Nani anaweza kuwa CDF mpya wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama?

Sijawahi kuisikia hii kanuni na sielewi kwanini imewekwa.
 
All in all CDF mpya lazima awe muislamu mwenzetu.
 
Humu watu hata protokali za jeshi hawazijui
Yani mtu ni brigedier general au major general awe cdf halafu aachwe lieutenant general?
Enzi za mwendazake ofcourse ingewezekana hata segeant kuwa cdf
Sheria inatamka mmoja wa majenerali. Anaweza kutokea kaunzia Brigedia, Meja, au Luten Jenerali.

Ingekuwa hivyo WANGEUANA SANA kisa hiko cheo, na ndio maana sheria inataka kuteua kati ya hao MAJENERALI, hakusema Lazima awe luten Jenerali.

Usikariri, uchaguzi wa Jenerali unazingatia vitu vingi ikiwemo umri wa kuweza kuhudumu kazi hiyo, mrengo wake kwenye utawala ( Mpole, au Mtu wa kutumia nguvu nk).
Nishani alizonazo, uzoefu katika kuongoza watu.

Sio kama unavyochukulia wewe.
 
Meja Jenerali Shabani Mani nafikiri atatufaa japo sina hakika kama atapita kwenye chekeche
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…