Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
Kama limetoboka nenda kazibe liatpona Kabisa hilooAssalaam
Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino,
Jino ni la juu,linaumaga natumia dawa linatulia lakini leo hapana,limesimamia ukucha
Jino limeanza kuuma tokea saa nne usiku hadi mida hii halitulii,
Nimetumia chumvi kusukutua ni kama nimechochea maumivu,
Dawa nilizotumia ampiclox pmj na paracetamol,vigo doctor,
Nilishauriwa pia niwe natumia dawa ya meno ya colgate max,
Hapa linauma nahisi joto nahisi baridi,sijielewi naona hapakuchi.
Nope, Lina kaa fresh mno- una sahauHalafu linaanza tena baada ya muda??
Diclopa sio nzuri kabisaa, Ina tuliza na kurudisha maumivu hatarii.Limeanza kuniuma kitambo,hayo madawa nimetumia,linatulia ata mwezi,
Sasa jana mchana nimetumia dicropa linatulia,
Dawa zimedunda
Kuna watu wakipenda, mapengo huona mwanyanna mapengoπππ
Najua Kaka, ila diclopa ndo haifai.Dawa hizo kuna wakati zinadunda ujue
HalijatobokaKama limetoboka nenda kazibe liatpona Kabisa hiloo
AhsantePole sana.
Duh polee sana nenda kalitoe HiloHalijatoboka
Hahahahah,niwe mlonda??Komaaa, liume Sana, mlonda eeh[emoji855]
Ahsante dearDuh polee sana nenda kalitoe Hilo
Meza vidonge vya Calcium. Utakuwa na upungufu wa madini ya CalciumAssalaam
Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino,
Jino ni la juu,linaumaga natumia dawa linatulia lakini leo hapana,limesimamia ukucha
Jino limeanza kuuma tokea saa nne usiku hadi mida hii halitulii,
Nimetumia chumvi kusukutua ni kama nimechochea maumivu,
Dawa nilizotumia ampiclox pmj na paracetamol,vigo doctor,
Nilishauriwa pia niwe natumia dawa ya meno ya colgate max,
Hapa linauma nahisi joto nahisi baridi,sijielewi naona hapakuchi.
Ahsante mkakaPole mwaya kidoti
Pole sanaAssalaam
Naomba kuelekezwa dawa ya kutuliza maumivu ya jino,
Jino ni la juu,linaumaga natumia dawa linatulia lakini leo hapana,limesimamia ukucha
Jino limeanza kuuma tokea saa nne usiku hadi mida hii halitulii,
Nimetumia chumvi kusukutua ni kama nimechochea maumivu,
Dawa nilizotumia ampiclox pmj na paracetamol,vigo doctor,
Nilishauriwa pia niwe natumia dawa ya meno ya colgate max,
Hapa linauma nahisi joto nahisi baridi,sijielewi naona hapakuchi.
Hahahaha huku wanatoa asubuhi tu.Nenda kang'oe sasa bado upo jf huku...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]
AhsantePole sana