Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Yes baba ni mwaka wa malengo hahaKaka kaka umekuwa adimu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes baba ni mwaka wa malengo hahaKaka kaka umekuwa adimu sana
Mbona wewe ni ubwabwa ila sikupendi?Utakuwa mpenda ubweche
That's good Man malengo hayana mwaka Kaka wakati wote ni lazima akili iwaze malengoYes baba ni mwaka wa malengo haha
Edward Moringe SokoineTanzania imeongozwa na viongozi wengi hususani maraisi?
Yupi ni rais wa bora wa mda wote kwako?
1. JK Nyerere
2. Ali Hassan Mwinyi
3. BW Mkapa
4. J M Kikwete
5. JP Maguful
6. SS Hasani
Kwangu JK Nampa maua yakeTanzania imeongozwa na viongozi wengi hususani maraisi?
Yupi ni rais wa bora wa mda wote kwako?
1. JK Nyerere
2. Ali Hassan Mwinyi
3. BW Mkapa
4. J M Kikwete
5. JP Maguful
6. SS Hasani
Na wewe ulizishika sana wakati wake?!😄Kwangu JK Nampa maua yake
Hata kipindi ya JK nilikua mwanafunzi tena baada kukua ndio nimefananisha na kuwalinganisha hawa maraisi tokea wa awamu ya kwanza mpaka waa leo. The worst naanza na Nyerere, magu na na mazuu on the beat. Afu best Kikwete, mkapa mwinyiNa wewe ulizishika sana wakati wake?!😄
Umetumia vigezo gani hapo the worst?!Hata kioindi ya JK nilikua mwanafunzi tena baada kukua ndio nikefananisha hawa maraisi tokea wa awamu ya kwanza mpaka waa leo. The worst naanza na Nyerere, magu na na mazuu on the beat. Afu best Kikwete, mkapa mwinyi
Vigezo vyangu. Vya kidemokrasiaUmetumia vigezo gani hapo the worst?!
Lakini ni Mzee Mwinyi ndiye aliyekubali Mfumo wa Kidemokrasia wa Vyama vingi.Vigezo vyangu. Vya kidemokrasia
Sasa std one kweli, ndo umetoka chekechea, ulikuwa unaelewa nini kuhusu mambo ya uongozi? OMG 😲Mkapa ndio raisi bora kuwahi kutokea Tanzania pamoja na mapungufu yote enzi za Utawala wake. Anaingia madarakani nipo std one
Kwan nimemweka kwenye list mbaya..?Lakini ni Mzee Mwinyi ndiye aliyekubali Mfumo wa Kidemokrasia wa Vyama vingi.
Nilikua mwanafunzi wa chuo so ndio muda akili ina chambua mambo sawa. Sikua madarasa ya chiniSasa std one kweli, ndo umetoka chekechea, ulikuwa unaelewa nini kuhusu mambo ya uongozi? OMG 😲
Nilikiwa interested sana kumfuatilia anamaliza miaka kumi yake na Mimi nahitimu kidato cha nneSasa std one kweli, ndo umetoka chekechea, ulikuwa unaelewa nini kuhusu mambo ya uongozi? OMG 😲
Samia na Kikwete ndio bestTanzania imeongozwa na viongozi wengi hususani maraisi?
Yupi ni rais wa bora wa mda wote kwako?
1. JK Nyerere
2. Ali Hassan Mwinyi
3. BW Mkapa
4. J M Kikwete
5. JP Maguful
6. SS Hasani