matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
- Thread starter
- #41
Hahaha.saa saba, utashangaa ni jiko la kuni🙌🏾lipo nje la mabanzi aaaloooooh.
Anatakiwa apike ugali mama aache ubishoo. 😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha.saa saba, utashangaa ni jiko la kuni🙌🏾lipo nje la mabanzi aaaloooooh.
Weeeee hatamimi ningegoma😂🙌🏾Hahaha.
Anatakiwa apige ugali mama aache ubishoo. 😁😁
Ni kweli mkuu.Kuna Hali unaweza kupitia maishani ukajikuta kula sio kipaumbele chako Cha kwanza...hata Mimi Kuna kipindi nilikuwa nakula mara 1 ndani ya masaa 24 na sikuwa nafeel bad Wala nini
Maisha haya nyie acheni tu
hata mimi naungana na wewe, ratiba ya kula mara tatu kwa siku nilishaachana nayo, nakula muda wowote ninapojisikia njaa. Kuna mtindo wangu wa kula nauita full tankHii ya kula mara tatu kwa siku naona kama imetapakaa dunia nzima. Nini chanzo au kunasupportive doc yoyote ya kitaalam.
Watu walitakiwa kula wanapohisi njaa na hisia hizo zitakapofikia hatua ya kuona kama nguvu zinawapungua.
Kwenye vitabu vya dini hatuoni mungozo wa mtu ale mara ngapi.
Binafsi nineamua kula ninapoona kama napungukiwa nguvu. Mambo ya Breakfast, Lunch au Dinner sioni msingi wake, ni kama mkakati wa kupoteza muda. Yaani karibu masaa matatu kwa siku unatumia kula tu.
Kama mtu huhisi njaa, acha kula unapoteza muda na pesa. Kula unapohisi unajaa na nguvu inapungua maana njaa nyingi nazo huwa ni feki na saikolijia za kurithi.
Hivyo unaweza kula mara moja,
Mbili au hata mara moja kwa siku mbili kama unaona uko fiti.
Chanzo
Mimi mwenyewe.
Ni hilo tu.
huo mtindo wa kula utajaza choo haraka sanaKuna watu wanakula zaidi ya milo mitatu.
Nilishawahi kuambiwa na mtu mmoja kutoka Denmark kuwa kule kwao, Milo inaweza ikawa zaidi ya mara tatu kutegemeana na uwezo wa mtu kifedha.
Wanaanza na mlo wa Asubuhi, wanakula na kushiba. Baada ya hapo, wanakula kila baada ya masaa mawili na kuendelea. Na kadiri muda unavyosonga mbele, ndivyo aina na kiasi cha chakula kinacholiwa hubadilika.
Jioni/Usiku hula chakula kidogo tu, tena chepesi. Kwa hiyo wao muda wa kula na kushiba ni Asubuhi.
Hao wanafki tu vitabu vya din mbona vimeandikwa wanawake na wanyamaze makanisani na kufunika vichwa vyao tena agano jipya lakini hawafuati?Kwani vitabu vya dini vimeandika tutumie Jamiiforums? Mambo mengine kujiongeza tu.
Fulltank imekaaje hiyo mkuuhata mimi naungana na wewe, ratiba ya kula mara tatu kwa siku nilishaachana nayo, nakula muda wowote ninapojisikia njaa. Kuna mtindo wangu wa kula nauita full tank
Hii ndio ratiba ya watu wa maana.Nikihisi njaa ndio nakula, ndio Sheria yangu.
Haa HaaHili nalo mkaliangalie.
Hayo mambo yameanza karne ya 17.Kula mara tatu kwa siku asili yake ni ulaya na sisi tumerithi tu kama matokeo ya ukoloni.
Dinner inaonekana ilikuwa ni ubunifu wa wamama wakizungu, ambao walikuwa wako bored nyumbani wakati waume zao wameenda kwenye ajira. hahahaHao wanafki tu vitabu vya din mbona vimeandikwa wanawake na wanyaze makanisani na kufunika vichwa vyao tena agano jipya lakini hawafuati?
Freemasons wengi wametoboa hawana njaa ya kupenda kulakula hovyo. Wanaishu nyingi za kufanya.Huku kwetu ukila mara tatu wanakuita freemason
Mwana naona umeliangalia hili kiroho zaidi (naturally).Kufuata ratiba(muda)ni tabia ya ubongo (akili)....yaani ni tabia ya kibinadamu zaidi na sio asili.Hii ya kula mara tatu kwa siku naona kama imetapakaa dunia nzima. Nini chanzo au kunasupportive doc yoyote ya kitaalam.
Watu walitakiwa kula wanapohisi njaa na hisia hizo zitakapofikia hatua ya kuona kama nguvu zinawapungua.
Kwenye vitabu vya dini hatuoni mungozo wa mtu ale mara ngapi.
Binafsi nineamua kula ninapoona kama napungukiwa nguvu. Mambo ya Breakfast, Lunch au Dinner sioni msingi wake, ni kama mkakati wa kupoteza muda. Yaani karibu masaa matatu kwa siku unatumia kula tu.
Kama mtu huhisi njaa, acha kula unapoteza muda na pesa. Kula unapohisi unajaa na nguvu inapungua maana njaa nyingi nazo huwa ni feki na saikolijia za kurithi.
Hivyo unaweza kula mara moja,
Mbili au hata mara moja kwa siku mbili kama unaona uko fiti.
Chanzo
Mimi mwenyewe.
Ni hilo tu.