Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Japokuwa mimi ni maarufu kuliko diamond ila hii mada siijui
😁😁😁😁😁😁dah umenichekesha sana sio siriHii ya kula mara tatu kwa siku naona kama imetapakaa dunia nzima. Nini chanzo au kunasupportive doc yoyote ya kitaalam.
Watu walitakiwa kula wanapohisi njaa na hisia hizo zitakapofikia hatua ya kuona kama nguvu zinawapungua.
Kwenye vitabu vya dini hatuoni mungozo wa mtu ale mara ngapi.
Binafsi nineamua kula ninapoona kama napungukiwa nguvu. Mambo ya Breakfast, Lunch au Dinner sioni msingi wake, ni kama mkakati wa kupoteza muda. Yaani karibu masaa matatu kwa siku unatumia kula tu.
Kama mtu huhisi njaa, acha kula unapoteza muda na pesa. Kula unapohisi unajaa na nguvu inapungua maana njaa nyingi nazo huwa ni feki na saikolijia za kurithi.
Hivyo unaweza kula mara moja,
Mbili au hata mara moja kwa siku mbili kama unaona uko fiti.
Chanzo
Mimi mwenyewe.
Ni hilo tu.
Huu ni mpango wa mama ntilie.. Wali nyama basi unapata vinofu viwili 😂Au ugali/wali nyama vipande viwili na tuspinach pembeni kidogi. Huu ni ubunifu wa kijadi tu humuhumu uswazi.
Nasimama na huyo mama! Yaani saa mbili amekula tu fresh saa saba anataka mtoto wa watu akapike kama sio uchawi ni nini! Ilifaa akajipukie.Huu ndio utaratibu. Kuna mdau wangu aliwahi kufukuza mke kisa kagoma kumpikiq ugali dagaa saa saba usiku. Jamaa alisikia njaa kali kitandani mama akagoma kwenda jikoni kukorofisha mambo.
Mtu akiolewa anatakiwa kuwa mnyenyekevu katika shida na raha.Nasimama na huyo mama! Yaani saa mbili amekula tu fresh saa saba anataka mtoto wa watu akapike kama sio uchawi ni nini! Ilifaa akajipukie.
Umasikini.Nani muasisi wa wakati wa kula chakula nyama zinaliwa mwishoni?
😆😆😆Nani? Muasisi wa kumega tonge, kisha kubonyeza kidole katkat kabla ya kuchota maharage?
Na mchuzi wenye mafuta mengi juu chini ya mafuta ni majiHuu ni mpango wa mama ntilie.. Wali nyama basi unapata vinofu viwili 😂
Mbona alasili imerukwa mkuu. Hapo ilotakiwa ipigwe angalau supu kama ishu ni majira hahahaPicha lilianzia kwenye majira, asubuhi, mchana, jioni. Kila fungu lina mlo wake.
Hii ya kula mara tatu kwa siku naona kama imetapakaa dunia nzima. Nini chanzo au kunasupportive doc yoyote ya kitaalam.
Watu walitakiwa kula wanapohisi njaa na hisia hizo zitakapofikia hatua ya kuona kama nguvu zinawapungua.
Kwenye vitabu vya dini hatuoni mungozo wa mtu ale mara ngapi.
Binafsi nineamua kula ninapoona kama napungukiwa nguvu. Mambo ya Breakfast, Lunch au Dinner sioni msingi wake, ni kama mkakati wa kupoteza muda. Yaani karibu masaa matatu kwa siku unatumia kula tu.
Kama mtu huhisi njaa, acha kula unapoteza muda na pesa. Kula unapohisi unajaa na nguvu inapungua maana njaa nyingi nazo huwa ni feki na saikolijia za kurithi.
Hivyo unaweza kula mara moja,
Mbili au hata mara moja kwa siku mbili kama unaona uko fiti.
Chanzo
Mimi mwenyewe.
Ni hilo tu.
Kuna alfajiri, asubuh, mchana, jioni, usiku.. Kisha kuna usiku wa manane(hii ni chakula ya baba na mama watoto)Picha lilianzia kwenye majira, asubuhi, mchana, jioni. Kila fungu lina mlo wake.
Apokee Maua yakeSoma kumhusu mtu mmoja anaitwa Abu l-Hasan 'Ali Ibn Nafi au kwa jina lengine ziryab aliishi karne ya 9 ndiye aliyefundisha utamaduni wa kula mara tatu kwa siku kwa vipindi vitatu tofauti na milo tofauti kwa kila kipindi na ndiyo ukawa utaratibu wa maeneo mengi duniani jamaa alizunguka nchi nyingi ila elimu yake kubwa aliifundisha spain kipindi hicho inaitwa al-andalus na elimu hiyo ikaenea kwa watu wa ulaya na mataifa ya mbali mno mfano kuoga , kutumia manukato , kuvaa nguo kutokana na misimu mfano baridi, joto, kipupwe n.k , muziki hasa magitaa (spanish codes and progressions) , matumizi ya shampoo (tuite shampoo maana alichanganya mafuta ya manukato na baadhi ya michanganyiko mingine aliyojua yeye ili kupata kimiminika kutakachozipa nywele afya na kunukia vizuri).
Unaweza kupitia hizi source
1. Ziryab - Wikipedia
2. The History of Ziryab and the Three Course Meal
UbarikiweNi muhimu kula milo mitatu kwa ajili ya afya bora, na mara moja moja unaweza kula milo miwili au mmoja mara chache zaidi. Kikubwa ni kuepuka kula mara kwa mara na pia kupunguza matumizi ya sukari na wanga iliyo kobolewa. Pia katika hiyo milo mitatu zingatia kiasi sio mpaka ushibe sana. Zingatia pia uzito na urefu wako viwiane, pia kuepuka kitambi ni hatari kwa magonjwa ya moyo na mishipa ya damu.
Aisee waasisi ni wazazi wangu kwani wao ndiyo walionifundisha mimi na wenzangu kula mara 4 au zaidi kwa siku!Hii ya kula mara tatu kwa siku naona kama imetapakaa dunia nzima. Nini chanzo au kunasupportive doc yoyote ya kitaalam.
Watu walitakiwa kula wanapohisi njaa na hisia hizo zitakapofikia hatua ya kuona kama nguvu zinawapungua.
Kwenye vitabu vya dini hatuoni mungozo wa mtu ale mara ngapi.
Binafsi nineamua kula ninapoona kama napungukiwa nguvu. Mambo ya Breakfast, Lunch au Dinner sioni msingi wake, ni kama mkakati wa kupoteza muda. Yaani karibu masaa matatu kwa siku unatumia kula tu.
Kama mtu huhisi njaa, acha kula unapoteza muda na pesa. Kula unapohisi unajaa na nguvu inapungua maana njaa nyingi nazo huwa ni feki na saikolijia za kurithi.
Hivyo unaweza kula mara moja,
Mbili au hata mara moja kwa siku mbili kama unaona uko fiti.
Chanzo
Mimi mwenyewe.
Ni hilo tu.
Wapewe maua yaoAisee waasisi ni wazazi wangu kwani wao ndiyo walionifundisha mimi na wenzangu kula mara 4 au zaidi kwa siku!