Sasa ndugu yangu,ni wapi nilipoandika hizo tuhuma zako? Mi nimesema kama anaijua dawa ya kienyeji na akawa ana uhakika kuwa inafanya kazi,huna haja ya kuidhalau. Umesoma vizuri comment yangu labda?! Au umeifananisha!Ulichoandika kuwa uking'oa jino bacteria wa jino ulilong'oa wanahamia jino lingine ni ushahidi tosha kuwa wewe muongo na tapeli heri ungesema tu kuwa una dawa ya kienyeji lakini sio Kwa uongo huo wa kusema uking"oa jino bacteria wanahamia jino lingine
Uongo Tena mkubwa
Ipo siku yako hizo vivian utaziita viva.Kanunue Vivian umeze kwa siku 5, Kisha tafuta dawa ya asili.
[emoji117]Huwa Ina piga ganzi, Kwisha kazi[emoji855]
AhsanteTafuna majani ya mkaratusi mkuu,
utanishukuru badae
Nipo mkoa wa RuvumaSamahani mkuu wewe upo mkoa gani?Na hilo jino limetoboka? Dawa ipo ila sema hiyo dawa nilipewa na bibi fulani na yenyewe ni ya unga.Mimi la kwangu ilikuwa ni ya kung'oa ila tangu nimetumia hii dawa haliumi tena mwaka wapili sasa hivi
Ahsante dearMaxifresh Ina sukari sana achana nayo..mimi niliitumia meno yakawa yanakufa ganzi
Tumia sensodyne au Colgate nyeupe
Root canal ya gel ipoje mimi Nina Mashimo mawili nawaza kwenda kuyaziba naogopaaKama upo nje ya nchi jaribu kununua online iwe akiba ya baadae, Ushauri wangu kama upo nje nenda kwa dentist kama unayo insurance kama huna zipo community hospital mwambie asafishe halafu aweke root canal ya gel ipo white. Mimi nimefanya hivi miaka 10 sasa nipo poa tu.
Hii black monkey umesema inaziba mashimo??Tafuta unga wa karafuu pigia mswaki likitulia baada ya masiku kadhaa. Nunua baking soda changanya na unga wa karafuu tumia kila asubuhi jino litasafika bacteria wake. Pia kuna dawa inaitwa black monkey inatokea India nzuri sana kwa kuondoa bacteria wa meno.
Duuh! mkuu dawa ninayo kweli ila kukufikia ndiyo shughuli.Nipo mkoa wa Ruvuma
Aisee,upo dar?Duuh! mkuu dawa ninayo kweli ila kukufikia ndiyo shughuli.
Nipo ArushaAisee,upo dar?
Ooooh asante.Nipo Arusha
Pole Sana. Upo mkoa/wilaya gani? Kuna dawa ya kutibu jino bila kung'oa na hutaumwa jino tena maisha yako na hautaamini. Mimi meno yalinitesa sana lakini nimefanyiwa hiyo dawa, hakuna cha jino kuuma wala nini mwaka wa 5 huu. Ila iko mbali ndio shida yake. Ila Nicheki DM huenda ukaiweza, usipuuze plz. NB: Dawa yake inafanya kazi pindipo jino linapouma.Aisee jino limesimamisha mapembe,nimetumia madawa niliyoelekezwa na wadau lilitumia kidogo hadi nikala,,
lkn sasa kama limechochewa
AhsantePole Sana. Upo mkoa/wilaya gani? Kuna dawa ya kutibu jino bila kung'oa na hutaumwa jino tena maisha yako na hautaamini. Mimi meno yalinitesa sana lakini nimefanyiwa hiyo dawa, hakuna cha jino kuuma wala nini mwaka wa 5 huu. Ila iko mbali ndio shida yake. Ila Nicheki DM huenda ukaiweza, usipuuze plz. NB: Dawa yake inafanya kazi pindipo jino linapouma.
Pole sho… Mungu akufanyie wepesi.Ahsante na hongera,
Hahahahaha unaweza kufunika blanketi ata kumi kuhisi baridi,,Jino maumivu yasikie tu, kwa leo sihisi njaa na kula naogopa,.