIS SAMIA, mama unayeupiga mwingi.

Kwa maslahi mapana ya taifa hili, nakuomba umpandishe cheo Brigedia Generali Marco Gaguti kutoka hapo alipo mpaka Generali mkuu na umkabidhi kijiti cha U CDF.

Amekuwa akifanya vizuri tangu akiwa DC Buhigwe, RC Kagera mpaka sasa akiwa RC Mtwara mpakani hali shwari, wale wahuni waliokuwa wakivamia vijiji wakitokea Msumbiji kuja kuua na kuchinja raia kama kuku sasa wameufyata.

 
Mabeyo aongezewe mkataba wa angalau miaka 2. Jamaa bado ni kakamavu sana, halafu hana makuu, yuko simple sana!
 
Kwa hiyo tunakubaliana kuwa sharti ufikie cheo cha luteni jenerali ndio unaweza kuwa cdf...
Hiyo ni lazima ufike kwa hivi sasa. Ilitokea awamu ya kwanza Brigadia akawa CDF kutokana na dharura tu. Ila kisheria ni hadi apitie na wote walipitia. Ila usimsingizie Mwenda zake inawezekana kwake, wakati haikutokea na yeye alifuata taratibu. Awamu ya kwanza ndiyo ilitokea
 
Kama inawezekana kurukishwa basi Brigedia prof. Kohi anatosha. Au general Marwa. Ni vema jeshi likaongozwa na wenye jeshi lao.

Sent from my itel W6004P using JamiiForums mobile app
 
Ila gaguti alionewa kupelekwa kuwa RC, na CDF ajaye ni MUISLAM weka bold hayo maneno tena toka VISIWANI ..........ila hizi ndoto jamani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nina Bet hivi. Mkingule anapando alipo Mabeyo na Suleiman Mzee anarudi jw kuchukua nafasi ya Mnadhimu Mkuu nafasi aliyopo Mkingule kwa sasa. Kwanza itakuwa ime balance suala la dini. Hiyo ya pili asipochukuwa Mzee basi atachukuwa jamaa mmoja anaitwa Othman.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…