Nani anaweza kuwa CDF mpya wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama?

Rekebisha kichwa cha Habari CDF ni mkuu wa majeshi ya ulinzi.... Majeshi ya usalama Yana wakubwa wake
 
..hata mimi naona ni vigumu kumruka CoS wa sasa hivi Lt.Gen.Mkingule.

..vinginevyo itabidi wateuliwe Cdf na Cos wapya.

..iliwahi kufanyika wakati wa Kiaro[cdf] na Kiwelu[cos], na Mboma[cdf] na Sayore[cos].
Mara nyingi CoS anayeteuliwa muda mfupi kabla ya CDF kustaafu huwa anaandaliwa tu kuwa CDF mpya. Mifano inayoonyesha trend hiyo ni pamoja na George Waitara, Davis Mwamnyange, na huyu Venance Mabeyo.
Jeshini kuwa cdf siyo kujenga madaraja tu bali ni elimu nzuri, weledi na ujuzi na uzoefu mkubwa wa uongozi wa kijeshi,uzalendo, uaminifu na sifa nyinginezo zilizotukuka seniority na taswira yake jeshini.
Inaonekana kuwa hulijui jeshi kwa hivyo hata hujui kuwa jeshini kuna kitu kinaitwa Field Engineering. Kuhusu unachoita "uongozi wa kijeshi, uzalendo, uaminifu na sifa zilizotukukua jeshini" ni wazi pia kuwa hujui kwamba mtu hawezi kuwa Major General bila kuwa na sifa hizo.
 
Mimi sijui mambo ya kijeshi sijapita hata huko maJKT ila ukiteuliwa kuwa ubalozi ujue unatengwa na siasa za ndani mara nyingi ni neutralisation of threats....Huyo Yacoub sijui Yakuba alitolewa kwa sababu maalumu maana alikua na ujamaa na bwana yule, na alikua timu ya kina Bashiru
 
Mkuu hii haina mjadala! Nadhani kinachozingatiwa ni Seniority katika ngazi ya juu kijeshi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…