Nani kati ya hawa viongozi unamuona kiongozi bora wa muda wote?

Nani kati ya hawa viongozi unamuona kiongozi bora wa muda wote?

Tanzania imeongozwa na viongozi wengi hususani maraisi?
Yupi ni rais wa bora wa mda wote kwako?
1. JK Nyerere
2. Ali Hassan Mwinyi
3. BW Mkapa
4. J M Kikwete
5. JP Maguful
6. SS Hasani
1 na 6 .

Muungwana kabisa Bora wa wakati wote huenda ni Mzee Ruksa no.2, wengine walijitahidi na walijaribu ila no.5 hakuna kitu hapo.
 
Kikwete.
Huyu jamaa aishi sana. Alitukanwa kila tusi na wapinzani hata wasiojielewa ila yeye aliishia kuwacheka tu.
Akijua fika akiamua kutumia mamlaka yake ataumiza wengi sana.
Mwana democracy.
Alitukanwa kumzidi SSH? By the way Wana tofauti ndogo sana na SSH.
 
Marais walifanya vizuri kwenye nyanja ya Uchumi na Biashara
1.Mkapa
2.JK
3.Samia.

Huduma za jamii
Samia
Wengine
 
Tanzania imeongozwa na viongozi wengi hususani maraisi?
Yupi ni rais wa bora wa mda wote kwako?
1. JK Nyerere
2. Ali Hassan Mwinyi
3. BW Mkapa
4. J M Kikwete
5. JP Maguful
6. SS Hasani
Mkapa was
 
Tanzania imeongozwa na viongozi wengi hususani maraisi?
Yupi ni rais wa bora wa mda wote kwako?
1. JK Nyerere
2. Ali Hassan Mwinyi
3. BW Mkapa
4. J M Kikwete
5. JP Maguful
6. SS Hasani
Without any doubt ni Mh. Rais Mtukufu Hayati John Pombe Magufuli, chaguo la Mungu kama zawadi kwa Watanzania
 
Back
Top Bottom