Nani muasisi wa kula mara tatu kwa siku?

Kweli hili ni tatizo la kisaikolojia
 
Biblically, Milo ni miwili Tu.

“Kunguru wakamletea mkate na nyama asubuhi, na mkate na nyama jioni, akanywa maji ya kile kijito. ”
— 1 Wafalme 17:6 (Biblia Takatifu)
 
It's true that ukiwa na uhakika wa kula njaaa wala haikuzongizongi
 
Biblically, Milo ni miwili Tu.

“Kunguru wakamletea mkate na nyama asubuhi, na mkate na nyama jioni, akanywa maji ya kile kijito. ”
— 1 Wafalme 17:6 (Biblia Takatifu)
Aisee hii nilikuwa sijui licha ya kusoma hiyo story ya Mtishbi mara nyingi.

Hapa alikuwa analishwa na Mungu moja kwa moja kupitia kunguru sio kjd. Hii ndio ntaitumia kqma default yangu. Asubuhi na jioni.

Hii ya milo mitatu imeanzia ulaya tena kwa sababu za kianasa tu.
 
Hii sure mkuu, usiku unaenda kulala kwa nini utupie vitu vizito? Energy created = energy destroyed kama nipo sahihi, sasa mtu anaenda kulala with a lot of energy ndo maana tunaota ndoto ambazo hazina uhalisia
 
Hii sure mkuu, usiku unaenda kulala kwa nini utupie vitu vizito? Energy created = energy destroyed kama nipo sahihi, sasa mtu anaenda kulala with a lot of energy ndo maana tunaota ndoto ambazo azina uhalisia
Kulala tumbo limejaa matonge mia ya ngunga (ugali) ndio chanzo cha ndoto za kukimbizwa na na simba kkoo, unaishia kuwasilumbua wakina Mwamposa kuna mtu anataka kukuloga.

Tumbo nalo linatakiwa kulala kama viungo vingine.
 
Kabisa kaka, mi pia nilifurahi kuiona from the bible. Eliya alilishwa na Mungu mwenyewe two times a day.

Lakini pia, tunashauriwa kula mlo wa jioni kabla ya jua kuzama.
 
Kabisa kaka, mi pia nilifurahi kuiona from the bible. Eliya alilishwa na Mungu mwenyewe two times a day.

Lakini pia, tunashauriwa kula mlo wa jioni kabla ya jua kuzama.
Mara ya kwanza nasikia, tulikuwa kwenye mkutano flani wa kiroho mzee mmoja akasema mtu anatakiwa kufunga mambo ya kula kuanzia saa 11 had 12 jioni kama atachelewa. Wote tulimcheka, siku hizi ndio nimejua yule mzee alikuwa sahihi.
 
Mara ya kwanza nasikia, tulikuwa kwenye mkutano flani wa kiroho mzee mmoja akasema mtu anatakiwa kufunga mambo ya kula kuanzia saa 11 had 12 jioni kama atachelewa. Wote tulimcheka, siku hizi ndio nimejua yule mzee alikuwa sahihi.
Saa 11 ipi,ya jioni au alfajiri?
 
Saa 11 ipi,ya jioni au alfajiri?
Jioni aisee.
Hata US wanalalamika kuwa utaratibu wa kula mara tatu uliletwa na wakoloni kutoka England. Kabla ya hapo natives wa kule walikuwa wanakula wanaposikia njaa.
Hata huko ulaya na kabla ya mapinduzi ya viwanda, na watu kwenda shule walikuwa wanakula mara mbili. Msosi mkubwa mida ya saa tanotano asubuhi na jioni. Baadae walipoanza kwenda mashuleni na kuajiliwa wakaanza kuwa wanabeba Luncheon au kamkate flani kwa kukazia mchana hali ikiwa mbaya.
 
Walifuata sequence za jua na digestion system inachukua almost masaa ma4 so ukizidisha mara 3 inakua saa12 ambayo ni siku nzima y daylight.
 
Mpuuzi ni aliyeweka utaratibu wa kulala usiku, kwanini tusiwe tunalala nchana halafu usiku ndo shuguli ziendeleee.
 
Nami nauliza Ni nani muasisi wa kutembea kwa miguu miwili? Maana sioni umuhimu wake ni bora mtu utembee kwa miguu na mikono kuna uafadhali
Haujazuiliwa kufanya hivyo, lakini sisi tutaendelea vile tumefundishwa.
 
Picha lilianzia kwenye majira, asubuhi, mchana, jioni. Kila fungu lina mlo wake.
 
Mpuuzi ni aliyeweka utaratibu wa kulala usiku, kwanini tusiwe tunalala nchana halafu usiku ndo shuguli ziendeleee.
Mbona wenzako wapo kazini sasa hivi? Nilipo, ni kawaida watu kuanza kufanya kazi kuanzia saa kumi na mbili Jioni hadi saa kumi na mbili Asubuhi. Baada ya hapo ndiyo wanalala kujiandaa kwenda kazini Jioni.

Na wewe unaweza kufanya hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…